Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Nashukuru kwa hii Nondoz, lakini nauliza swali kwa jamii, ni nini kilichotokea mpaka Kolimba akapata shinikizo au mshtuko wakati wa Kikao nyeti cha Kamati Kuu/NEC?


According to the dataz ni kwamba Kolimba ilikuwa ajiunge na Chadema, with one promise kutoka kwa upinzani kua wote wataungana under him, yaani alipata promise kutoka kwa viongozi wengine wote wa upinzani kuwa wataungana in due time under him,

CCM wakagundua mapema kuwa hiyo weekend ndiyo ailikuwa aende kwenye mkutano mkubwa sana Jangwani, na atangaze kujitoa CCM na kujiunga na upinzani, CCM wakaita hiki kikao nyeti na kumtaka Kolimba aeleze tatizo lake na muelekeo wa CCM, Kolimba akaeleza matatizo yake yote, alipomaliza wakampa the shock kwamba wanamchagua na kumpa wadhifa wa mwenyekiti wa kamati maalum ya mapendekezo ya mabadiliko ya muelekeo wa CCM, na pia kwamba atapewa nafasi kubwa ya kugombea urais next time arround,

Akabaki amesimama kwa muda kidogo kabla ya kuzirai na kuanguka chini, kwa wanaomjua wakaanza kumtafuta mtoto wake, ambaye waligundua kuwa walimkatalia kuingia kwenye kile kikao, by the time amepatikana it was too late,

Now ninaomba kusema hivi, huenda kuna faulo ilichezwa lakini kwa uchunguzi wangu na wote niliowauliza then, bado ninaamini kwa 98% kuwa kile kifo kilikuwa ni kazi ya Mungu, kwa sababu serikali haingeweza kuwafanya watu wote kusema hadithi moja, mpaka mtoto na kaka na mke, hapana, kwa sababu viongozi kama Kibona, Rutihinda, Mwaikambo, Chifupa, Kombe na wengineo hadithi za wahusika hazifanani kabisa, kuna utata mwingi sana na vifo vyao na hadithi za wahusika hazifanani kabisaa.
 
1.
Hata kama ingekuwa ni plausible mtoto kutembea na kifurushi cha dawa za baba hii bado ni "Kawawa funika Kikombe" kwa sababu Kolimba asingekubali mtu aliyebeba dawa zake za kufa na kupona asiruhusiwe kuingia nae ndani.

Na hata kama tukikubali kwamba mtoto hakuruhusiwa kuingia na baba, bado ni "Kawawa funika kikombe" kwa sababu Kolimba, Katibu Mkuu wa CCM, angewaambia waliomkatalia mtoto kuingia kwamba basi nipasieni kifurushi changu cha dawa za kufa na kupona kutoka kwa mtoto kikakae kwenye meza pembeni yangu!

Kwa hiyo, either way you cut it, the narration is still about as good as "Kawawa funika kikombe." You couldn't be more correct, Mtanzania.

2.
Nimesoma hoja zako ni nzuri lakini ondoa hilo neno 'wote' linapoteza sifa ya maelezo yote kwani ni hasty generalization, otherwise uko sawa.

Watoto wa viongozi wote wahusika, hawawezi kuwa walisema uongo hapana hakuna mtoto wa kiongozi yoyote yule aliyeuliwa na serikali aneyeweza kusema uongo kwa kuitetea serikali, kuamini hivyo ninamini ni kupungukiwa akili somehow!

Mkuu hapo juu, hivi ni lugha gani unahitaji kutoka kwangu ili uelewe kuwa huwezi kunidanganya na huo ukinyonga wako? Hivi kwanini unafikiri hapa JF kuna watoto wadogo au wasio na akili kama wewe?

Can you stop it and be real kama sisi wengine, yaani for once u-act kama mtu mzima! Yaani nimefikia mahali kila ninapokuona nasikia kichefu chefu!
 
1.

2.

Watoto wa viongozi wote wahusika, hawawezi kuwa walisema uongo hapana hakuna mtoto wa kiongozi yoyote yule aliyeuliwa na serikali aneyeweza kusema uongo kwa kuitetea serikali, kuamini hivyo ninamini ni kupungukiwa akili somehow!

