Kabla Amina Chifupa hajafariki hapa JF kuna watu walishatabiri na ikatokea kweli, the matter of fact hata kifo cha Balali, kilishatabiriwa mapema hapa, halafu ninaomba nikuhakikishie kuwa nimewahi kuongea sana watoto wa Mwaikambo, Kolimba, na Kombe, niliyoyapata ni Kolimba peke yake ndiye aliyefariki kifo cha Mungu, kwa ugonjwa aliokuwa nao, kwa sababu kila siku ya Mungu, alikuwa akifuatana na mtoto wake aliyekuwa akimshikia dawa zake maalum za moyo, alipoitwa kwenye kikao maalum cha CC, mtoto wake hakuruhusiwa kuingia, akaamua kwenda kupumzika hotelini ndilo hasa kosa lilopelekea baba yake kufa, kwa sababu alipoanza kuumwa, wakanza kumtafuta huyu kijana, by the time wamekuja kugundua kuwa yupo hotel, it was too late, na besides kaka yake Kolimba alihusishwa kwa 100% na uchunguzi wa mwili wa ndugu yake na kuridhika na kila step kuwa hakukuwa na faulo, Lakini sio vifo vya hao wengine wawili ninam-challenge kiongozi yoyote wa taifa bongo anayeamini kuwa hawakuuliwa kwa makusudi, tuzichambue facts chini,