Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Nimetokea kufuatilia (accidentally) kipindi cha Mama Terry kwenye TV yao (TBC1) na kukutana na vitu ambavyo vimeniacha hoi...
1. Eti kuna rushwa ya ngono kwenye ndoa...mzee ananyimwa unyumba hadi atoe pesa kwa ajili ya kitu fulani. Mfano, sare za harusi au kununua vito. Pia kwamba anaweza kutakiwa kuongeza dau kama anahitaji dozi ya pili...
2. Baadhi ya watu ambao wanaonekana wagumu wanawekewa mitego na wafanyakazi wenzao hadi wauvae mkenge. Na kwamba hili linawahusu wanaume wagumu, ambao anaweza kujaribiwa na wafanyakazi wa kike kama 4 au zaidi hadi anaswe. Na akishanaswa, basi anakuwa blackmailed, kiasi kwamba akitaka kujichomoa au kufanya kinyume na huyo mdau anatishiwa usalama wake..!
3. Watu wanaleweshwa na maneno ya kitapeli...baby, honey, sweetie etc...hadi anatangaza ndoa ndani ya muda mfupi...
Yamesemwa mengi ila haya kwa kweli yamenitisha....
Hivi akina Babu tuko salama??...
Babu DC!!
cc: Kaizer, Asprin, PakaJimmy, @FP, Smile, KOKUTONA, snowhite, CHUAKACHARA, Blaki Womani, Filipo, Arushaone, Lily Flower (mama wa nyuki wa machine), marejesho, gfsonwin (najua hawezi kujaribu kwa sasa), Mtambuzi..
1. Eti kuna rushwa ya ngono kwenye ndoa...mzee ananyimwa unyumba hadi atoe pesa kwa ajili ya kitu fulani. Mfano, sare za harusi au kununua vito. Pia kwamba anaweza kutakiwa kuongeza dau kama anahitaji dozi ya pili...
2. Baadhi ya watu ambao wanaonekana wagumu wanawekewa mitego na wafanyakazi wenzao hadi wauvae mkenge. Na kwamba hili linawahusu wanaume wagumu, ambao anaweza kujaribiwa na wafanyakazi wa kike kama 4 au zaidi hadi anaswe. Na akishanaswa, basi anakuwa blackmailed, kiasi kwamba akitaka kujichomoa au kufanya kinyume na huyo mdau anatishiwa usalama wake..!
3. Watu wanaleweshwa na maneno ya kitapeli...baby, honey, sweetie etc...hadi anatangaza ndoa ndani ya muda mfupi...
Yamesemwa mengi ila haya kwa kweli yamenitisha....
Hivi akina Babu tuko salama??...
Babu DC!!
cc: Kaizer, Asprin, PakaJimmy, @FP, Smile, KOKUTONA, snowhite, CHUAKACHARA, Blaki Womani, Filipo, Arushaone, Lily Flower (mama wa nyuki wa machine), marejesho, gfsonwin (najua hawezi kujaribu kwa sasa), Mtambuzi..
Last edited by a moderator: