Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,506
Kichunguu
Mimi bado naamini ni ajali tu na hakuna mazingira ya murder hapo.
Mkuu ni bora ubaki hivyo hivyo na imani hiyo lakini kwa nini serikali inafanya ujanja na uhuni katika swala la uchunguzi?