Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,591
- 13,639
Bro tutake radhi🤣🤣🤣😂😂Sawa na Wanyarwanda.Nje wasafi ila ndani ni hovyo kabisa!
Bro tutake radhi🤣🤣🤣😂😂Sawa na Wanyarwanda.Nje wasafi ila ndani ni hovyo kabisa!
Ahahaha kuna wazungu nafanya nao kazi..niliwaambia hili neno walichonijibu eti ata kama unatumia sabuni kunawia mikono binadamu timamu unashikaje ile kitu na mkono wako nawazaga mara mbili mbili ila kuacha maji siwezi nahisi kama bado sijajisafishaWanyarwanda wanatumia tissue kujisafisha sehemu za Siri Watanzania wanatumia maji.Nani kati yao atakuwa msafi.
Hawa hawa waliotumbukia majini na precisionair au wengine?Duh...utakua mhaya tu ww....
TakbiiirAhahaha kuna wazungu nafanya nao kazi..niliwaambia hili neno walichonijibu eti ata kama unatumia sabuni kunawia mikono binadamu timamu unashikaje ile kitu na mkono wako nawazaga mara mbili mbili ila kuacha maji siwezi nahisi kama bado sijajisafisha
Ahahaha kuna wazungu nafanya nao kazi..niliwaambia hili neno walichonijibu eti ata kama unatumia sabuni kunawia mikono binadamu timamu unashikaje ile kitu na mkono wako nawazaga mara mbili mbili ila kuacha maji siwezi nahisi kama bado sijajisafisha
hv tunavozungumziaga watu wengine ya nchini kwetu tunayaona? jiji chafu ni dsm yaan airport isitutie kujiona WCBKiasili waethiopia ni wachafu.
Airport nzuri sana sana.. Ethiopian Airline is my fav kwa sasa!Bole wameboresha sana
Ilani ya 2025-2030 Lazima iwemoTerminal 4 JNIA
Hapana Wazambia wanajenga sana sasa hivi na vifaa vingi vya ujenzi vinaingi Vingi Zambia kutokea SA kuliko hata Tanzania na bei zao zipo chini na kodi pia zipo poa...kuishi maisha mazuri sio Culture brother Wabongo wanaamini katika used ila wazambia wanaamini katika kitu kipya na wananunua kweli na kutumia..Inategemea na Culture ya nchi
Wabongo Nyumba ndio kila kitu kuliko kupush ndinga kali
Wakati Wazambia, Wacongo, Ethiopians, South Africans wanathamini ndinga kali wakati wanalala kwenye Mabox, nyumba za udongo
Duh...utakua mhaya tu ww....
Point. Kumbuka pia Wazambia wengi wamesoma na Wana exposure kuliko ndugu zetu WatanganyikaHapana Wazambia wanajenga sana sasa hivi na vifaa vingi vya ujenzi vinaingi Vingi Zambia kutokea SA kuliko hata Tanzania na bei zao zipo chini na kodi pia zipo poa...kuishi maisha mazuri sio Culture brother Wabongo wanaamini katika used ila wazambia wanaamini katika kitu kipya na wananunu kweli na kutumia..
Kila nchi nyingi lazima upite transit miji yao kwanzahiyo ndege ETHIOPIAN (ambapo bila kutaka utatumia uwanja tajwa) ni kwa ajili ya waafrika & wachina wabahili-bahili wenye akili wanajipambanua na EMIRATES, QATAR, SWISS na KLM