Mnajiandikiaga tu mambo, Babu Seya alifungwa na Mkapa.
Ikivuka miaka 30 zile top secrets zinafaa kuwa declassified japo kwa hapa bongo wanachanganya sana umalaya na anasa za viongozi wanaita top secret ambapo kwa nchi zilizostaarabika ilitakiwa ziwe scandal za kuwatoa madarakani.
Kifupi bwana yule MAMPP alikua mtu wa tungi sana akishinda annex, na mivinyo ya gharama show kwa mkewe alikua hapigi kabisa jamaa alipataga ajali akiwa chalii iliyomjeruhi power house ya watoto.....
Mkongo yule aliwahi pata nafasi ya kwenda kutumbuiza kwa mama yule aliyekua hapewi mjurubeng inavyotakiwa wakachange contacts wakawa wanakulana....
Kibopa alipoipata hii alimuonya msanii aache usanii na wake za wenyewe.....
Unajua msanii aliwahi kutekwa ila nashangaa haikutrend, baada ya kutosikia akaundiwa hilo likesi tena kumkomesha yeye na familia yake yote walipewa msala....
Hii story kanisimulia mzee Mjuni hapa kijiwe cha kahawa lindi.