Mkuu hapo juu, hivi ni lugha gani unahitaji kutoka kwangu ili uelewe kuwa huwezi kunidanganya na huo ukinyonga wako? Hivi kwanini unafikiri hapa JF kuna watoto wadogo au wasio na akili kama wewe?

Can you stop it and be real kama sisi wengine, yaani for once u-act kama mtu mzima! Yaani nimefikia mahali kila ninapokuona nasikia kichefu chefu!

Most of the good listeners make the best judgments.
 
Kolimba alipata stroke shauri ya pressure kubwa ambayo alikuwa nayo kwenye hicho kikao. mambo mengine yote ni hearsay tu.

Mkuu Mtanzania,

Hii yako nimeshindwa kucheka mkuu, ila nimesikitika sana maana uchunguzi wa mwili wa marehemu haukusema kama ulivyosema, kwa hiyo wako ni nini hasa mkuu? Maana siwezi kuuita Mwalimu kumwambia Kawawa funika something, labda wa kwako ni Kawawa funua something, maana ungekuwa umesoma matokeo ya kifo cha Kolimba, usingesema hayo mkuu!

Nimekataa kucheka maana wewe angalau ninakuheshimu kidogo!

Week End njema bro!
 
According to the dataz ni kwamba Kolimba ilikuwa ajiunge na Chadema, with one promise kutoka kwa upinzani kua wote wataungana under him, yaani alipata promise kutoka kwa viongozi wengine wote wa upinzani kuwa wataungana in due time under him,

CCM wakagundua mapema kuwa hiyo weekend ndiyo ailikuwa aende kwenye mkutano mkubwa sana Jangwani, na atangaze kujitoa CCM na kujiunga na upinzani, CCM wakaita hiki kikao nyeti na kumtaka Kolimba aeleze tatizo lake na muelekeo wa CCM, Kolimba akaeleza matatizo yake yote, alipomaliza wakampa the shock kwamba wanamchagua na kumpa wadhifa wa mwenyekiti wa kamati maalum ya mapendekezo ya mabadiliko ya muelekeo wa CCM, na pia kwamba atapewa nafasi kubwa ya kugombea urais next time arround,

Akabaki amesimama kwa muda kidogo kabla ya kuzirai na kuanguka chini, kwa wanaomjua wakaanza kumtafuta mtoto wake, ambaye waligundua kuwa walimkatalia kuingia kwenye kile kikao, by the time amepatikana it was too late,

Ha hahahahahah......

Good entertainment.

Kwa nini Kolimba hakuwaambia waliomzui mtoto kuingia nae kwamba mtoto amebeba dawa zake za kufa na kupona ?

Au, itakuwaje Kolimba, Katibu Mkuu wa CCM, asiseme basi nipeni dawa zangu za kufa na kupona kutoka kwa mtoto nikae nazo pembeni ?

I tell you man, I used to get all exercised seeing this guy's "dataz," misleading everybody and all. Now I know it's just for amusement, you know. It's hilarious, can't deny him that. LOL! Oh Man!
 
Unajua kila unaporukia usiyoyajua huwa unaishia kuchekesha, kwa sababu haya maswali yako kwa nini Kombe, Mwaikambo na Sokine hawakujiuliza kabla ya kufa, na hasa mkuu Wangwe?

Ila kwa mtu aliyesema kuwa mtoto wa Mungu ni mjinga hakuna tena la kushangaa, unanuka mkuu ukinyonga weee ndio maana hata uraiani wananchi hucheka sana, vipi kile chama ulichoanzisha cha kabila lako halafu ukadai cha wa-Tanzania wote ili ukusanye michango yao utie ndani?

Talking about Yohanna mjinga, yaani kila nikaona upupu wako nasikia kutapika bro, talking about usanii, yaani aibuu tupu! Maana hata kucheka tena siwezi ila kutapika tu maana sijawahi kuona toka nizaliwe!
 
Ha hahahahahah......

Good entertainment.

Kwa nini Kolimba hakuwaambia waliomzui mtoto kuingia nae kwamba mtoto amebeba dawa zake za kufa na kupona ?

Au, itakuwaje Kolimba, Katibu Mkuu wa CCM, asiseme basi nipeni dawa zangu za kufa na kupona kutoka kwa mtoto nikae nazo pembeni ?

