KERO Kero ya umeme Halmashauri ya Itigi Wilaya ya Manyoni

KERO Kero ya umeme Halmashauri ya Itigi Wilaya ya Manyoni

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kuna tabia ya kukata umeme ovyo kila mara kulikoni sehemu zingine tunaomba tanesco wachukue hatua maana kukatika ovyo kwa umeme imekua kero ya muda mrefu
 
Kuna demu niliwahi kumpata ametokea Huko Singida itigi

Dah yule demu 😋

sura ✅
tako 🙌
hips 🔥
ziwa 🎹
Utamu 🍯

Ah sijawah kuona baya kwenye mwili wake.

Sasa hv n mke wa mtu, baada ya kujua hili nikawa mbali nae mana naheshimu ndoa za watu

Anyway, nawapa saa 72 tanesco wapeleke umeme itigi, lasivyo tusilaumiane 😎
 
Kuna tabia ya kukata umeme ovyo kila mara kulikoni sehemu zingine tunaomba tanesco wachukue hatua maana kukatika ovyo kwa umeme imekua kero ya muda mrefu
Habari, ndugu mteja.

Tunaomba radhi kwa kuchelewa kukujibu kutokana na changamoto ya muda kwenye akaunti yetu, ambayo kwa sasa imetatuliwa. Pole sana kwa changamoto unayoipitia.

Tunapenda kukufahamisha kuwa endapo huduma itasitishwa kwa sababu yoyote ile, ikiwemo dharura, tunatoa taarifa kwa wateja wetu mapema iwezekanavyo, zikieleza sababu ya kukatika kwa huduma pamoja na makadirio ya muda wa kurejeshwa kwake.

Tunatumia majukwaa yetu ya WhatsApp na SMS kutoa taarifa kwa haraka zaidi. Tunaomba kufahamu kama tayari umejiunga na huduma hizi ili tuweze kukufikia kwa urahisi. Kama bado hujajiunga, tafadhali tutumie namba yako ya WhatsApp, Wilaya na Mkoa uliopo kupitia inbox yetu ili tukuunge.

Tunaamini mawasiliano haya yatatusaidia kufahamu changamoto zinazojitokeza katika eneo lako na pia kutupatia mrejesho wa kuboresha huduma zetu zaidi.

Asante. ^GK
 
Back
Top Bottom