MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 20,722
- 42,805
Mahakama ya Afrika nayo ni Kangaroo court? Hawa wasanii wana mambo mengi machafu mno yasiyoelezeka. Mange Kimambi alipost machache sana. Uchafu wa wasanii na wanasiasa ukiwekwa hadharani nchi itatingishika.Kangaroo Courts haziaminiki kabisa.
Ukweli na Uhalisia kuhusu sakata hili ni tofauti kabisa na yale yaliyopo kwenye rekodi za Mahakama.
Mungu aendelee kuilinda familia ya Babu Seya, dhuluma walizofanyiwa na Wadhalimu hapa duniani Malipo yake watalipwa na Mungu pekee.