Kiapo: Kuanzia leo nimeacha uzinzi

Kiapo: Kuanzia leo nimeacha uzinzi

Nilikoma kitambo tu,
Kwa bi nyau kule nikalikuta bonge la muanti fakamia wiki nzima narudi home tu uji huo.
Kukojoa unalia si kwa maumivu yale.
Ukiongea nae mwenyewe hana habari.
Dawa zote zinakataa.
Dah kuna sister mmoja janki tu na pisi haswa hapo hospitali.
Aliandika dawa nilete akanichapa nazo kwenye mshipa huku anabembeleza.
Dah wiki tu ngoma ikapotea kabisaaa.
Nikamwuomba tutest mitambo
Yuko poa.
Nikamtafuna na yeye pia🤣🤣🤣.
 
Nilikoma kitambo tu,
Kwa bi nyau kule nikalikuta bonge la muanti fakamia wiki nzima narudi home tu uji huo.
Kukojoa unalia si kwa maumivu yale.
Ukiongea nae mwenyewe hana habari.
Dawa zote zinakataa.
Dah kuna sister mmoja janki tu na pisi haswa hapo hospitali.
Aliandika dawa nilete akanichapa nazo kwenye mshipa huku anabembeleza.
Dah wiki tu ngoma ikapotea kabisaaa.
Nikamwuomba tutest mitambo
Yuko poa.
Nikamtafuna na yeye pia🤣🤣🤣.
Alooh una roho ngumu sana mimi nimekoma
 
Kuna wakati nawaza alafu sipati majibu.mungu aliwaza nini kuumba ule utamu alafua akaweka na maradhi.?
Maradhi yamewekwa na binadamu na uchafu wao

Hata suruali usipo ifua inakuwa na chawa
 
Naapa kwa jina la JF kuanzia leo mimi Kazanazo nimeacha uzinzi sitakuja kurukia tena pisi za nje hata kama mke wangu aninyime kwa mwaka mzima

Hili gube gube limeniambukiza uti sijawahi ugua toka nizaliwe wallah nimekoma sirudii tena
 

Attachments

  • 1765453398984.jpg
    1765453398984.jpg
    155.7 KB · Views: 26
Uboo wangu upo salama kabisa hauna hata kaupele sema nina homa ya kufa mtu na mafua makali sijawahi ona nesi mwenyewe kanishauri hiyo manzi niachane nayo kwa mda mimi nikasema hiyo ndio basi tena nimekoma
Daah poa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom