Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 3,937
- 12,419
Alimkunja manzi wa jamaa mmoja hivi, manzi akanogewa akawa anaipeleka kila siku mwamba akawa anaikung’uta kisawa sawa. Madaraka baada ya kugundua akamtia jamaa ndani.
Asante![]()
Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?
Sina hakika kama issue ya Mzee Nguza Viking na wanae iliwahi kukatwa hapa, by then ilipokuwa hot nilikua sija join JF. Kwanza kabisa lazima niseme kwamba sifagilii kabisa vitendo vichafu vya aina yoyote ile kwa watoto na kama kweli walifanya hayo wanayotuhumiwa kufanya- they deserve to rot in...www.jamiiforums.com
Mkuu muogope Mungu, ww ulikuwa mdg?Ngoja sisi tuliokuwa wadogo kipindi hicho tukae hapa tusubiri wakubwa watuambie😅
2004 rais hakuwa kikweteAlisingiziwa kubaka watoto enzi za utawala wa Kikwete akawekwa ndani yeye na watoto wake, akaja kupewa msamaha enzi za utawala wa Magufuli hicho ndio ninachokijua
ila nyuma ya Pazia nasikia ni ugomvi wa wanawake
Katika vitu ambavyo vinanipa sana shida katika ubongo wangu ni ukweli kuhusu kesi ya Babu Seya, nakuwa natamani nijue ni kweli yeye na familia yake walihusika kulawiti watoto au ni kesi ya mchongo kutoka kwa mtu mkubwa..
Ni nani ambaye anaweza kunitatulia kitendawili hiki nafikiri hakuna mwenye jibu la uhakika. Nikifika mbinguni swali la kwanza nitamuuliza sir God anifunulie jambo hili.
Namfaham dada mmoja alikuwa anafundisha Mugabe primary school ni kweli watoto waliingiliwa na familia ya seya, unajua uchawi na mazindiko ndio yaliwalazimisha kuwaingilia.
Issue ya Salma ni uongo wa wazi, na Ingekuwa kweli wangepotezwa bila kesi
Nenda kwenye maktaba ya mahakama yoyote ya mkoa ulipo,uombe hiyo hukumu,ujisomee mwenyewe utaona,acha kufata mkumbo kulaumu bila kuisomaAliwa wafunga akaja mwenda zake kawatoa, akamfuata hukohuko, mungu yupo kweli?
wabongo kwa kupenda story za vijiweniKikwete alihusika,kwa nini mnapepesa macho?
Too much rumours is trueKesi ya Mchongo ile, nyuma ya pazia alikuwa anakula mke wa kiongozi mkubwa kwenye ule utawala. Ila hizo ni stori za vijiweni