Kesi ya Babu Seya inaniumiza sana kichwa

Kesi ya Babu Seya inaniumiza sana kichwa

Japo Kwa udogo
baby seya na papi kocha walitiwa mbaroni kwa kesi ya ubakaji na ulawiti wa watoto 10 wakike wenye umri kati ya miaka 6 mpaka 8 ambao walikua wanafunzi wa shule ya msingi mashujaa, sinza dam 2003 hiyo

2004 wakala namba gereza la upanga

But kulikuwa na something beyond.
 
Babu Seya (Juma Kilowoko) na wanae walikamatwa mwaka 2003 wakituhumiwa kuwabaka watoto zaidi ya 10, wakiwemo wa shule moja ya msingi.

Walikamatwa, wakafikishwa mahakamani, wakaonekana na hatia na kufungwa maisha jela.

Baada ya miaka mingi kukaa gerezani , Rais Magufuli aliwasamehe mwaka 2017, kupitia msamaha wa Rais.

Nje ya carpet kesi ni ya kuchukuliana wanawake (Mapenzi) Salma JK ndio chanzo
Sawaa
 
baby seya na papi kocha walitiwa mbaroni kwa kesi ya ubakaji na ulawiti wa watoto 10 wakike wenye umri kati ya miaka 6 mpaka 8 ambao walikua wanafunzi wa shule ya msingi mashujaa, sinza dam 2003 hiyo

2004 wakala namba gereza la upanga

But kulikuwa na something beyond.
Kuna mahali niliona amepostiwa mtoto wa mwisho wa mama Sk kagraduate,. Mazungumzo ya Waja yakaniogopesha kidogo nikataka na Mimi nifaham
 
Unatutafutia ubaya ujue.

In short alitembea na mke wa mheshimiwa mkubwa sana , na akamtungia na wimbo kilichofutia familia nzima alihusika na ubakaji wa watoto na wote wakaenda jela, ashukuriwe magufuli.
 
Wakati nasoma mashujaa primary miaka hiyo niko mdogo babu seya alikuwa anakaa mitaa pale karibu na shule kuna wazazi walimfungulia mashtaka kwa kosa la ubakaji na ulawiti, ilikuwa kama kesi ya kusingiziwa wakati kipindi hicho alihusishwa na kutembea na mke mdogo wa muheshimiwa maybe
 
NrNe,.

Watu wazima naomba mnielezee Kuna Jambo silielewi,. ( Namaanisha watu wazima au yeyote mwenye kujua mambo ya nchi hii )

Nauliza sio Kwa ubaya lakini,. Hivi kesi ya Yule babu seya sijui Sea ilikuwaje kuwaje?, yaani alifanya Nini Hadi akafungwa , na kwanini watu walikua wanamhusisha na mheshimiwa yaani kilitokea Nini??,.
Yaani nataka nijue story yake Hadi alivyokuja kutolewa gerezani..

Narudia Tena, nimeuliza ili kujua tu Sina maana yoyote ovu wala nisifikirike vibaya..Nina hamu ya kuifahamu Kwa undani hii habari
Alimkula Saaalma, ambaye baadae akawa mke wa Jeikei.
Akabambikiziwa kesi ya kubaka watoto yeye na wanawe
 
Jamaa aliporwaga manzi yake nakupewa kesi.niile tu hari ya kuwakikwazo cha furaha ya mwenye nguvu
 
Moderators naomba mfute huu Uzi,. Maana nimeandika hapo sio Kwa ubaya ila Kuna njemba zinaalikana pm kwangu,. Active Paw YinYang Moderator
1000001210.jpg
1000001212.jpg
 
Unatutafutia ubaya ujue.

In short alitembea na mke wa mheshimiwa mkubwa sana , na akamtungia na wimbo kilichofutia familia nzima alihusika na ubakaji wa watoto na wote wakaenda jela, ashukuriwe magufuli.
Oooh,. Baasi inatosha
 
Wakati nasoma mashujaa primary miaka hiyo niko mdogo babu seya alikuwa anakaa mitaa pale karibu na shule kuna wazazi walimfungulia mashtaka kwa kosa la ubakaji na ulawiti, ilikuwa kama kesi ya kusingiziwa wakati kipindi hicho alihusishwa na kutembea na mke mdogo wa muheshimiwa maybe
Baasi wakuu nimeelewa
 
Mzee yule na mtoto wake walipewa kesi isiyo bila Ushahidi wala vidhibiti vya ushahidi ila Kwa waliofahamu familia ile mwanamke huyo aliekuwa na mahusiano na seya alikuw na mahusiano na mtu mwingine mwenye Nguvu ndio sababu seya alipotezwa Na Magufuli apumzike kwa amani alijua seya hana makosa ndio maana alimtoa kwa msamah
 
Back
Top Bottom