I tell you man, I used to get all exercised seeing this guy's "dataz," misleading everybody and all. Now I know it's just for amusement, you know. It's hilarious, can't deny him that. LOL! Oh Man!

It was that easy, kwa nini Kombe, Mwaikambo, Wangwe, na Kibona wasifanye kama unavyosema kabla hawajafa, talking about misleading, vipi kile chama cha kabila na kuibia watu michango yao?

Sisi huwa tunatoa dataz tu, lakini hatuibi michango ya masikini wanyonge, yaani bin-adam tapeli bwana hufikiri wote ni matapeli kama yeye, unajua mpaka Rais wa Jamhuri kuku single-out mbele ya public na kukutukana matusi ya nguoni, lazima utapeli unakuwa umefika mwisho.

Duh! Big empty head bwana! kaazi kweli kwelii!
 
Now ninaomba kusema hivi, huenda kuna faulo ilichezwa lakini kwa uchunguzi wangu na wote niliowauliza then, bado ninaamini kwa 98% kuwa kile kifo kilikuwa ni kazi ya Mungu, kwa sababu serikali haingeweza kuwafanya watu wote kusema hadithi moja, mpaka mtoto na kaka na mke, hapana, kwa sababu viongozi kama Kibona, Rutihinda, Mwaikambo, Chifupa, Kombe na wengineo hadithi za wahusika hazifanani kabisa, kuna utata mwingi sana na vifo vyao na hadithi za wahusika hazifanani kabisaa.

FMES,

Brother naona una-underestimate "nguvu" za giza.

If I were to make a plot, why would I involve so many people so that I can incriminate my crew easily?

Lets assume mkono wa Mtu was behind Kolimba's death. Huyo mtu alikuwa anajua protocols na hata walipomkatalia mtoto wa Kolimba walijua wazi itabidi aondoke na inawezekana kabisa kuwa walishaona Kolimba na kijana wakiachana kwa muda hivyo ubebaji madawa na kumzuia mtoto, usingekuwa ni kitu kigumu kueleweka.

According to hadithi niliyoipata mimi, Kolimba alikuwa amerudi kutoka Malaysia kwenye mkataba wa ITPL, kuna madhambi ambayo alikuwa ameyafanya.

Alipotoa kauli kuwa CCM imekosa dira, wakamuita kwa kikao maalumu kumhoji. Sasa nilichosikia ni kuwa alikufa kwa mshituko baada ya siri zake kutolewa kwenye kikao, na inawezekana nondoz zako za kumpa uenyekiti na kumhakikishia uraisi zilitumika kama chambo kumzuga kabla ya kumfumulia siri yake ambayo ilipandisha msukumo wa damu na kusababisha apate shinikizo la damu na stroke.

Sasa aliyekuwa ndiyo mchoraji mkuu kama ni mkono wa mtu, alijua kuwa the magnitude of the shock would have been severe, hivyo kukosekana mkoba wa dawa was just a simple way kuharakisha kifo.

Ndiyo, alikufa naturally, sawa na Wangwe alivyokufa naturally kwa ajali ya gari, lakini hata vifo vya kawaida, vinawezekana kuwa ni mauaji!

Just imagine state of mind aliyokuwa nayo Wangwe akiwa kwenye gari, alikuwa amelewa, kapumbaa au alikuwa mzima na makini?

Same with Kolimba, delay ya kuletewa dawa iliharakisha "kifo cha kawaida" kitokee, na ndio maana CCM waliomba radhi kwa familia kwa "uzembe" wa kumfukuza mtoto mwenye madawa ya baba.

Jiulizeni, kama uzembe ulikuwa wa makusudi na kupangwa, je tutasemaje amekufa kifo cha kawaida na si kuwa aliuawa na kuachwa afe kama kifo cha kawaida? Kwa hivyo msanii mkuu hakuwa na haja ya kushirikisha wengi kwenye plot, ila alikuwa na mashahidi wengi walioshuhudia kifo cha kawaida!
 
Brother naona una-underestimate "nguvu" za giza.

