RealMan
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,367
- 1,394
Kiasili waethiopia ni wachafu.
Bole huwezi kujisaidia maana vyoo ni vichafu kupindukia!
Addis Ababa ni pachafu mbaya except ilipo AU.
Airport WiFi inazidiwa hata na JNIA yetu...Cloud9 lounge ya Business class ni kama bar za uswazi!!!
Wanauchumi mkubwa lakini hali ya maisha ya waethiopia ni duni sana!!