Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
- Thread starter
- #41
hahaha mkuu mwenzangu Dark City uliwahi kwanza kuangalia ile DVD ya kwetu pazuri? then ungeenda kwa tahadhari zaidi.....hao watoto wa kinyarwanda wana balaa si kidogo, na kwa ushuhuda wa faiza foxy apo juu na Gozi lake, inaonekana umaarufu wake haujapungua kabisa!
Cha kufanya sasa kama mwanajeshi mstaafu una ji rorganise na kwenda kushambulia tena....hii nadhani ni temporary retreat
Cc RR Asprin Ennie
Ushauri wako ni wa hatari sana mkuu....
Kwa nini usinambie kuwa niendelee kutundika slaa zangu ukutani??
Naona wewe hunitakii mema kabisa wewe....
Babu DC!!