Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
siku nyingine uwe unanisikiliza utanifanya niwe naenda kufanya maombi hapo
kwa baba Anna jirani yetu hapo wakati baba paroko upo....
Whaaatt????
Halafu huyo baba Anna ndio maana siku hizi anajidai eti kuja kutujulia hali kumbe anataka kujua kama umeamka vyema
Ngoja tu nyambaf zake!!!!!