Mkuu wangu, that is not what I said, nimeweka my theory na ni haki ya kila member hapa kuweka his, ila niliyosema ndio ya kwangu, ninasema kuwa nimeongea na watoto wa Rutihinda, kibona, Mwaikambo, Kolimba, na Kombe na kwa wakati mbali mbali,

Baada ya kuwasikiliza kwa makini sana na kina pia, ninaamini kuwa kwa Kolimba, hakukuwa na faulo, lakini ni haki ya members hapa kuamini tofauti na kuweka hoja hapa, sina tatizo na hilo hata kidogo, ndio maana nikasema 98%, bado nimeacha mbili nje!
 
Mkuu wangu, that is not what I said, nimeweka my theory na ni haki ya kila member hapa kuweka his, ila niliyosema ndio ya kwangu, ninasema kuwa nimeongea na watoto wa Rutihinda, kibona, Mwaikambo, Kolimba, na Kombe na kwa wakati mbali mbali,

Baada ya kuwasikiliza kwa makini sana na kina pia, ninaamini kuwa kwa Kolimba, hakukuwa na faulo, lakini ni haki ya members hapa kuamini tofauti na kuweka hoja hapa, sina tatizo na hilo hata kidogo, ndio maana nikasema 98%, bado nimeacha mbili nje!

Hata mimi, 98% ilisedma ni mambo ya kawaida, na hasa kwa kuwa najua mshituko wa moyo na shinikizo zinavyoweza kumuua mtu "kawaida". Sasa hiyo 2% imebadilisha mizani kutokana na kufahamu kuwa mwenye kushika dawa aliondolewa ukumbini, ndipo conspiracy theories zinaanza na kupata nguvu kuwa the natural death was not that natural, it was intended death using natural causes, meaning the death came prematurely had it not been for his medicine to be far away!

Zamani tulikuwa tunaambiwa Kenya ni mabingwa wa hii tekero, lakini katika miaka 20 iliyopita Tanzania tumekuwa mstari mbele na kuwa nambari wani.

Ukiondoa Kombe, wengine wote, Kibona, Mwaikambo, Malima, Rutihinda, Ballali, Amina Chifupa, Salome Mbatia, Akukweti na sasa Wangwe, vifo vyote vinaonekana wazi ni vya kawaida na hakuna mkono wa mtu. Lakini mkono umejificha, iko siku utaonekana na gilovu nyeupe kama ya Maiko Jakisoni!
 
Most of the good listeners make the best judgments.

nimeshamwambie mkuu FMES kwamba, kuna watu the like za huyo jamaa kuwa hakuna haja ya kwenda nao tit-for-tat!! Jamaa ni college writing tutor bwahahahaha ana matatizo mingi sana!! Kimsingi kujibizana nae ni kumpa 'hayday' ambayo haiko due!! FMES, upo kwa control and you need to stop it!!.
 
Hata mimi, 98% ilisedma ni mambo ya kawaida, na hasa kwa kuwa najua mshituko wa moyo na shinikizo zinavyoweza kumuua mtu "kawaida". Sasa hiyo 2% imebadilisha mizani kutokana na kufahamu kuwa mwenye kushika dawa aliondolewa ukumbini, ndipo conspiracy theories zinaanza na kupata nguvu kuwa the natural death was not that natural, it was intended death using natural causes, meaning the death came prematurely had it not been for his medicine to be far away!

Zamani tulikuwa tunaambiwa Kenya ni mabingwa wa hii tekero, lakini katika miaka 20 iliyopita Tanzania tumekuwa mstari mbele na kuwa nambari wani.

Ukiondoa Kombe, wengine wote, Kibona, Mwaikambo, Malima, Rutihinda, Ballali, Amina Chifupa, Salome Mbatia, Akukweti na sasa Wangwe, vifo vyote vinaonekana wazi ni vya kawaida na hakuna mkono wa mtu. Lakini mkono umejificha, iko siku utaonekana na gilovu nyeupe kama ya Maiko Jakisoni!

that's it, umepatia kila kitu...lakini Amina mwondoe, yule aliaondoka na nanilii na ile ilikuwa ni Cryptococcosis!! M-google 'N. Cryptococcus' hasa akiingilia CNS kwa watu immunocompromissed anafanya nini...utaona ilikuwa ndio yenyewe!
 
Mkuu nashukuru sana kwa michango yako. Wengine huwa tuko hapa kwa
sababu ya watu kama nyie, I appriciate on your comments and views.

Nchi yetu imeondoka kama nilivyosema kwenye message yangu ya jana, nimeangalia abc nimeona hakuna jinsi inabidi nikubali. pamoja na kuwa na Elimu ya juu kabisa yaani PhD nimesaidia watanzania wengi sana lakini naona nchi imetekwa sina la kuongezea katika kukomboa nchi yetu.

Mkuu nasoma sana message zako wengine wakati tunaamua kutoa mawazo ya namna hiyo tunayatoa kwa machungu sana. maana hata pamoja na miaka yetu, tanzania kama nchi imetuanguasha. Tunasaidia nchi nyiongi sana. Hatuna jinsi zaidi ya kuangalia maisha ya watoto wetu na familia zetu badala ya Taifa.

Lakini tutaendelea kupambana tu, Mkuu hata chama hatuna hila tunaangalia watu wenye mwelekeo tu, Mkuu mimi nakushukuru kwamba huwa huna upande hila Mkuu Mtanzania naogopa sana.

Mkuu YRMN,

Heshima yako mkuu, mkuu hapa nina-deal na tatizo moja kubwa sana, look maneno anayonitumia kwenye PM, everything is under control usiwe na wasi, unajua nime-deal na watu wangapi toka nijiunge na hii forum kama huyu, the only tofauti tu ni kwamba this one ni mgonjwa mno kuliko wengine, wote niliowahi kucheza nao hapa JF,

Lakini you know better kuwa ugonjwa siku zote hukimbilia kwenye dawa, niachie hili mkuu I got it!

Ahsante Mkuu, kwa kunielewa!
 
YournameisMINE am sure your name is not mine"
Kwa nini hutaki kila silaha itumike kupambana na mafisadi? CHADEMA inafahamu itifaki kikamilifu.
Viongozi wake wanapotoa tamko hufany ahivyo kiitifaki. Inaonyesha hujui namna ambavyo kiongozi anaweza kuwakilishwa kwenye jambo fulani.

Hata hivyo CHADEMA ni chama kinachofanya kazi zake kwa mshikamano mkubwa. Ndiyo maana unaona mafanikio makubwa ya chama ndani ya bunge na kwingineko. Kwa taarifa yako hoja za bunge la Tanzania kwa zaidi ya 60% zinatokana na moto wa CHADEMA. Fikiria wako wangapi na ulinganishe na kazi yao bungeni. Fikiria wanapambana na vikwazo vingapi na vya aina gani. Lakini bado wanafanikiwa kuwapelekesha kikamilifu mafisadi bungeni.
 
Kwa wale waliowahi kuvua ..kuna kitu kinaitwa chambo wakati wa kuvua samaki,ni aina fulani ya minyoo inayopatikana ufukweni mwa bahari na huwa inawekwa kwenye ndoana ili samaki aimeze na mwinyowe hukabwa na ndoana na hatimaye kuvulia na kupoteza uhai wake.

mengi yamesemwa kukihusu chama cha chadema.
shutuma za ukabila yaani uchagga ndani ya chadema zimekuwa zikitolewa na watu mbalimbali wakiwemo baadhi ya wanachama wake na hata baadhi ya viongozi wake wa juu kabisa kama alivyofanya marehemu Chacha Wangwe.
Wanachadema wamejitahidi sana kukisafisa chama cha kwa kukanusha shutuma hizo kwa nguvu zote na hata tumeona hapa JF walivyotumia misuli mizito kukanusha na kuzima shutuma hizo.Baadaye Chacha akasimamishwa uongozi na viongozi wa Chadema, Baada ya siku Chache tukasikia ajali mbaya ya gari iliyompata mbunge huyo.
Tunashukuru report ya daktari wa familia imethibitisha kuwa kifo hicho kilikuwa ni cha kawaida na ni ajali kama zingine tu.Hiyo ni habari njema kabisa kwa wanachadema na wapenda amani kote duniani.
Tukasikia habari za kuhusishwa kwa Mbowe na kifo hicho na hata kutokea vurugu kwenye mazishi ya Chacha huko Tarime.Jana zitto amewaita waandishi kuwaelezea kusikitishwa kwake na habari hizo na waandishi ni wastaarabu sana wamekubali kuunda kamati au tume kuchunguza kama kulikuwa na upotoshwaji wa habari hizo.

