KERO: Bole International Airport - Addis Ababa

KERO: Bole International Airport - Addis Ababa

Nilikaa pale BOLE masaa 6 on transit kudadadeki ila sitoacha mie ni MTU wa adventure Ndo maana hata kama nitaenda Kigoma kwa bus lazima nirudi na ile treni yetu tena kule kajambanani yaan third class. I always Enjoy.
 
ethiopian ni watu wa ajabu kuanzia kwenye ndege kwenyewe, yaani vile vidada vichoyo balaa vinakupa chakula kiduchuu, hakuna kinywaji cha maana zaidi ya maji, maza fanta na cocacola abiria wa safari ndefu ukifika basi pale uwanjani kwao DUTY FREE shops zao wametandaza ile mitandio tu ya ki-ethiopia tu, sisi tunataka pombe tupotezee muda safarini mnatuuzia mitandio, ya nn sisi?
NB: WIFI mpaka kununua 10 USD dakika 30 tu. Sheeda wallahi!!

Katika ubahili sijui, mimi experience yangu ni kuwa ni wakarimu kwani kuna siku nilipanda walinipa huduma nzuri tu. Ama yule dada alinipenda ghafla maana alinipa wine, maji, chakula pia alikuwa anapita mara kwa mara kuangalia kama tupo sawa, safari ya masaa 5 ikawa kama mawili hivi. Anyway lisemwalo lipo mkuu
 
SHERRIF ARPAIO ni kweli mkuu hiyo " mifuso" wanapeleka zile route za wachuuzi mfano China+Dubai na Kule wanakopelekwa "house maids" Saudi Arabia+Kuwait. Wale wa Toronto-Pearson na Washington-Dulles wanapewa ndege za maana.
Sasa kuna moja hilo linatoka addis to lagos....usiombe upande hilo dege.kwanza lina wanigeria wengiii ni lile sijui ndo mnaita dreamliner so wanajaa wanaigeria humo wafanyabiashara wana mizigo balaa afu wachafu.pia wanaongea kwa sauti kubwaaa.wakianza kula sasa utachokaa.they eat everything.baada ya kama nusu saa baada ya kula wanajamba ndege inajaa harufu mbaya.na hapo wanakua wameanza kunywa sasa zile pombe za kwenye ndege.kweli mimi sitaki kusafiri na ile ndege kwenda lagos tena.ustaraabu hakuna kabisa.sasa ukifika kwenye airport ya lagos utatamani kulia.waafrika bado sana hizi mambo za ndege aisee
 
Wadau wengi wamechangia kuhusu tabia za wasafiri wengi watumiao hiyo airport na sio airport kama ki miundombunu. Wanachoweza laumiwa Bole ni namna wanavyo deal na wasafiri wa namna hiyo ili wasiwe kero kwa wengine na namna ya kukidhi utoaji wa huduma kwa mazingira hayo. Kikubwa ninachoweza kukosoa kwa Bole ni kuwa design ya airport hasa sehemu za kusubiria abiria walisahau kuweka huduma za choo (at design phase). Ndio maana utaona vyoo vilivyopo ni vya makontena ikiwa ni ishara kuwa viliwekwa baadae baada ya kuwa vilisahaulika mwanzoni. kuhusu uchafu wa vyoo hilo ni ishu ya watumiaji wenyewe ndio wanaochafua vyoo
 
Wale wasafiri wenzangu tunatumiaga "SAI-BABA" ETHIOPIAN katika mihangaiko ya maisha huko duniani mtakubaliana na mimi jinsi pale Airport kunavyoboa kama una "Long Layover" yaani kumejaa kama kariakoo, restaurant bei za ajabu ajabu, cancellation kama kawa, vyoo vichafu, bora kukwea FLY DUBAI au kupitia KIGALI ama NAIROBI ukakwee CHINA SOUTHERN AIRLINES.

NB: Wizara - Mambo ya Nje tafadhali ongeeni na CHINA SOUTHERN AIRLINES waje mpaka DAR angalau.
Uchafu hasa na kuko hovyo mbaya
 
Mie naona BOLE bado ipo kwenye matengenezo, tusuburi majengo yakikamilika itakuwaje lakini kwa sasa sitaki kuwahukumu wasafirishaji wangu wa angani.
 
Pale kwanza ukiwa unakaribia kuteremka ardhini huku umetoka mbali huko mawinguni kuna harufu kali ya mavi ya mbuzi utasikia hasa pale mnapopita vijijini huku slow slow chini chini mkikaribia ku land ni balaa
 
Wale wasafiri wenzangu tunatumiaga "SAI-BABA" ETHIOPIAN katika mihangaiko ya maisha huko duniani mtakubaliana na mimi jinsi pale Airport kunavyoboa kama una "Long Layover" yaani kumejaa kama kariakoo, restaurant bei za ajabu ajabu, cancellation kama kawa, vyoo vichafu, bora kukwea FLY DUBAI au kupitia KIGALI ama NAIROBI ukakwee CHINA SOUTHERN AIRLINES.

NB: Wizara - Mambo ya Nje tafadhali ongeeni na CHINA SOUTHERN AIRLINES waje mpaka DAR angalau.
Bole pa ovyooo
 
Mkuu acha hizo bana, wanyarwanda wasafi sana, hebu nipe utofauti wa usafi wa wanyarwanda na watz? Acha kudhalilisha nchi za watu.. Kwa usafi gani haswa unataka kusema watanzania wamezidi wanyarwanda?? Anzia kulinganisha dar na kigali kwanza.!
Na hapa tunaongelea Bole airport, Ethiopia sio Rwanda eboo.!

