Kesi ya Babu Seya inaniumiza sana kichwa

Kesi ya Babu Seya inaniumiza sana kichwa

NrNe,.

Watu wazima naomba mnielezee Kuna Jambo silielewi,. ( Namaanisha watu wazima au yeyote mwenye kujua mambo ya nchi hii )

Nauliza sio Kwa ubaya lakini,. Hivi kesi ya Yule babu seya sijui Sea ilikuwaje kuwaje?, yaani alifanya Nini Hadi akafungwa , na kwanini watu walikua wanamhusisha na mheshimiwa yaani kilitokea Nini??,.
Yaani nataka nijue story yake Hadi alivyokuja kutolewa gerezani..

Narudia Tena, nimeuliza ili kujua tu Sina maana yoyote ovu wala nisifikirike vibaya..Nina hamu ya kuifahamu Kwa undani hii habari
 
NrNe,.

Watu wazima naomba mnielezee Kuna Jambo silielewi,. ( Namaanisha watu wazima na wenye kujua mambo )

Nauliza sio Kwa ubaya lakini,. Hivi kesi ya Yule babu seya sijui Sea ilikuwaje kuwaje?, yaani alifanya Nini Hadi akafungwa , na kwanini watu walikua wanamhusisha na mheshimiwa yaani kilitokea Nini??,.
Yaani nataka nijue story yake Hadi alivyokuja kutolewa gerezani..

Narudia Tena, nimeuliza ili kujua tu Sina maana yoyote ovu wala nisifikirike vibaya..Nina hamu ya kuifahamu Kwa undani hii habari
Google Usije kututeka!
 
 
Asante mkuu,.ngoja nitulie nisome
 
Babu Seya (Juma Kilowoko) na wanae walikamatwa mwaka 2003 wakituhumiwa kuwabaka watoto zaidi ya 10, wakiwemo wa shule moja ya msingi.

Walikamatwa, wakafikishwa mahakamani, wakaonekana na hatia na kufungwa maisha jela.

Baada ya miaka mingi kukaa gerezani , Rais Magufuli aliwasamehe mwaka 2017, kupitia msamaha wa Rais.

Nje ya carpet kesi ni ya kuchukuliana wanawake (Mapenzi) Salma JK ndio chanzo
 
Alisingiziwa kubaka watoto enzi za utawala wa Kikwete akawekwa ndani yeye na watoto wake, akaja kupewa msamaha enzi za utawala wa Magufuli hicho ndio ninachokijua

ila nyuma ya Pazia nasikia ni ugomvi wa wanawake
Ooh oukay
 
Back
Top Bottom