Ikumbukwe kuwa tangia marehemu Chacha asimamishwe na mijadala iliyokuwa ikiendelea hapa JF nilishasema kuwa Chadema waangalie njia bora zaidi ya kujisafisha na kujirudishia heshima yake mbele ya watanzania.Kuendelea kukanusha tu kuwa hakuna ukabila wala ubadhirifu wa fedha ndani ya chama hicho sio dawa hata kidogo kwani kunazidi kukipaka chama hicho matope na hata kinaendeleza chuki ambayo imeanza kujitokeza kwa wanachama wa chama hicho dhidi ya wanachama wachagga.Itafika kipindi sasa hata kama kuna nafasi ambayo mchagga anastahili kupewa ndani ya chama hicho wanachadema watajikuta wakimnyima ili kufurahisha umma.So tatizo litaendelea kama hakutafanyika juhudi za makusudi kumaliza tatizo hilo kwa njia ambazo zitaeleta mshikamano zaidi na sio kukanusha tu kuwa hakuna ukabila wala ubadhirifu ...matokeo yake tumeyaona.
Ushauri kwa wanachadema kuwa kaeni chini ...iteni mkutano mkuu wa wanachama wote au nec yenu na muyamalize mambo haya ikibidi hatua za makusudi zichukuliwa ikiwemo kuwapatia watu wengine hizo nafasi zinazolalamikiwa kuwa zimechukuliwa na wachaga na kuanza kuweka wazi taarifa za fedha na rudhuku na mgawo.
Angalieni msije mkameza CHAMBO mkadhani ni chakula kumbe ndani kuna ndoano yenye ncha kali...itakimaliza chama..

Mbarikiwe..
 
Hii ni aibu kuona JK kitu kikubwa na kifo cha mtu kinafanywa kishabiki namna hii. Kwa ustarabu mimi sioni kuwa ni vizuri kufanya kifo ushabiki labda mtu uwe na nyeti muhimu kwani kifo siyo kitu cha kucheka. Webmaster inabidi uangalie habari vizuri kwani watu wachache wanaweza kushusha hadhi ya JF. Mimi binafsi naona hii topic haina misingi na si vizuri kuweka ushabiki muda mfupi baada ya mtu kuzikwa.
 
Hii ni aibu kuona JK kitu kikubwa na kifo cha mtu kinafanywa kishabiki namna hii. Kwa ustarabu mimi sioni kuwa ni vizuri kufanya kifo ushabiki labda mtu uwe na nyeti muhimu kwani kifo siyo kitu cha kucheka. Webmaster inabidi uangalie habari vizuri kwani watu wachache wanaweza kushusha hadhi ya JF. Mimi binafsi naona hii topic haina misingi na si vizuri kuweka ushabiki muda mfupi baada ya mtu kuzikwa.

wakati hoja ya wangwe inaanza kujadiliwa hapa JF kuna watu wa jinsi yako walitaka isijadiliwe na ifutwe...sisi tulikuwa tunaleta ushauri ambao naamini kama ungefanyiwa kazi haya yaliyopo sasa yasingekuwepo.matokeo yake tumeona yaliyotokea wiki iliyopita na kusababisha kukitia doa chama cha chadema.sasa leo hii tunajadili for the good of this country naona kuna watu kinawakera na kuwakereketa.unaogopa nini sheikh kama kifo marehemu ameshafariki na kutangulia mbele ya haki na daktari wa familia kathibitisha ni ajali ya kawaida.tunachojadili hapa ni yaliyopo sasa hivi na wala sio sababu za kifo chake maana mjadala wake ulishafungwa na kuhitimishwa na report ya dr wa familia.hebu tujadili muhstakabali wa chadema na uendelevu wa demokrasia nchini.acha kumshurutisha webmaster aiondoe hii topic kumbuka kuwa JF sio ya chadema peke yao ila ni ya watanzania wote na wale wenye mapenzi mema na nchi hii.
sio lazima uchangie kwenye topic hii just read and leave it na itaishiwa nguvu yenyewe maana itakosa wachangiaji...

ubarikiwe...
 
hivi hawa CHADEMA kwanini wasiwe na mtu mmoja tu kama msemaji rasmi juu ya sakata hili? haya mambo ya mara Mnyika, mara Slaa, mara Zitto nadhani yatawaletea shida...yaani wanakuwa kama genge la wahuni ambalo kila mtu anaweza kusema vile anavyofikiria binafsi na sio kama chama. INAKATISHA tamaa...

