Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Ushauri wangu ni kwamba ujitahidi ubadili mawazo....
Hapa sijui nitafanyaje nikifika Addis....
But, I am sure of victory.....
Babu DC!!
Babu DC!!
Kama ulinusurike na mimi nitasalimika tu!
Ushauri wangu ni kwamba ujitahidi ubadili mawazo....
Hapa sijui nitafanyaje nikifika Addis....
But, I am sure of victory.....
Babu DC!!
Babu DC!!
he heee, kuna comment nilitaka kuandika ningechemsha mbaya, lol!
swala la kufanyanisha kigali na ethiopia....
hapa kama mdogo wangu Heaven on Earth hujaelewa basi tena
Hahaha babuuu! Walitaka kuamsha simba waliolala?
Kuna conference tulifanya in kigali in a hotel, tukawa na jamaa wa zenj wakorofi balaa. Tukawa kila siku tukimaliza kazi wanatuwekea mziki tunatumia ukumbi wa disco. Aisee kuna makahaba wakatustukia. Nilimrescue mkaka wa zenj kwa kumganda manake angebakwa humo humo. Wako too aggressive!
Mmh!! hapo kwenye ubaunsa hapana shida sana babu maana nyama nyama ninazo...
Kasheshe ni kwenye hizo asilimia kadhaa za uHasheem Thabit...
Kama ulinusurike na mimi nitasalimika tu!
he heee, kuna comment nilitaka kuandika ningechemsha mbaya, lol!
swala la kufanyanisha kigali na ethiopia....
hapa kama mdogo wangu Heaven on Earth hujaelewa basi tena
Sasa hapo ndo unakosea. Wenzio giza limeingia ndo tunakomaa na gozi manake akishaibwa saa hizi ntaenda wapi? Ukishakaa wikiendi yote simu haiiti na ikiita unauliziwa kazi ujue fainali tayari. Akiniacha paw saa hizi naenda wapi kwa mfano?
he heee, kikawaida huwa siyo kilaza hivi.....ila sasa mambo yamekuwa mambo, mambo mengine naona uvivu kufikiria nje ya box...... unisamehe kwa hilo, yana mwisho.....Bora hukuweka hiyo comment....
Pamoja na kwamba mbwa mzee hafundishwi kuwinda....hebu jitahidi kuongeza skills zako za kuunganisha dots...
Sawa mkubwa mwenzangu??
Babu DC!!
Pole Babu DC!Nimetokea kupachukia sana Kigali, ingawa nasikia na Addis napo hapafai.....:lie::lie:
Bahati nzuri nimestaafu.... nasaidiana na Bibi kuitafuna pensheni yangu....lol!!
Ila mojawapo ya mahalia ambapo sitapenda wajukuu zangu waende ende au wapazoee...!!
Cc: Kaizer, Asprin, CHUAKACHARA, KOKUTONA, Mwanyasi, gfsonwin, King'asti, Fixed Point, PakaJimmy, Filipo, Preta, Blaki Womani, marejesho....
Babu DC!!
Mimi nawapenda tu Watusi ila kigali siipendi
ha haaaaa, ulidhani Kagame anaandaa vikosi vyake kuleta majeshi huku?Mwanzoni si nikawa sijaelewa si nikajisemea haya ya Rwanda ka ni mauaji si
yakajadiliwe Siasani huku MMU panahusikaje Kumbeeeeeeeeee
Ahahahaha hahaha, sasa hivi wala sishtuki, nalea wajukuu tu. Ukishakuwa na vijukuu vya kukuliwaza, unaona linakukera tu.
Mambo gani hayo ya kwenda kuleteana usiku huko?
Wewe si unisubiri nitarudi?
he heee, kikawaida huwa siyo kilaza hivi.....ila sasa mambo yamekuwa mambo, mambo mengine naona uvivu kufikiria nje ya box...... unisamehe kwa hilo, yana mwisho.....
back to the topic.... ndo maana siku hizi shem wako mikutano ya Kigali imekuwa mingiiiiiiiiiiiii niniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!! ngoja nirekebishe lenzi zangu
Una hakika mbinu zangu utaziweza??
Kwa nini usifurahi kwamba tayari umeshapewa warning ukajiendae zako Nairobi....
Ambako unahangaika na usalama dhidi ya wakora tu.....nothing else to worry...
Babu DC!!