Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
- Thread starter
- #61
Ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!
Babu ulijikuta unataka hata kusaminisha hadi sarawili za kubadili nini?
Ukienda kichwa kichwa ni hatari
Mtambuzi alijidai mgumu lakini kule alizima fegi...lol!!!!!!
Kamanda, umesahau kwamba ukisikia risasi basi ujue wewe umesalimika??
Mimi ni mzima bwana na ndiyo maana nawapa somo wajukuu....
Naamini hata Addis nitarudi salama...
Babu DC!!