KERO: Bole International Airport - Addis Ababa

KERO: Bole International Airport - Addis Ababa

Zambia wanapenda vitu vizuri/classic. Wabongo tunapenda cheap na duni. Pia, tumejaa usela mavi kupenda short cut
Nchi ngumu hiyo mkuu hapo Laptop,TV,washing mashine hapo Tunduma wanavitolea macho kama sijui kitu gani wakati Zambia hawaoni kitu hapo..vifaa vya Ujenzi ndio kabisaa Tanzania hata ununue vya kwako utaambiwa vibali vya kutosha wakati wenzetu wamerahisishiana sana life na ndio maana wana maisha fulani yapo standard.
 
Nchi ngumu hiyo mkuu hapo Laptop,TV,washing mashine hapo Tunduma wanavitolea macho kama sijui kitu gani wakati Zambia hawaoni kitu hapo..vifaa vya Ujenzi ndio kabisaa Tanzania hata ununue vya kwako utaambiwa vibali vya kutosha wakati wenzetu wamerahisishiana sana life na ndio maana wana maisha fulani yapo standard.
Mkuu Zambia naweza kupeleka nini kutokea TZ
 
Mkuu Zambia naweza kupeleka nini kutokea TZ
Lusaka, Zambia lipo eneo la Watanzania wana maduka wanauza kama kariakoo pale Comesa shida sasa hivi biashara wapo wachina na Watanzania waliokimbia ushindani wa biashara kariakoo wamemwagika hapo wanauza vitu bei tofauti na daslm ndogo sana na kwatcha kubadili Dollar haipo stable wakati wowote inabadirika ila kwa Wazambia hakuna kitu utashindwa kuuza inategemeana na bei ya ulikonunua ikoje..
 
Lusaka, Zambia lipo eneo la Watanzania wana maduka wanauza kama kariakoo pale Comesa shida sasa hivi biashara wapo wachina na Watanzania waliokimbia ushindani wa biashara kariakoo wamemwagika hapo wanauza vitu bei tofauti na daslm ndogo sana na kwatcha kubadili Dollar haipo stable wakati wowote inabadirika ila kwa Wazambia hakuna kitu utashindwa kuuza inategemeana na bei ya ulikonunua ikoje..
Poa. Nikirudi Ngoja nikachukue mahindi Songea. Nipo Portugal namalizia ishu za ndoa na Maza kizungu kwanza
 
Chukua mahindi na maharage kauze Arusha au Nairobi kiwandani kama wanaruhusu kutoka ila uwe na connection ya kiwandani usije kupitia kwa agent msumbufu wao wanalipa ukipima tu na kushusha.
Asante Kiongoz Nairobi Nina connection pale githurai 45 tayari. Nilikua nauzaga Tangawizi nazitoa UPARENI
 
Wale wasafiri wenzangu tunatumiaga "SAI-BABA" ETHIOPIAN katika mihangaiko ya maisha huko duniani mtakubaliana na mimi jinsi pale Airport kunavyoboa kama una "Long Layover" yaani kumejaa kama kariakoo, restaurant bei za ajabu ajabu, cancellation kama kawa, vyoo vichafu, bora kukwea FLY DUBAI au kupitia KIGALI ama NAIROBI ukakwee CHINA SOUTHERN AIRLINES.

NB: Wizara - Mambo ya Nje tafadhali ongeeni na CHINA SOUTHERN AIRLINES waje mpaka DAR angalau.
Zile dreamliner zetu mbili si bado zinaenda china?
 
Nilikua nafikisha Namanga mkenya anakuja kunilipia border hizo mbanga za kuvusha anapambana nazo mwenyewe
Ukipata connection ya kiwandani utapata faida zaidi nilifanya enzi za Corona sema baadae walivyochoma vifaranga ikawa matatizo nikaachana nayo.
 
Back
Top Bottom