Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,101
Ndgu zangu;
Kuna memba wamekuwa wanapatikana kwa manati sana hapa jukwaani;
naamini kuna sababu mbalimbali> sawa; kujeni basi mtupe taarifa;
Baadhi yao ni; PakaJimmy Lily Flower Blaki Womani Smile Filipo YNNAH (labda honeymoon)
marejesho (huyu sana tu) Preta werawera (??????)
Maelekezo ya Dereva wa ...... nikuwa niwaombe memba hao warudi jukwaani kama kawaida,
aidha ameagiza salaam kwa; pamoja na hao waliotajwa ziwafikie Arushaone, Arabela watu8
na salaam spesheli kwa Madame B! NB: Chips maharage itawahusu sana!!!
dada King'asti wakija si utawawekea muvi ya Angle Charlies!!!!!!!
Wenu katika JF
Mwanyasi;
Kuna memba wamekuwa wanapatikana kwa manati sana hapa jukwaani;
naamini kuna sababu mbalimbali> sawa; kujeni basi mtupe taarifa;
Baadhi yao ni; PakaJimmy Lily Flower Blaki Womani Smile Filipo YNNAH (labda honeymoon)
marejesho (huyu sana tu) Preta werawera (??????)
Maelekezo ya Dereva wa ...... nikuwa niwaombe memba hao warudi jukwaani kama kawaida,
aidha ameagiza salaam kwa; pamoja na hao waliotajwa ziwafikie Arushaone, Arabela watu8
na salaam spesheli kwa Madame B! NB: Chips maharage itawahusu sana!!!
dada King'asti wakija si utawawekea muvi ya Angle Charlies!!!!!!!
Wenu katika JF
Mwanyasi;