Kiatu cha kiume china 5000 bongo unauziwa 120,000/=

Kiatu cha kiume china 5000 bongo unauziwa 120,000/=

Hawa majamaa yanazingua kinoma sasavi nikitaka kitu naagiza tu china Tena Kwa njia ya ndege chap tu,
Tafadhali mpatie supplier wako address yetu
OUR CHINA ADDRESS
PM AIR CARGO

广州市越秀区环市西路202号之三第十一层1148铺(美博体育用品市场)-Patrick 19584669781



WhatsApp /call +255 755 18 48 73
IMG-20250317-WA0001.jpg
 
Bongo tunaumizana kisa njaa, alafu shangaa mtu akishapata mamilioni ya fwedha kwa njia ya haramu baada ya muda nafsi inaanza kumsuta unashangaa anaanza kugawa hovyo hovyo.. waliokulia kanisani utawaona wanavunga kutoa sadaka.. wale wenzangu na mm ndo kutwa kuzungusha bia bar, wasio na dini utaskia wanalisha watoto yatima etc..

Ila ukimuangalia anaetoa hizo sadaka hafananii na mtu mwenye hela, yaan uso hauna nuru, Body language bado ya kimaskini.. unagundua tu huyu hajawa blessed naturally, anatoa sababu keshapata alichokua anakitaka akahisi kitampa furaha saizi anateswa na hatia..

Just Earn a decent income, an income that is rightfully yours then rejoice in every way possible!!

To be free in life is to detach yourself from it, and not to succumb in its material thingz!

Kudadeki! Nimetema yai la Mbuni, kwa hisani ya watu wa Marekani!!
Wengi hawawezi kukuelewa
 
Mwanzoni nilikua nawaonea huruma sana wabongo wa kariakoo wakilalamika kwanini wachina wamejazana kariakooo, na walizunguka media mbali mbali kuonyesha ubaya wa wachina, kumbe siri wanaijua...

Wachina kule kwao bidhaa ni bei ndogo sana, wakawa wanashangaa kwanini wabongo wanajazana kuja kuchukua bidhaa? Wakaamua kuja kufanya utafiti wakakuta majamaa yanapata faida mara 4 na bei waliyochukulia, yaani ukiachana na Kodi n.k bado faida wanapata kubwa saana wakiuza jumla....

Mfano nimeona kiatu Cha dollar 2, hapa kariakoo naambiwa ni 60,000/= kwahiyo nikawa nashangaa, yaani unataka kusema Kodi pamoja na usafiri ni zaidi ya 40,000/=.

Cadet za kiume jeans wanauza 20,0000/= wakati china ni 3000/=... Ngoja waje wawanyoooshe.

Wafanyabiashara wa china wameanza kuonyesha bidhaa halisi na bei halisi mtandaoni jambo ambalo limeathiri Moja Kwa Moja mifumo ya kibiashara ya kimataifa, hususani kweli AliExpress, temu, shein n.k ....
Kuna wale wachina wa citi store,wanakuwaga na ofa baadhi ya siku ukifika dukani kwao chochote utakachokiona ni bei yake ni elfu 3
 
Na vijana maskini washamba wanaanza kumuona huyo jamaa ana akili sana ..Utasikia yule jamaa anajua sana kumbe anaumiza wenzie .

Mtaji wa Wanyonyaji wa Waafrica ni Ujinga. Ujinga wenye majina mengi utaskia ndo “Utamaduni wetu” “Mila zetu” au ndo “desturi yao” shubaamit!!

Werevu hawasikilizwi, hawapewi platforms za kuwafikia watu wengi.. Mwerevu akizungukwa na wajinga anakua hatarini.
Ila ni kipindi cha mpito Mkuu, it gonna get ugly before it becomes beautiful
 
Mwanzoni nilikua nawaonea huruma sana wabongo wa kariakoo wakilalamika kwanini wachina wamejazana kariakooo, na walizunguka media mbali mbali kuonyesha ubaya wa wachina, kumbe siri wanaijua...

Wachina kule kwao bidhaa ni bei ndogo sana, wakawa wanashangaa kwanini wabongo wanajazana kuja kuchukua bidhaa? Wakaamua kuja kufanya utafiti wakakuta majamaa yanapata faida mara 4 na bei waliyochukulia, yaani ukiachana na Kodi n.k bado faida wanapata kubwa saana wakiuza jumla....

Mfano nimeona kiatu Cha dollar 2, hapa kariakoo naambiwa ni 60,000/= kwahiyo nikawa nashangaa, yaani unataka kusema Kodi pamoja na usafiri ni zaidi ya 40,000/=.

Cadet za kiume jeans wanauza 20,0000/= wakati china ni 3000/=... Ngoja waje wawanyoooshe.

Wafanyabiashara wa china wameanza kuonyesha bidhaa halisi na bei halisi mtandaoni jambo ambalo limeathiri Moja Kwa Moja mifumo ya kibiashara ya kimataifa, hususani kweli AliExpress, temu, shein n.k ....
Hauna akili ya Biashara.hutoweza kuelewa
Ha haujui TARATIBU ZA KUMILIKI BIASHARA MJINI

GAP LAKO LINAANZIA HAPO

JIFUNZE KWANZA PROCEEDURE ZA KUMILIKI BIASHARA MJINI

KWANZA HAKUNA KIATU CHA DOLA 2

Kama kipo basi nendq uwe unanunulia china
 
Unazoongea hapa bado hazina uhalisia wa gharama uuze mpaka mara mbili yake...Kama utabisha basi itabidinikupe maelezo zaidi.
Kumbuka kiatu hicho anayeagiza hapa Tz labda ni mtu wa duka au supplier kwa bongo, ana bei yake ambayo ni affordable tuu,

Ttzo ni wanaochukua kwa supplier huko kariakoo na wengine

Nimeongea hivyo kwa kuwa kasema kiatu kinauzwa china hivi,

Nieleweshe pia
 
Back
Top Bottom