PostGE2025 Kesi ya Ugaidi ina Dhamana? Kwanini Viongozi wa CHADEMA wamepata Dhamana? Kuna presha ya maridhiano?

PostGE2025 Kesi ya Ugaidi ina Dhamana? Kwanini Viongozi wa CHADEMA wamepata Dhamana? Kuna presha ya maridhiano?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Black Opal

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2023
Posts
304
Reaction score
543
G5Z4e3SWgAAOJkf.jpg

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania mtu anayetuhumiwa au kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi hawezi kupata dhamana, kitu ambacho tulikitegemea kwa viongozi wa CHADEMA kina Lema, Heche, Boni Yai na Golugwa. Wawasumbue weee kama wanavyomsumbua Lissu, mwishoni DDP aseme hana nia ya kuendelea na kesi hiyo.

Sasa imekuaje kwa viongozi wa CHADEMA waliokamatwa hivi karibuni? Imeakuaje wamepata dhamana kama kutuhumiwa na suala hilo hakuna dhamana?

Pia soma Polisi yawachia kwa DHAMANA viongozi wakuu wa CHADEMA waliokamatwa akiwemo Heche

Au kuna tobo ambalo wanasharia wanaliona sisi wengine ambao hatujui sheria hatuna elimu nalo? Embu mje mtusaidie hapa, hii imekaaje?

Kwa upande mwingine, ni presha ya maridhiano ndio imeleta yote haya baada ya Dunia nzima kusema uchaguzi haukuwa huru na haki? Sasa wanatafuta namna ya kuwapoza viongozi wa upinzani kukubali maridhiano?

Sitegemei Lissu akaja kukubaliana na haya maridhiano batili baada ya wenzetu zaidi ya elfu 2 kuuliwa! Akifanya hivi itakuwa ni usaliti mkubwa sana, yaani sitaki hata kufikiria.
 
Ujerumani wanataka Majibu Kuhusu Tanuru lao la Twiga kule wazo kutumika mubadala wa Gas chamber kama aliyoyafanya Hillter wametoneshwa Kidonda cha maumizu makuu, kwa jinsi walivyo waungwana wanaweza kulipa fidia Watanzania
 
Ujerumani wanataka Majibu Kuhusu Tanuru lao la Twiga kule wazo kutumika mubadala wa Gas chamber kama aliyoyafanya Hillter wametoneshwa Kidonda cha maumizu makuu, kwa jinsi walivyo waungwana wanaweza kulipa fidia Watanzania
Hivi ni kweli watu walipelekwa hapo kiwanda Cha cement kusagwa?Hii tetesi naisikia sikia tu.Kama ni kweli wamefanya Hivyo,basi wajue tarehe 9.12.2025 Umma utajua ukweli maana WAHUNI wote itakuwa mwisho wao.
 

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania mtu anayetuhumiwa au kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi hawezi kupata dhamana, kitu ambacho tulikitegemea kwa viongozi wa CHADEMA kina Lema, Heche, Boni Yai na Golugwa. Wawasumbue weee kama wanavyomsumbua Lissu, mwishoni DDP aseme hana nia ya kuendelea na kesi hiyo.

Sasa imekuaje kwa viongozi wa CHADEMA waliokamatwa hivi karibuni? Imeakuaje wamepata dhamana kama kutuhumiwa na suala hilo hakuna dhamana?

Pia soma Polisi yawachia kwa DHAMANA viongozi wakuu wa CHADEMA waliokamatwa akiwemo Heche

Au kuna tobo ambalo wanasharia wanaliona sisi wengine ambao hatujui sheria hatuna elimu nalo? Embu mje mtusaidie hapa, hii imekaaje?

Kwa upande mwingine, ni presha ya maridhiano ndio imeleta yote haya baada ya Dunia nzima kusema uchaguzi haukuwa huru na haki? Sasa wanatafuta namna ya kuwapoza viongozi wa upinzani kukubali maridhiano?

Sitegemei Lissu akaja kukubaliana na haya maridhiano batili baada ya wenzetu zaidi ya elfu 2 kuuliwa! Akifanya hivi itakuwa ni usaliti mkubwa sana, yaani sitaki hata kufikiria.
Kwanini una shida na maridhiano? Huoni kama ni afya kwa nchi kama pande mbili zitakuja kwenye maridhiano.

Kumbuka mauaji ya Pemba 2001, Maalim Seif alitembea Ulaya yote kuiomba jumuiya ya Kimataifa iinyime misaada Zanzibar. Mwisho wa siku CUF na Maalim Seif walirudi kwenye meza ya maridhiano. Jumuiya ya Kimataifa sio rafiki kihiivyo kama malengo yao hayatimii. Tujifunze kwenye kisa cha 2001.
 
Ujerumani wanataka Majibu Kuhusu Tanuru lao la Twiga kule wazo kutumika mubadala wa Gas chamber kama aliyoyafanya Hillter wametoneshwa Kidonda cha maumizu makuu, kwa jinsi walivyo waungwana wanaweza kulipa fidia Watanzania
Kweli? Naomba link kuhusu hii Mkuu
 

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania mtu anayetuhumiwa au kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi hawezi kupata dhamana, kitu ambacho tulikitegemea kwa viongozi wa CHADEMA kina Lema, Heche, Boni Yai na Golugwa. Wawasumbue weee kama wanavyomsumbua Lissu, mwishoni DDP aseme hana nia ya kuendelea na kesi hiyo.

Sasa imekuaje kwa viongozi wa CHADEMA waliokamatwa hivi karibuni? Imeakuaje wamepata dhamana kama kutuhumiwa na suala hilo hakuna dhamana?

Pia soma Polisi yawachia kwa DHAMANA viongozi wakuu wa CHADEMA waliokamatwa akiwemo Heche

Au kuna tobo ambalo wanasharia wanaliona sisi wengine ambao hatujui sheria hatuna elimu nalo? Embu mje mtusaidie hapa, hii imekaaje?

Kwa upande mwingine, ni presha ya maridhiano ndio imeleta yote haya baada ya Dunia nzima kusema uchaguzi haukuwa huru na haki? Sasa wanatafuta namna ya kuwapoza viongozi wa upinzani kukubali maridhiano?

Sitegemei Lissu akaja kukubaliana na haya maridhiano batili baada ya wenzetu zaidi ya elfu 2 kuuliwa! Akifanya hivi itakuwa ni usaliti mkubwa sana, yaani sitaki hata kufikiria.
Kwanini una shida na maridhiano? Huoni kama ni afya kwa nchi kama pande mbili zitakuja kwenye maridhiano.

Kumbuka mauaji ya Pemba 2001, Maalim Seif alitembea Ulaya yote kuiomba jumuiya ya Kimataifa iinyime misaada Zanzibar. Mwisho wa siku CUF na Maalim Seif walirudi kwenye meza ya maridhiano. Jumuiya ya Kimataifa sio rafiki kihiivyo kama malengo yao hayatimii. Tujifunze kwenye kisa cha mauaji ya Pemba.
 
Kwanini una shida na maridhiano? Huoni kama ni afya kwa nchi kama pande mbili zitakuja kwenye maridhiano.

Kumbuka mauaji ya Pemba 2001, Maalim Seif alitembea Ulaya yote kuiomba jumuiya ya Kimataifa iinyime misaada Zanzibar. Mwisho wa siku CUF na Maalim Seif walirudi kwenye meza ya maridhiano. Jumuiya ya Kimataifa sio rafiki kihiivyo kama malengo yao hayatimii. Tujifunze kwenye kisa cha 2001.
Maridhiano bila UWAJIBIKAJI ni TAKATAKA!
Halafu sisi sio Pemba! Bila watu kuwajibika kwa vifo zaidi ya 2000 vilivyotokea HAKUNA Maridhiano.
 
Back
Top Bottom