Usafi wa Rwanda wa kushikiwa fimbo,siyo wa asili
 
Wale wasafiri wenzangu tunatumiaga "SAI-BABA" ETHIOPIAN katika mihangaiko ya maisha huko duniani mtakubaliana na mimi jinsi pale Airport kunavyoboa kama una "Long Layover" yaani kumejaa kama kariakoo, restaurant bei za ajabu ajabu, cancellation kama kawa, vyoo vichafu, bora kukwea FLY DUBAI au kupitia KIGALI ama NAIROBI ukakwee CHINA SOUTHERN AIRLINES.

NB: Wizara - Mambo ya Nje tafadhali ongeeni na CHINA SOUTHERN AIRLINES waje mpaka DAR angalau.
Utake usitake Adis utatua maana ndo katikati ya dunia.
 
Sasa usiombe ulale kwao on-transit---chumba kichafu...wahudumu wanapiga mizinga--nashukuru siku hiyo nilikuwa nina chenchi ya taxi buku buku kama 3 hivi--nikawapa--nikaonekana mshua maana hawajui yetu ni chini kuliko.
Muda wa ku-connect wanakuharakisha harakisha,gari linakimbizwa---dereva anavuta sigara na mrungi mdomoni---ukifika kwenye destination ndio kimbembe---mizigo haijafika....na siku ikifika----ushaibiwa---tutafute pesa tu---kitonga kina madhara sana.
 
Wale wasafiri wenzangu tunatumiaga "SAI-BABA" ETHIOPIAN katika mihangaiko ya maisha huko duniani mtakubaliana na mimi jinsi pale Airport kunavyoboa kama una "Long Layover" yaani kumejaa kama kariakoo, restaurant bei za ajabu ajabu, cancellation kama kawa, vyoo vichafu, bora kukwea FLY DUBAI au kupitia KIGALI ama NAIROBI ukakwee CHINA SOUTHERN AIRLINES.

NB: Wizara - Mambo ya Nje tafadhali ongeeni na CHINA SOUTHERN AIRLINES waje mpaka DAR angalau.
Tumia Emirates achana na upuuzi wa hiyo ndge kuu kuuu..

unalala dubai, au unakaa masaa yako machache pale kisha Dar..
 
Wale wasafiri wenzangu tunatumiaga "SAI-BABA" ETHIOPIAN katika mihangaiko ya maisha huko duniani mtakubaliana na mimi jinsi pale Airport kunavyoboa kama una "Long Layover" yaani kumejaa kama kariakoo, restaurant bei za ajabu ajabu, cancellation kama kawa, vyoo vichafu, bora kukwea FLY DUBAI au kupitia KIGALI ama NAIROBI ukakwee CHINA SOUTHERN AIRLINES.

NB: Wizara - Mambo ya Nje tafadhali ongeeni na CHINA SOUTHERN AIRLINES waje mpaka DAR angalau.
Aisee pale ni hatari mfuriko uke sio wa kawaida vile vidada vivaa nguo nyeupe za vazi la kiethiopia vinavyosafisha vyoo hadi navihurumia .Shirika la ndege kubwa lakini airport pabaya na pachafu

ukitaka kujua Corona hapi nenda departure lounge ya huo uwanja uone mbanano
 
Hiyo ndege sipandi hata kwa bure.
Ukiwa Afrika mashariki ukitaka kwenda west Afrika au ulaya au marekani kwa bei nafuu Bole Airport haikwepeki.Ndio ruti ya bei nafuu ukilinganisha na zingine kama za kuruka kupitia Nairobi au South Africa au nchi zinginezo
 
Ukiwa Afrika mashariki ukitaka kwenda west Afrika au ulaya au marekani kwa bei nafuu Bole Airport haikwepeki.Ndio ruti ya bei nafuu ikilinganisha na zingine kama za kuruka kupitia Nairobi au South Africa au nchi zinginezo
Naam!

Na mara nyingi vya bei nafuu huja na kero zake..
 
Wale wasafiri wenzangu tunatumiaga "SAI-BABA" ETHIOPIAN katika mihangaiko ya maisha huko duniani mtakubaliana na mimi jinsi pale Airport kunavyoboa kama una "Long Layover" yaani kumejaa kama kariakoo, restaurant bei za ajabu ajabu, cancellation kama kawa, vyoo vichafu, bora kukwea FLY DUBAI au kupitia KIGALI ama NAIROBI ukakwee CHINA SOUTHERN AIRLINES.

NB: Wizara - Mambo ya Nje tafadhali ongeeni na CHINA SOUTHERN AIRLINES waje mpaka DAR angalau.

Mkuu joshua_ok hongera kwa safari za majuu ILA niseme tu pale addis Ababa na hata Nairobi na kigali unaposafiri fanya Timing vizuri ILI usikae ON-TRANSIT kwa muda mrefu sana. Mfano kama unasafiri ondoka Dar kwa ndege ya Alfajiri Unless safari yako toka ddis Ababa , Nairobi au kigali kwenda "Ulimwenguni" inaanzia huko usiku wa Manane.

Mkuu joshua_ok kuhusu Addis ababa kuwa na watu wengi kama "Kariakoo" hilo ningetamani kama ungeongelea na upande wa pili wa hiyo Scenario. Watu wengi pale Addis Ababa maana yake hilo shirika lina connection nyingi sana kwa nchi za Afrika hivyo basi hao unaowaona wapo ON TRASIT. Mimi natamani siku moja kuiona hiyo hali ya wingi wa watu hapo Addis Ababa hapa kwenye uwanja wetu wa ndege wa JK Nyerere au pale. KIA.


Ahsante
 
Sisi wa stendi ya makambako tunacomment hapahapa???

Au ndo mtakuja kutupa maelekezo?
 
Back
Top Bottom