Kiatu cha kiume china 5000 bongo unauziwa 120,000/=

Kiatu cha kiume china 5000 bongo unauziwa 120,000/=

Vipi wamekutaiti unahitaji msaada? 😹😹
Ety wanafurahi nirudi kijijini njaa ilishanitesa mno sikurudi sembuse mchina

Yaan muuziwe vitu bei rahisi tuu, afu sioni viti ghali kkoo mimi yaan wabongo bhn akili za panzi baadhi yao

WALE WOTE MLIO QOUTE NIRUDI KIJIJINI NENDENI CHINA KAMA RAHISI MKAFUNGE MA KONTENA HATA LOOSE CARGO MJE NAZO HAPA!

MNAFIKIRI WATU WANAENDA KUPEWA HELA BURE AU ? AU KUNA KIWANDA CHA MZAZI WA MTU AU CHA USHIRIKA ......

HAO WACHINA MNAOWAKUMBATIA WALISHAKUWEPO TZ NA HUKO KKOO MAGUFULI AKATIMULIA MBALI, SIO KWAMBA NI WAGENI MJINI, LABDA NYIE NDO WAGENI MJE TARATBU

MTU MZIMA WAKAA MONETARY DOCTOR NIRUDI KIJIJINI, HUNA AIBU NJAA YAKO, ULIPO PANGU PAKAVU, HUKAI MOJA WALA MBILI FANYENI KAZI MIMI HATA KARIAKOO SIPO ILA MNAVYO NIANDAMA UTAFKR MM VUNJA BEI

NYIE KASAULENI MITUMBA ILALA BOMA, AFU MBONA KARIAKOO UNA CHAGUO LA KUNUNUA UNAPOTAKA NA KWA YOYOTE,

KAMA RAHISI NENDENI HATA NAIROBI MKANUNUE MITUMBA MJE MTURINGISHIE AU MUENDE ZANZIBAR AMA UGANDA VITU BEI RAHISI

MUDA WA KUSHINDANA NA WATU WAZIMA SINA WAKUU

NILALE SASA
 
Kuna siku supermarkets na supply chain yote ya nchi hii ITASHIKILIWA NA WACHINA.

Hiyo siku ikifika mtakuwa kama mbwa kwenye nchi yenu na mtalia na kusaga meno maana WACHINA ndo watapanga bei za viberiti na condoms.

Kwa kifupi mtatawaliwa tena kama ambavyo hali ilikuwa kabla ya 1961. Matajiri wakubwa watakuwa wachina na wata-influence hadi mnachokula maana chain yote watakuwa wao tu.

Wachina watakuwa wana-fund kampeni za wanasiasa, watakuwa na lobbying groups zenye nguvu na watapanga hadi Rais awe nani. Maelekezo ya kuhusu nani awe Rais yatakuwa hayatoki Dodoma, yatatoka BEIJING

Mwafrika ni kama kenge. Huwa haamini kitu mpaka kimkute.

Ukoloni sio lazima watu waje na vifaru. Just control the supply chain and you are good
Ni kipindi gani wazawa waliwahi shika uchumi wa nchi hii?? Saivi maelekezo ya nani awe rais yanatoka wapi?

Ngoja wachina watoe somo la ujasiriamali kwa vitendo
 
Tatizo linakuja hapa

Mtu katoa hela kwa supplier katengeneza mzgo ukawa wa kutosha,

Sema moja, Purchasing price

Kumbuka mzgo upo china sio mwenge, anatumia njia gani ya kusafirisha ? Kama ndege au maji,

Tuchukulie kontena moja tuu la ft 20

Atalipia Kodi, customs, hapa zipo nyingi nyingi inategemea na uagizaji wako sasa

Atalipia wharfage charges kama inahitajika

Atalipia shipping line charges,

Atalipia clearing fees wakati wa kutoa kontena,

Atalipia usafiri bandarini kwenda dukani au stores,

Atalipia washusha mzgo ndani ya kontena na kuipanga,

Kumbuka anamlipa mchina kwa USD hata kama ana CRDB USD kuzipata dollar alinunua kwanza CRDB TZS Kuna makato,

Kuna makato wakati analipia mzgo

Siwezi andika vitu vyote ni kazi Tena sio nyepesi
Hapa umeeleweka.
 
Back
Top Bottom