Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,363
- 1,135
Samahani natoka kidogo kwenye mada kuu but along the line....
Kama kuna mtu alitazama Mahojiano kati ya Tido na Asha R Migiro TBC1 ijumaa saa tatu usiku. Walisema it was the live program.....! Was it so?
Kama ukifutilia vizuri na kwa makini...some of the discussion zilishatoka kabla kama sehemu ya maandalizi ya matangazo kwa ajili ..ya Kipindi hicho....If I am right....kwa nini....Walituambia...ni live brodcasting..? wakati kulikuwa na some portion..very clear..tulikuwa tumezisikia kabla...Why all that?
Tulitakiwa kupiga simu...kuongeana na Asha if we wanted....but hawakutoa namba...etc ..Kama ingekuwa live ..hahisi wangetoa namba pale pale kwenye screeen yao...why?
Bwana mmojatu alipiga simu....kutoka tarime...kitukama hicho ...ni kweli ilikuwa live? ....Why?
My concern is tulidanganywa ..? And why?
Kama siko sahihi..Basi Nielimishwe what realy took place...!
Kama kuna mtu alitazama Mahojiano kati ya Tido na Asha R Migiro TBC1 ijumaa saa tatu usiku. Walisema it was the live program.....! Was it so?
Kama ukifutilia vizuri na kwa makini...some of the discussion zilishatoka kabla kama sehemu ya maandalizi ya matangazo kwa ajili ..ya Kipindi hicho....If I am right....kwa nini....Walituambia...ni live brodcasting..? wakati kulikuwa na some portion..very clear..tulikuwa tumezisikia kabla...Why all that?
Tulitakiwa kupiga simu...kuongeana na Asha if we wanted....but hawakutoa namba...etc ..Kama ingekuwa live ..hahisi wangetoa namba pale pale kwenye screeen yao...why?
Bwana mmojatu alipiga simu....kutoka tarime...kitukama hicho ...ni kweli ilikuwa live? ....Why?
My concern is tulidanganywa ..? And why?
Kama siko sahihi..Basi Nielimishwe what realy took place...!