habari wadau
nilikuwa na utafiti binafsi wa mambo ya ndoa kwa ajili ya kukamilisha research thesis for academic reasons.
nilifika Kituo Jumuishi cha Masuala ya Familia Temeke na kufanikiwa kuomba nakala za hukumu mbali mbali za kesi za ndoa ili zinisaidie utafiti wangu.
katika kusoma kwangu hukumu za ndoa zaidi ya 200. nimegundua ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu zinazofanana.
sababu kuu ni ya kwanza ni Pesa, yaani mapato na matumizii ya wanandoa, wanawake wengi wanaodai divorce wanalalamika wanaume zao kutotimiza jukumu lao la kipesa kutunza mke na familia nzima. na wanaume wengi wanalalamika kwamba wake zao wana matumizi mabovu ya pesa na wana demand za ajabu ajabu. kulazimisha familia iishi maisha fulani. na pia wake zao wamewaletea dharau za wazi wazi hasa pale mwanaume anapokosa pesa mfano anapokosa kazi na kuwa benchi. mke analeta dharau na kejeli ambazo zinafikia talaka
sababu nyingine ya kipesa ni wanandoa kuwa na Maoni yanayopingana kuhusu Pesa mfano mmoja anapenda kuinvest na mwingine anapenda kuspend kama kula bata. ndoa inaishia divorce.
MADENI pia yanavunja sana ndoa . ndoa yoyote ambayo ina wana ndoa wana madeni ya kipesa huwa inakuwa na migogoro mingi sana. madeni tu yaliyotokana na harusi tu huwa yanavunja ndoa nyingi sana
2. sababu ya pili extended family hasa mama wakwe. kwenye kesi nyingi za divorce nilizozisoma mama wakwe wametajwa. hasa mama wa mke kumfanyia maamuzi mwanae ya ndani ya ndoa yake. mke kaolewa ila bado anaongozwa kila kitu na mama yake mzazi. pia mama wa wanaume na wao wamelalamikiwa sana kwenye kesi nyingi.
3. sababu ya tatu ni Uzazi. mwanamke asiposhika mimba, wanaume wengi hasa wa kikristo wanazaaa nje ya ndoa huku hairuhusiwi hapo ndoa zinafikia divorce
NILICHOJIFUNZA KUCHEPUKA HAKUVUNJI NDOA. KAMA HIZO SABABU TATU NILIZOZITAJA HAZIWASUMBUI HAO WANANDOA. MWANAMKE HAVUNJI NDOA KWA SABABU MUMEWE KACHEPUKA KAMA MAMBO YA PESA KWENYE FAMILIA YAMENYOOKA, MAMA MKWE WAKE NI MTU POA KWAKE, UZAZI UPO POA KAZAAA WATOTO. HAPO NDOA HAIVUNJIKI HATA MUME AKICHEPUKA MARA MOJA MOJA SANA SANA ATAPAMBANA NA MCHEPUKO.
NIna hukumu za ndoa zaidi ya 300. bado naendelea kuzisoma hukumu zake. kwa wanandoa wapya hayo machache myafanyie kazi mkitaka ndoa zenu zidumu
nilikuwa na utafiti binafsi wa mambo ya ndoa kwa ajili ya kukamilisha research thesis for academic reasons.
nilifika Kituo Jumuishi cha Masuala ya Familia Temeke na kufanikiwa kuomba nakala za hukumu mbali mbali za kesi za ndoa ili zinisaidie utafiti wangu.
katika kusoma kwangu hukumu za ndoa zaidi ya 200. nimegundua ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu zinazofanana.
sababu kuu ni ya kwanza ni Pesa, yaani mapato na matumizii ya wanandoa, wanawake wengi wanaodai divorce wanalalamika wanaume zao kutotimiza jukumu lao la kipesa kutunza mke na familia nzima. na wanaume wengi wanalalamika kwamba wake zao wana matumizi mabovu ya pesa na wana demand za ajabu ajabu. kulazimisha familia iishi maisha fulani. na pia wake zao wamewaletea dharau za wazi wazi hasa pale mwanaume anapokosa pesa mfano anapokosa kazi na kuwa benchi. mke analeta dharau na kejeli ambazo zinafikia talaka
sababu nyingine ya kipesa ni wanandoa kuwa na Maoni yanayopingana kuhusu Pesa mfano mmoja anapenda kuinvest na mwingine anapenda kuspend kama kula bata. ndoa inaishia divorce.
MADENI pia yanavunja sana ndoa . ndoa yoyote ambayo ina wana ndoa wana madeni ya kipesa huwa inakuwa na migogoro mingi sana. madeni tu yaliyotokana na harusi tu huwa yanavunja ndoa nyingi sana
2. sababu ya pili extended family hasa mama wakwe. kwenye kesi nyingi za divorce nilizozisoma mama wakwe wametajwa. hasa mama wa mke kumfanyia maamuzi mwanae ya ndani ya ndoa yake. mke kaolewa ila bado anaongozwa kila kitu na mama yake mzazi. pia mama wa wanaume na wao wamelalamikiwa sana kwenye kesi nyingi.
3. sababu ya tatu ni Uzazi. mwanamke asiposhika mimba, wanaume wengi hasa wa kikristo wanazaaa nje ya ndoa huku hairuhusiwi hapo ndoa zinafikia divorce
NILICHOJIFUNZA KUCHEPUKA HAKUVUNJI NDOA. KAMA HIZO SABABU TATU NILIZOZITAJA HAZIWASUMBUI HAO WANANDOA. MWANAMKE HAVUNJI NDOA KWA SABABU MUMEWE KACHEPUKA KAMA MAMBO YA PESA KWENYE FAMILIA YAMENYOOKA, MAMA MKWE WAKE NI MTU POA KWAKE, UZAZI UPO POA KAZAAA WATOTO. HAPO NDOA HAIVUNJIKI HATA MUME AKICHEPUKA MARA MOJA MOJA SANA SANA ATAPAMBANA NA MCHEPUKO.
NIna hukumu za ndoa zaidi ya 300. bado naendelea kuzisoma hukumu zake. kwa wanandoa wapya hayo machache myafanyie kazi mkitaka ndoa zenu zidumu