Tatizo linakuja hapa
Mtu katoa hela kwa supplier katengeneza mzgo ukawa wa kutosha,
Sema moja, Purchasing price
Kumbuka mzgo upo china sio mwenge, anatumia njia gani ya kusafirisha ? Kama ndege au maji,
Tuchukulie kontena moja tuu la ft 20
Atalipia Kodi, customs, hapa zipo nyingi nyingi inategemea na uagizaji wako sasa
Atalipia wharfage charges kama inahitajika
Atalipia shipping line charges,
Atalipia clearing fees wakati wa kutoa kontena,
Atalipia usafiri bandarini kwenda dukani au stores,
Atalipia washusha mzgo ndani ya kontena na kuipanga,
Kumbuka anamlipa mchina kwa USD hata kama ana CRDB USD kuzipata dollar alinunua kwanza CRDB TZS Kuna makato,
Kuna makato wakati analipia mzgo
Siwezi andika vitu vyote ni kazi Tena sio nyepesi