Kiapo: Kuanzia leo nimeacha uzinzi

Kiapo: Kuanzia leo nimeacha uzinzi

Naomba kueleweshwa maana ya maneno ya fuatayo

Uzinzi………….

Kuacha……….

Kwa jina la jf…….. 😂😂
Uzinzi - kutembea na mtu nje ya ndoa
Kuacha - kitendo cha kuahirisha jambo ulilokusudia kulifanya mara kwa mara au kulipanga hapo baadae😎
Kwa jina la jf - inamaanisha kila kitu kinachoongelewa kupitia mgongo wa jf au kiapo cha jina la jf ni FEKI, yaani ni utani,kauli au kiapo husika kimechukuliwa kama Masihara

Xiao qui shui
 
Uzinzi - kutembea na mtu nje ya ndoa
Kuacha - kitendo cha kuahirisha jambo ulilokusudia kulifanya mara kwa mara au kulipanga hapo baadae😎
Kwa jina la jf - inamaanisha kila kitu kinachoongelewa kupitia mgongo wa jf au kiapo cha jina la jf ni FEKI, yaani ni utani,kauli au kiapo husika kimechukuliwa kama Masihara

Xiao qui shui
Katupiga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom