Salam wakuu,
Wengi wanajua kuwa leo Mahakamani hapo Mbeya kulipaswa kusomwa hukumu ya kesi inayovuta masikio na hisia za watu wengi, ambayo imetunguliwa na mawakili wa nne wakujitegemea dhidi ya Jamhuri (AG) na Bunge pia kupitia Katibu wa Bunge.
Historia ya kuibuka kwa shauri hili inajulikana,kuahirishwa kwa hukumu za kesi pia sio jambo geni Ila kwa hii inaleta hisia hasi!
Kwanini hisia hasi? Kwanza wengi tunajua kua rais Samia anatuhumiwa kuhusika na mkataba tata ulioibua kesi hii na moja kwa moja inasemwa ameuza Mali za Tanganyika kwa wajomba(waarabu wa Dubai).
Kumekuwa na jitihada kubwa sana kwa serikali ya Samia kutetea na kuhakikisha Jambo hilo linaendelea na Ni zuri (japo watu wanahoji,kama ni zuri kwa nini hakujumuisha na bandari za Zanzibar anapotokea?)
Kesho Mbeya rais arashiriki maadhimisho ya 8-8 na kwa kawaida Mbeya ni mji ambao hauna nidhamu ya kinafiki,kama mtakumbuka hapo Mbeya rais Kikwete aliwahi kupopolewa Mawe kwenye msafara wake, Magufuli aliwahi kuzomewa pia huko awali.
Kuahirishwa kwa hukumu ya kesi husika siku moja kabla ya raisi kuwa Mbeya kwenye maadhimisho ni kuepusha aibu na fedheha ya kuzomea?
Kuahirishwa kwa hukumu,ni kua hukumu imeshapangwa na watawala wanahofia itapokewa kwa hasira na kuzua heka heka?
Hukumu itasomwa siku moja ama 2 baada ya Rais kuwa ameshaondoka Mbeya,je ujio wake hapo kesho ndio sababu?
Kwenye japo la mahakimu wanne,mmoja kukosekana hakuzuii watatu waliobaki kutokusema hukumu,kwa nini ihairishwe?!! Ujio wa raisi?
Binafsi inatoa taswira tayari kua hukumu hiyo ni ya kubumba,kama ni ya haki basi ingeendelea tu.
Kwenye familia ama maisha yetu,ukiwa unatenda ama unataka kutenda jambo la fedheha,husubiri kwanza umma utulie usikutane na heka heka, naona ndio haya!
Wengi wanajua kuwa leo Mahakamani hapo Mbeya kulipaswa kusomwa hukumu ya kesi inayovuta masikio na hisia za watu wengi, ambayo imetunguliwa na mawakili wa nne wakujitegemea dhidi ya Jamhuri (AG) na Bunge pia kupitia Katibu wa Bunge.
Historia ya kuibuka kwa shauri hili inajulikana,kuahirishwa kwa hukumu za kesi pia sio jambo geni Ila kwa hii inaleta hisia hasi!
Kwanini hisia hasi? Kwanza wengi tunajua kua rais Samia anatuhumiwa kuhusika na mkataba tata ulioibua kesi hii na moja kwa moja inasemwa ameuza Mali za Tanganyika kwa wajomba(waarabu wa Dubai).
Kumekuwa na jitihada kubwa sana kwa serikali ya Samia kutetea na kuhakikisha Jambo hilo linaendelea na Ni zuri (japo watu wanahoji,kama ni zuri kwa nini hakujumuisha na bandari za Zanzibar anapotokea?)
Kesho Mbeya rais arashiriki maadhimisho ya 8-8 na kwa kawaida Mbeya ni mji ambao hauna nidhamu ya kinafiki,kama mtakumbuka hapo Mbeya rais Kikwete aliwahi kupopolewa Mawe kwenye msafara wake, Magufuli aliwahi kuzomewa pia huko awali.
Kuahirishwa kwa hukumu ya kesi husika siku moja kabla ya raisi kuwa Mbeya kwenye maadhimisho ni kuepusha aibu na fedheha ya kuzomea?
Kuahirishwa kwa hukumu,ni kua hukumu imeshapangwa na watawala wanahofia itapokewa kwa hasira na kuzua heka heka?
Hukumu itasomwa siku moja ama 2 baada ya Rais kuwa ameshaondoka Mbeya,je ujio wake hapo kesho ndio sababu?
Kwenye japo la mahakimu wanne,mmoja kukosekana hakuzuii watatu waliobaki kutokusema hukumu,kwa nini ihairishwe?!! Ujio wa raisi?
Binafsi inatoa taswira tayari kua hukumu hiyo ni ya kubumba,kama ni ya haki basi ingeendelea tu.
Kwenye familia ama maisha yetu,ukiwa unatenda ama unataka kutenda jambo la fedheha,husubiri kwanza umma utulie usikutane na heka heka, naona ndio haya!