Kesi ya Babu Seya inaniumiza sana kichwa

Kesi ya Babu Seya inaniumiza sana kichwa

JK amerudi kwenye kiti kwa MTINDO mwingine.

Unapozungumzia kuhusu Hiyo kesi unaiweka kwenye riski familia ya ppi kocha.

Tafuta wimbo wake unaitwa SALMA.
Amezungumza yooote humo.


ILA MUOGOPE SANA SANA SANA MUNGU MUNGU SI KITU KIDOGO SI MCHEZO.
 
Katika vitu ambavyo vinanipa sana shida katika ubongo wangu ni ukweli kuhusu kesu ya babu seya.nakuwa natamani nijue ni kweli yeye na familia yake walihusika kulawiti watoto au ni kesi ya mchongo kutoka kwa mtu mkubwa..ni nani ambaye anaweza kunitatulia kitendawili hiki nafikiri hakuna mwenye jibu la uhakika.Nikifika mbinguni swali la kwanza nitamuuliza sir God anifunulie jambo hili.
Usijidanganye, hakuna mbingu utaenda wewe.
 
Namfaham dada mmoja alikuwa anafundisha Mugabe primary school ni kweli watoto waliingiliwa na familia ya seya, unajua uchawi na mazindiko ndio yaliwalazimisha kuwaingilia.
Issue ya Salma ni uongo wa wazi, na Ingekuwa kweli wangepotezwa bila kesi
 
Namfaham dada mmoja alikuwa anafundisha Mugabe primary school ni kweli watoto waliingiliwa na familia ya seya, unajua uchawi na mazindiko ndio yaliwalazimisha kuwaingilia.
Issue ya Salma ni uongo wa wazi, na Ingekuwa kweli wangepotezwa bila kesi
kachichi na Nguza mbangu walitoka baadae baada ya mahakama KUONA hawana hatia nikukumbushe tu wakati watukio Nguza mbangu alikuwa Congo amerudi janaa yake mdo wanakamatwa hata yeye anashangaa pia KACHICHI mdogo wao wa mwisho alikuwa under 15 ilikuwa ngumu kujus hayo mambo pia nyumba inadaiwa walifanya hayo walikuwa wanaishi wote ikiwemo dada yao moja hivi mlemavu .ANAE JUA HILI VIZURI.NI MZEE NGUZA MWENYEWE KUNA MLANGO WATAKUWA WALIINGIA AMBAO NI NGUMU KUTOKA WAKAJIKUTA WAMENASA.
 
Katika vitu ambavyo vinanipa sana shida katika ubongo wangu ni ukweli kuhusu kesu ya babu seya.nakuwa natamani nijue ni kweli yeye na familia yake walihusika kulawiti watoto au ni kesi ya mchongo kutoka kwa mtu mkubwa..ni nani ambaye anaweza kunitatulia kitendawili hiki nafikiri hakuna mwenye jibu la uhakika.Nikifika mbinguni swali la kwanza nitamuuliza sir God anifunulie jambo hili.
Tupende kusoma na kufanya tafiti watanzania.
Case ya Babu Seya@ Nguza Viking ina nakala nne za hukumu.
1. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
2. High Court of Tanzania Dar es Salaam
3. Court of Appeal of Tanzania
4. Review of court of appeal
Hapo utapata jibu kweli si kweli
 
Wale walikuwa wabakaji tu, kesi za kusingiziwa zinaishia mahakama kuu ukiona kesi imeenda mpaka kwenye review bila kutoboa ujue uliyatinyanga, waliofanyiwa ni watoto wadogo (,kwa kipindi kile) na ushahidi wao haukuacha na hata chembe ya shaka, na hili suala Jk aliwekwamo kumchafua kisiasa maana alikuwa kwenye harakati za kugombea urais.
 
Katika vitu ambavyo vinanipa sana shida katika ubongo wangu ni ukweli kuhusu kesi ya Babu Seya, nakuwa natamani nijue ni kweli yeye na familia yake walihusika kulawiti watoto au ni kesi ya mchongo kutoka kwa mtu mkubwa..

Ni nani ambaye anaweza kunitatulia kitendawili hiki nafikiri hakuna mwenye jibu la uhakika. Nikifika mbinguni swali la kwanza nitamuuliza sir God anifunulie jambo hili.
Tafuta hukumu usome.Ukweli ni kwamba katika kesi Ile vitu vingi vilingiliana ila ukweli ni kwamba kulikuwa na jinai ilitotendeka na hukumu iliegemea hapo.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom