Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Kigali tunaenda wote....na mguu wako mguu wangu...kila corner
Abiria chunga mzigo wako
Huniamini kuwa mimi ni muweza na hakuna linalonitisha?
Si unakumbuka nyakati zile?
Kigali tunaenda wote....na mguu wako mguu wangu...kila corner
Abiria chunga mzigo wako
Unawapenda wa jinsia ipi??
ha haaaaa, ulidhani Kagame anaandaa vikosi vyake kuleta majeshi huku?
au kujadili kuhusu kurudisha tena mizigo yao ipitie bandari ya salama?
sasa hayo babu Dark City yanamuhusu nini mpaka aje alalamike?
Huniamini kuwa mimi ni muweza na hakuna linalonitisha?
Si unakumbuka nyakati zile?
Mambo mengine siyo ya kujarbu kaka,
kama huniamini basi tena...
Babu DC!!
Pole Babu DC!
Nawashangaa watu wengine wanaona ajabu juu ya yaliyomkuta Babu DC!
Babu kawaambie wakiona ajabu basi wakamshangae jamaa anaitwa mwaKAPUYA ambaye ana miaka 60, lakini anapenda pendelea broilers wa miaka 16!
Sasa babu ulitumia mbinu na mkakati gani kuepusha pensheni yako?.
Ulikuwa unajifungia lojingi na bibi tu, au ulikuwa ukitoka semina unaenda Msikitini?
Tupe maujanja babu, maana Next yia tunakwenda huko.j
we weee Nyakati zile ni tofauti na hizi.....
kwanza niambie sababu ya kwenda huko nijue
N
Niliwahi kuyasema haya mahali hapa.............
![]()
https://www.jamiiforums.com/jf-chit...ikombe-nitakinywa-kabla-jogoo-hajawika-2.html
ha haaaaa, ulidhani Kagame anaandaa vikosi vyake kuleta majeshi huku?
au kujadili kuhusu kurudisha tena mizigo yao ipitie bandari ya salama?
sasa hayo babu Dark City yanamuhusu nini mpaka aje alalamike?
Si ndo nikaanza kushangaa huyu Babu ni leo kaamka na nini.......
sikuchangia mwanzoni unajua...ikabidi nianze kwa kuuliz kinchoendelea
we mzima my dada mi nimekumiss sana ujue
Toto za Kigali ni matata sana.