Mkuu, nadhani ungejitahidi kuwa unafuatilia mambo. Hakuna makosa kwani Msemaji wa Chadema ni Katibu Mkuu wa chama hicho kwa maana ya taasisi ya UKATIBU MKUU kutoka ofisi za chama hicho zilizopo Dar es Salaam na si kokote na si Dk. Slaa, Zitto, Mnyika au yeyote. Kwa mantiki hiyo kama utakumbuka wakati wote Dk. Slaa akiwa Dodoma ama nje ya Dar es Salaam, kunakua na msemaji ama Zitto, Mnyika, Antony Komu, Erasto Tumbo au yeyote seniour aliyeko ofisi za Dar es Salaam. Chama hicho hakijalishi umri wala umaarufu wa mtu na kwa mara ya mwisho, Mnyika ndiye aliyeandika barua kwenda kwa IGP na ndiye aliyekwenda TBC kutoa taarifa, sasa hapa sioni jambo la kushangaza. CCM pia kuna wakati wanafanya hivyo kwa wakati nakumbuka Makamba akiwa hayupo alikua akizungumza aliyekua Naibu Katibu Mkuu, Kapteni Jaka MWambi (Amekuwa balozi) na wakati mwingine KAtibu Mwenezi na kuna wakati hata Salum Msabaha Mbaruku na hivi karibuni tumemsikia Tambwe Hiza
 
Mkuu Mtanzania,

Hii yako nimeshindwa kucheka mkuu, ila nimesikitika sana maana uchunguzi wa mwili wa marehemu haukusema kama ulivyosema, kwa hiyo wako ni nini hasa mkuu? Maana siwezi kuuita Mwalimu kumwambia Kawawa funika something, labda wa kwako ni Kawawa funua something, maana ungekuwa umesoma matokeo ya kifo cha Kolimba, usingesema hayo mkuu!

Nimekataa kucheka maana wewe angalau ninakuheshimu kidogo!

Week End njema bro!

Mkuu FMES,

Uchunguzi wa mwili wa marehemu ulisema hivyo hivyo kwamba kafa kwa heart attack ambayo ilikuwa ni matokeo ya intensive pressure aliyokuwa nayo kabla na kwenye hicho kikao. Kama una report inayosema tofauti, tuletee.

Wakati anafariki 1997 wengine tulikuwa kwenye hivi vijiwe na suala lake lilijadiliwa vizuri sana kule Tanzanet.

Suala la kuzunguka kila sehemu na mtoto wake ni hearsay, hakuna ukweli kabisa. Ni mtoto gani huyo aliyekuwa anazunguka naye ili kumbebea dawa?

Kolimba alikuwa anaumwa, laiti hata angemwona daktari yoyote wa magonjwa ya moyo angemshauri kabisa asiende kwenye kile kikao akiwa katika hali ile. Au angechukua tahadhari muhimu kabla ya kwenda.

Wacha tuendelee na mambo mengine maana hili la mtoto kuwepo au kuto kuwepo haliongezi tija yoyote.

Hata kifo cha Mwaikambo kilikuwa ni ajali tu. Inasikitisha kwamba lazima tuweke mkono wa mtu kwenye kila kifo. Tabia hii inatufanya tusiwe waangalifu maana tunaondoa uzembe kutoka kwetu na kuuhamishia kwa wengine. Badala ya watu kujifunza hapa kuwa na madereva wazuri, watu wanaamua kuwa vilaza bungeni na kutokukosoa mambo wakifikiri hapo hakutakuwa na mkono wa mtu. Hata watu wanaokufa kwa ngoma, tunasema kuna mkono wa mtu, hivi kweli tuko serious?

Weekend njema.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom