Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,027
- 142,937
1.
2.
3.
Mkuu heshima yako, nilijua kuwa nimekukamata pabaya na ujanja wako wako mwingi, sasa hizi ndio akili zako nyingi ambazo sasa karibu watu wote hapa wameanza kuzielewa ukishikwa pabaya basi ni unageuka kinyonga unabadili rangi na kuwa nyoka, najua ulifikiri utaweza kui-control hii forum na hiyo janja yako lakini unajua kuwa kwangu umekwama!
Kwa taarifa yako tu ni kwamba viongozi wa CCM kwa niaba ya CCM waliiomba radhi rasmi familia ya Kolimba kwa kitendo cha kumkatalia mtoto wake asiingie kwenye kile kikao, na hata kum-offer ndugu yake kugombea ubunge wa ndugu yake,
Naona unateseka sana na dataz zangu, maana unajaribu sana kui-control hii forum, kwa kutuchezea vichwa watu hapa lakini ni mimi peke yangu ndiye ninakukwamisha, na ninakuhakikishia kuwa as long as nipo hapa, utabadilika na ukinyonga wako mapaka uwe kufutu, lakini nipo nyuma yako bro, mpaka kieleweke!
Right on!!!!