Wasimamizi wa sheria za ndoa wanachangia sana ongezeko la uharifu dhidi ya binadam!
Kesi nyingi za talaka zikifika mahakaman zinapigwa danadana sana kiasi cha kuchukua muda mrefu huko mahakaman jambo linalochangia madhara kwa wanandoa wenyewe!
Athari kubwa inamkumba sana mwanamke ambaye yupo limited na muda wa menopause ili kuendeleza kuzaa na kuanzisha familia nyingine!
Mwanaume anaweza endelea kupigisha danadana huku akiwa anazalisha wanawake wengine huko, lakini mhanga katika kesi ni mwanamke ambaye hawezi na hatakiwi kubeba mimba inje ya ndoa!
Kuna haja gani kesi za talaka kuchukua muda mrefu wakati mashahidi wakuu ni wanandoa wenyewe?
Serikali kwanini inafumbia macho unyama huo wa makusudi dhidi ya wanawake?
Kuna haja gani kesi ya talaka kuchukua muda mwingi zaidi ya mwaka?
Kesi nyingi za talaka zikifika mahakaman zinapigwa danadana sana kiasi cha kuchukua muda mrefu huko mahakaman jambo linalochangia madhara kwa wanandoa wenyewe!
Athari kubwa inamkumba sana mwanamke ambaye yupo limited na muda wa menopause ili kuendeleza kuzaa na kuanzisha familia nyingine!
Mwanaume anaweza endelea kupigisha danadana huku akiwa anazalisha wanawake wengine huko, lakini mhanga katika kesi ni mwanamke ambaye hawezi na hatakiwi kubeba mimba inje ya ndoa!
Kuna haja gani kesi za talaka kuchukua muda mrefu wakati mashahidi wakuu ni wanandoa wenyewe?
Serikali kwanini inafumbia macho unyama huo wa makusudi dhidi ya wanawake?
Kuna haja gani kesi ya talaka kuchukua muda mwingi zaidi ya mwaka?