Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,811
- 40,417
Wakati anakula mlengwa alikuwa hajawa No.1Yaani wanawake wote hawa waliojaa bado unajipeleka kwenye mdomo wa mamba? Hata mimi ningemfanyizia zaidi hata ya hapo
Wakati anakula mlengwa alikuwa hajawa No.1Yaani wanawake wote hawa waliojaa bado unajipeleka kwenye mdomo wa mamba? Hata mimi ningemfanyizia zaidi hata ya hapo
Waziri ya mambo nje katika mambo sasa hamaindi ni totoziWewe ndio akili huna
Lile zengwe lilitengenezwa na waziri wa....
At least Leo nimepata Mwangaza akhsante kwa kunisanua Mkuu......!!!!!Umenikumbusha kibao cha Papii Kocha - Salima
Hivi kama wewe ni mtu mkubwa, utashindwa kupata njia rahisi tu ya kumshughulikia mtu hadi ukachukue watoto wadogo na kuwasimamisha mahakamani kuwadhalilisha kwamba wamebakwa..Katika vitu ambavyo vinanipa sana shida katika ubongo wangu ni ukweli kuhusu kesi ya Babu Seya, nakuwa natamani nijue ni kweli yeye na familia yake walihusika kulawiti watoto au ni kesi ya mchongo kutoka kwa mtu mkubwa..
Ni nani ambaye anaweza kunitatulia kitendawili hiki nafikiri hakuna mwenye jibu la uhakika. Nikifika mbinguni swali la kwanza nitamuuliza sir God anifunulie jambo hili.
Bora Marytina una uwezo wa kufikiri, mitanzania mingi ni sifuri kabisa..Namfaham dada mmoja alikuwa anafundisha Mugabe primary school ni kweli watoto waliingiliwa na familia ya seya, unajua uchawi na mazindiko ndio yaliwalazimisha kuwaingilia.
Issue ya Salma ni uongo wa wazi, na Ingekuwa kweli wangepotezwa bila kesi
Yes, kama dr shika na KGBkama nimekuelewa mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dahAndika vizuri
Pia Punguza Ulevi inaonekana unaendekeza Sana Mbege
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]..halafu Babu Seya alijitetea kuwa yeye ni hanithi.
..lakini alipotoka kifungoni akaoa binti mchanga kada wa CCM.
ndugu tafuta hukumu uisome hiyo kesi sio ya mchongo kila kitu kipo very clearKatika vitu ambavyo vinanipa sana shida katika ubongo wangu ni ukweli kuhusu kesi ya Babu Seya, nakuwa natamani nijue ni kweli yeye na familia yake walihusika kulawiti watoto au ni kesi ya mchongo kutoka kwa mtu mkubwa..
Ni nani ambaye anaweza kunitatulia kitendawili hiki nafikiri hakuna mwenye jibu la uhakika. Nikifika mbinguni swali la kwanza nitamuuliza sir God anifunulie jambo hili.
hi kitu unaeza kua sahihiYes, kama dr shika na KGB
Soma hizo hukumu zote ukiwa open minded... Kwa makini hapo utapata jibu kuwa ni siasa au sio.Hukumu ya kisiasa
Sikatai to be under 15 kwa dogo wa mwisho, ila familia ya seya mgeni mwenyewi , kwa pamoja walikuwa wanatekeleza zindiko/ call it spiritual adherence.kachichi na Nguza mbangu walitoka baadae baada ya mahakama KUONA hawana hatia nikukumbushe tu wakati watukio Nguza mbangu alikuwa Congo amerudi janaa yake mdo wanakamatwa hata yeye anashangaa pia KACHICHI mdogo wao wa mwisho alikuwa under 15 ilikuwa ngumu kujus hayo mambo pia nyumba inadaiwa walifanya hayo walikuwa wanaishi wote ikiwemo dada yao moja hivi mlemavu .ANAE JUA HILI VIZURI.NI MZEE NGUZA MWENYEWE KUNA MLANGO WATAKUWA WALIINGIA AMBAO NI NGUMU KUTOKA WAKAJIKUTA WAMENASA.
Soma hizo hukumu zote ukiwa open minded... Kwa makini hapo utapata jibu kuwa ni siasa au sio.
Ndugu binadamu ni hatari ukipata muda nenda kasikilize case za ubakaji Mahakamani. Kuna mengi ya ajabu hauwezi amini.
Jakaranda mbeya pale karibu na sokomatola.Jakaranda On De Beatz
Huyu jamaa ni kweli alikula vitoto hii case ilishupaliwa na shirika mojawapo la UN linaloshungulika sana na watoto ndiyo maana jamaa wakalamba kifungo cha maisha.Katika vitu ambavyo vinanipa sana shida katika ubongo wangu ni ukweli kuhusu kesi ya Babu Seya, nakuwa natamani nijue ni kweli yeye na familia yake walihusika kulawiti watoto au ni kesi ya mchongo kutoka kwa mtu mkubwa..
Ni nani ambaye anaweza kunitatulia kitendawili hiki nafikiri hakuna mwenye jibu la uhakika. Nikifika mbinguni swali la kwanza nitamuuliza sir God anifunulie jambo hili.
Ujasusi...halafu tena kuna ushahidi ?....umejichanganyaBaba mtu alikuwa jasusi from drc . inasemekana pia kwenye kesi yao kuna mpaka ushahidi wa video🤷🏽♂️