Kiatu cha kiume china 5000 bongo unauziwa 120,000/=

Kiatu cha kiume china 5000 bongo unauziwa 120,000/=

Sio kweli .. China ni taifa linaloinukia kwa sasa .. na kumbuka mchina miaka ya 60 alikua chini mno ilhali hata kuifahamu China yenyewe haikua rahisi .. muarabu .. mzungu na mhindi ndo watu walikua wametoka na kuonekana huku kwetu ilhali hadi leo wahindi wanatamba kwenye maghorofa ya kila halmashauri hapa Tz .. sasa kusema mchina atatuamulia hasi kwenye mamlaka ya utawala si kweli hii ni China rising Acha nao watoke na wafurahie rising yao .. unaeza shangaa miaka 30 ijayo linaibuka taifa lingine nalo linakuja kwa style hii .. hivyo kwa sasa ni kukubaliana na hali tu hamna namna ..

China sio RISING.

China tayari ni SUPERPOWER. Yaani hapa Marekani, hapa Mchina.

China alikuwa Rising miaka 90 na 2000s sasa hivi tayari ni superpower.

Iko on top of the food chain.

Na ni suala la muda tu, mtaenda kuwapigia magoti na kuwalamba masaburi ili wawe wanawapunguzia bidhaa maana supermaerkts na supply chain yote watakuwa wao.
 
Tuchukulie kontena moja tuu la ft 20

Atalipia Kodi, customs, hapa zipo nyingi nyingi inategemea na uagizaji wako sasa

Atalipia wharfage charges kama inahitajika

Atalipia shipping line charges,

Atalipia clearing fees wakati wa kutoa kontena,

Atalipia usafiri bandarini kwenda dukani au stores,

Atalipia washusha mzgo ndani ya kontena na kuipanga,
Hizi zote na mchina pia analipia,
Iweje nyinyi mtuuzie bei ya 7X70.....?
 
China sio RISING.

China tayari ni SUPERPOWER. Yaani hapa Marekani, hapa Mchina.

China alikuwa Rising miaka 90 na 2000s sasa hivi tayari ni superpower.

Iko on top of the food chain.

Na ni suala la muda tu, mtaenda kuwapigia magoti na kuwalamba masaburi ili wawe wanawapunguzia bidhaa maana supermaerkts na supply chain yote watakuwa wao.
Unalazimishwa kununua supermarket ? Au unataka kusema hata udongo wameupiga ndumba ukipanda vitu havioti ? Mwisho wa siku cha maana ni nafuu kwa mtumiaji na apate services kwahio ni kujiuliza what we can do better kuliko wao ili tu concentrate kufanya hivyo...

Unaongelea supermarkets ?, dunia nzima kuna supermarkets giants kubwa chache na zikiingia nchi yoyote wengine inabidi wabadilishe kazi (economy of scale) ni kama Amazon alivyoweza kuua bookshops na big publishing companies, kuna maduka kama Marks and Spencer au Woolworth yalikufa kifo cha kawaida kwahio kama dunia huko ndipo tunapoelekea Producer ana uwezo wa kuwa a direct supplier.... Ushauri tu you can not stop the Waves, but you can learn how to Surf....

Kama taifa tujitayarishe na mabadiliko ila sio kuwa kungangania kwamba uchuuzi ndio kazi zetu bali kuhakikisha commanding heights kama Bandari, Tanesco, n.k. zinakuwa chini ya Umma kwa faida ya Umma; Badala ya kulia kuuza ndala zilizotoka China (na sio Tandale au Arusha kwa Mmasai) tungejizatiti kuuza utalii na kuwaonyesha / kuwafundisha watu wetu pride ya Made in Tanzania (kama ipo); Times are changing fast and we have never been here before (Technological Advancement imebadilisha rules of the game) and when it come to manufacturing Chinese are the Kings....
 
Sijapaniki mkuu, 😂 nimejaribu kuwaonyesha watz tunazingua

Anayeona ni rahisi kiatu Cha hafu tano aende tuu china shida iko wapi kwani ? Cc Lamomy
Kiatu cha 5000 kinapatikana vizuri tu boss. Zile canvas (converse) zinazouzwa Tsh 15,000 hadi 20k zinauzwa kwa bei isiyozidi Tsh 3500 ukichukua kuanzia 300 pairs. Mimi huwa nachukua zisizo na chata ya Converse kwa hadi Tsh 2600. Mimi nawatetea wanaouza nguo tu. Bidhaa zingine bei zinawekwa hadi mara 10. Gharama za usafiri na kodi huwa hazivuki 100% ya bei ya kununulia.

