Al Jazeera wanaajiri failures? Nilisikia jamaa alitoka na zero pale Mzizima, sasa hiyo inaweza ikawa kikwazo kwake.
Al Jazeera wanaajiri failures? Nilisikia jamaa alitoka na zero pale Mzizima, sasa hiyo inaweza ikawa kikwazo kwake.
Ukifail form four ndo umefail maisha kwan?? Acha wivu wa kike!
Kula tano FF kuna mpaka mawaziri na watu maarufu wenye PHD lkn wana utendaji mbovu sijapata ona,
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango open jamani....ni kuamka kujifuta na kusonga mbele, me learnt this the hard way shooooo!ukibaki kulialia tu nothing will happen
<br /><br />Al Jazeera wanaajiri failures? Nilisikia jamaa alitoka na zero pale Mzizima, sasa hiyo inaweza ikawa kikwazo kwake.
<br />Ukifail form four ndo umefail maisha kwan?? Acha wivu wa kike!
<br />Inaonekana kuna watu hata kula hawawezi bila kiibonde kuwepo mawazoni mwao... he must be a superstar <br />
<br />
imagine a girlfriend/wife anaona jinsi mwanaume ulivyo obsessed na Kibonde, sijui anajisikiaje?