Walipojitokeza wenzetu wa kuwaagizia watu kama kina Niffer na Faiza nao kwa tamaa wakaanza utapeli na dhuluma. Naona Mchina atunyooshe tu maana hakuna namna sasa.
 
Unalazimishwa kununua supermarket ? Au unataka kusema hata udongo wameupiga ndumba ukipanda vitu havioti ? Mwisho wa siku cha maana ni nafuu kwa mtumiaji na apate services kwahio ni kujiuliza what we can do better kuliko wao ili tu concentrate kufanya hivyo...

Unaongelea supermarkets ?, dunia nzima kuna supermarkets giants kubwa chache na zikiingia nchi yoyote wengine inabidi wabadilishe kazi (economy of scale) ni kama Amazon alivyoweza kuua bookshops na big publishing companies, kuna maduka kama Marks and Spencer au Woolworth yalikufa kifo cha kawaida kwahio kama dunia huko ndipo tunapoelekea Producer ana uwezo wa kuwa a direct supplier.... Ushauri tu you can not stop the Waves, but you can learn how to Surf....

Kama taifa tujitayarishe na mabadiliko ila sio kuwa kungangania kwamba uchuuzi ndio kazi zetu bali kuhakikisha commanding heights kama Bandari, Tanesco, n.k. zinakuwa chini ya Umma kwa faida ya Umma; Badala ya kulia kuuza ndala zilizotoka China (na sio Tandale au Arusha kwa Mmasai) tungejizatiti kuuza utalii na kuwaonyesha / kuwafundisha watu wetu pride ya Made in Tanzania (kama ipo); Times are changing fast and we have never been here before (Technological Advancement imebadilisha rules of the game) and when it come to manufacturing Chinese are the Kings....

Kama wachina ni kings wa manufacturing, kwanini wasije hapa kuanzisha viwanda?
 
Kama wachina ni kings wa manufacturing, kwanini wasije hapa kuanzisha viwanda?
Jiulize how did they become Kings ? na can that be replicated here ?

China anauzia dunia nzima hivyo anatoa bidhaa nyingi sana kwahio hata akipata faida ndogo per unit bado faida ni kubwa

Mizigo kutoka China kwenda popote duniani ni mingi sana na ya uhakika hivyo ni rahisi kuingia mikataba na shippers ya muda mrefu kwa gharama ndogo

Wachina ni wachapa kazi na wametengeneza mifumo kwao efficient inayoweza kubadilika at a moment notice na kuna idadi kubwa ya labor force kuweza kufanya kazi na kuzimeet hizo deadlines;

Kwa ufupi wachina wametengeneza an efficient process katika manufacturing na ni cheaper kuwepo kule na sio pengine (Comperative Advantage); viwanda vinakwenda sehemu ambayo utengenezaji na overheads zitakuwa cheaper na sio kubwa; ingekuwa tunaweza kushindana nao kwanini tusumbuke kununua nguo kutoka kwao wakati tuna mashamba ya pamba na viwanda vya nguo ? (Jibu lako lipo hapo kwanini wasilete viwanda hapa); Kina Nike sio wajinga kupeleka viwanda vya Nguo zao India au Iphone kupeleka assembly line China...
 
Bongo tunaumizana kisa njaa, alafu shangaa mtu akishapata mamilioni ya fwedha kwa njia ya haramu baada ya muda nafsi inaanza kumsuta unashangaa anaanza kugawa hovyo hovyo.. waliokulia kanisani utawaona wanavunga kutoa sadaka.. wale wenzangu na mm ndo kutwa kuzungusha bia bar, wasio na dini utaskia wanalisha watoto yatima etc..

Ila ukimuangalia anaetoa hizo sadaka hafananii na mtu mwenye hela, yaan uso hauna nuru, Body language bado ya kimaskini.. unagundua tu huyu hajawa blessed naturally, anatoa sababu keshapata alichokua anakitaka akahisi kitampa furaha saizi anateswa na hatia..

Just Earn a decent income, an income that is rightfully yours then rejoice in every way possible!!

To be free in life is to detach yourself from it, and not to succumb in its material thingz!

Kudadeki! Nimetema yai la Mbuni, kwa hisani ya watu wa Marekani!!
Nimeipenda hii
 
Back
Top Bottom