Lavan Island
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 2,378
- 2,054
Tatizo bei zao ni chini sana ukilinganisha na hayo uliyotaja low season wao mpaka dola mia350 two ways
Kuna tabaka la Wahabeshi ambao ni matajiri sana na tabaka jingine ni la maskini sana/fukara.
Wamejitahidi kujenga miundombinu ya barabara na reli (skyways na flyovers) nyingi nyingi kupita Nairobi na Dar ndio hatunazo kabisa licha ya kwamba bado tatizo la foleni lipo.
Kimipango miji, kuna mitaa imepanginga vizuri sana hasa maeneo ya ofisi za AU na kuna mitaa ambayo ni uswazi kwa sana tu.
Bole International Airport ina ndege nyingi sana kubwa na ndogo na kwa asilimia zaidi ya 90 ni Ethipian Airlines. Za makampuni mengine ya usafiri wa anga zipo ila si nyingi kivile.
Ethiopia wako mbali sana kwa masuala ya usafiri wa anga licha ya mapungufu yao waliyonayo
Addis imepiga hatua kubwa sana kwa masuala ya miundombinu ya barabara na reli licha ya changamoto nyingi walizonazo bado
Kujifunza kutoka kwa Ethipia namna gani wamefanikiwa katika kuendesha shirika lao la ndege na kutake advantage ya mapungufu yao ili kuboresha ya kwetu.
Kujifunza kutoka Ethipia namna walivyofanikiwa kutekeleza miradi ya miundo ya barabara na reli ili tufanye kwa ubora zaidi ili siku moja na sisi tujadiliwe kwa mambo mazuri.
NB: Nailinganisha Bongo na Addis kwa sababu ya ujirani na kwa ujumla wake naona kama hakuna tofauti kubwa kivile iwapo tutawaza kwa usahihi na kutenda kwa usahihi. Bongo, Nairobi na Addis zina mazuri na mabaya ambayo nayaona kama ni similar in nature......kuna mitaa bomba na mitaa ya kiswazi kwa sana.
Kama tukidhamiria kwa dhati na kuacha sanaa na matamko ya kisiasa siasa yasiyokuwa na utekelejazi wala dira ya kitaifa, Tanzania tunazo fursa na uwezo mkubwa wa kujifunza kutoka kwetu wenyewe, majirani zetu wa karibu na majirani wa mbali waliofanikiwa na waliochemsha pia ili kutengeneza model yetu ambayo ni hybrid na unique.
Tunao uwezo wa kuwa na shirika bora sana la ndege Afrika iwapo tutadhamiria na kuacha usaniii usaniii na maneno maneno na ujanja ujanja na wizi wizi
Tunayo fursa na uwezo wa kuwa na mji bora uliopangika vizuri, wenye miundo mbinu bora kwa Afrika kama tutakuwa na strategic plan na focus ambayo haiko kisiasa. Tukiwa na mwongozo/plan ya miaka 50 hadi 100 ambayo kila rais anayechaguliwa analazimika kuitekeleza bila kujali anatoka kundi gani la mtandao wa kisiasa/chama gani tutafika.
Tatizo la TZ ni kuongea ongea sana na kusema sema mambo ya majirani zetu wakati kumbe na sisi tumechoka sana halafu ukitoka tu nje ya mipaka ya bongo ukisema natoka TZ wanauliza where is TZ hii kitu huwa inaniuma sana na ili ueleweke unafafanua ni majirani wa Nairobi au ni nchi mojawapo ya East Africa.
Tatizo jingine ni kwamba hatuna dira na vipaumbele vya taifa na ndio maana tunakwenda kwenda tu. Nyerere alikuwa na vipaumbele vyake, Mwinyi akawa na za kwake, Mkapa akaja na nyimbo zake, Kikwete naye na dance zake, Magufuli naye katoka kivyake kabana maisha yamekuwaje hata sielewi maana naona tunahama juu juu kuelekea Dodoma sijui kuna ukweli wowote au ni swaga zilezile hata sielewi mwenzenu.....halafu kwa style hii huyo atakayeachiwa kijiti na Magufuli sijui atasema hapa Dom naona pakame sana mimi ngoja nihamishie makao makuu yaende Dareda.....mimi sielewi kwa kweli.
Mwisho nasema hivi hapa chini ya jua hakuna kitu kinachoshindikana iwapo kutakuwa na dhamira ya dhati. If we change our mindsets I can see a better Tanzania in 50 - 100 years to come. We need to think otherwise for our next generations ili nao wasije kuwa ni vichwa vya wendawazimu wa kuona mambo mazuri na mabaya ya wenzao wakati wao wako taabani. A true change begins with you.....ukitaka maisha mazuri anza wewe, nyumba nzuri anza wewe, gari nzuri anza wewe, ndege nzuri, anza wewe, mji mzuri anza wewe n.k...n.k....n.k...Ndani ipi unaizungumzia?Sawa na Wanyarwanda.Nje wasafi ila ndani ni hovyo kabisa!
Dah post yako imenigusa sana, kusafiri safiri unajifunza mambo mengi sana!Nilikumbana na hizo changamoto za Ethiopian Airlines na Bole International Airport (hasa za ku "cancel route" na kasheshe la miundombinu na utitiri wa watu) on my way from bongoland to Addis. Nilibahatika kufika hadi vijijini na kuona maisha halisi ya Wahabeshi ambapo usafiri wa farasi na ile mikokoteni ya farasi uko kwa kiwango cha juu sana.
Nilichojifunza
Kuna tabaka la Wahabeshi ambao ni matajiri sana na tabaka jingine ni la maskini sana/fukara.
Wamejitahidi kujenga miundombinu ya barabara na reli (skyways na flyovers) nyingi nyingi kupita Nairobi na Dar ndio hatunazo kabisa licha ya kwamba bado tatizo la foleni lipo.
Kimipango miji, kuna mitaa imepanginga vizuri sana hasa maeneo ya ofisi za AU na kuna mitaa ambayo ni uswazi kwa sana tu.
Bole International Airport ina ndege nyingi sana kubwa na ndogo na kwa asilimia zaidi ya 90 ni Ethipian Airlines. Za makampuni mengine ya usafiri wa anga zipo ila si nyingi kivile.
Nikifanya ulinganisho kati ya Ethiopia na Tanzania (kwa mtizamo wangu, ambao unaweza kuwa challenged vilevile);
Ethiopia wako mbali sana kwa masuala ya usafiri wa anga licha ya mapungufu yao waliyonayo
Addis imepiga hatua kubwa sana kwa masuala ya miundombinu ya barabara na reli licha ya changamoto nyingi walizonazo bado
Ushauri wangu kwa Watanzania wenzangu wote pamoja na serikali
Kujifunza kutoka kwa Ethipia namna gani wamefanikiwa katika kuendesha shirika lao la ndege na kutake advantage ya mapungufu yao ili kuboresha ya kwetu.
Kujifunza kutoka Ethipia namna walivyofanikiwa kutekeleza miradi ya miundo ya barabara na reli ili tufanye kwa ubora zaidi ili siku moja na sisi tujadiliwe kwa mambo mazuri.
NB: Nailinganisha Bongo na Addis kwa sababu ya ujirani na kwa ujumla wake naona kama hakuna tofauti kubwa kivile iwapo tutawaza kwa usahihi na kutenda kwa usahihi. Bongo, Nairobi na Addis zina mazuri na mabaya ambayo nayaona kama ni similar in nature......kuna mitaa bomba na mitaa ya kiswazi kwa sana.
Kama tukidhamiria kwa dhati na kuacha sanaa na matamko ya kisiasa siasa yasiyokuwa na utekelejazi wala dira ya kitaifa, Tanzania tunazo fursa na uwezo mkubwa wa kujifunza kutoka kwetu wenyewe, majirani zetu wa karibu na majirani wa mbali waliofanikiwa na waliochemsha pia ili kutengeneza model yetu ambayo ni hybrid na unique.
Tunao uwezo wa kuwa na shirika bora sana la ndege Afrika iwapo tutadhamiria na kuacha usaniii usaniii na maneno maneno na ujanja ujanja na wizi wizi
Tunayo fursa na uwezo wa kuwa na mji bora uliopangika vizuri, wenye miundo mbinu bora kwa Afrika kama tutakuwa na strategic plan na focus ambayo haiko kisiasa. Tukiwa na mwongozo/plan ya miaka 50 hadi 100 ambayo kila rais anayechaguliwa analazimika kuitekeleza bila kujali anatoka kundi gani la mtandao wa kisiasa/chama gani tutafika.
Tatizo la TZ ni kuongea ongea sana na kusema sema mambo ya majirani zetu wakati kumbe na sisi tumechoka sana halafu ukitoka tu nje ya mipaka ya bongo ukisema natoka TZ wanauliza where is TZ hii kitu huwa inaniuma sana na ili ueleweke unafafanua ni majirani wa Nairobi au ni nchi mojawapo ya East Africa.
Tatizo jingine ni kwamba hatuna dira na vipaumbele vya taifa na ndio maana tunakwenda kwenda tu. Nyerere alikuwa na vipaumbele vyake, Mwinyi akawa na za kwake, Mkapa akaja na nyimbo zake, Kikwete naye na dance zake, Magufuli naye katoka kivyake kabana maisha yamekuwaje hata sielewi maana naona tunahama juu juu kuelekea Dodoma sijui kuna ukweli wowote au ni swaga zilezile hata sielewi mwenzenu.....halafu kwa style hii huyo atakayeachiwa kijiti na Magufuli sijui atasema hapa Dom naona pakame sana mimi ngoja nihamishie makao makuu yaende Dareda.....mimi sielewi kwa kweli.
Mwisho nasema hivi hapa chini ya jua hakuna kitu kinachoshindikana iwapo kutakuwa na dhamira ya dhati. If we change our mindsets I can see a better Tanzania in 50 - 100 years to come. We need to think otherwise for our next generations ili nao wasije kuwa ni vichwa vya wendawazimu wa kuona mambo mazuri na mabaya ya wenzao wakati wao wako taabani. A true change begins with you.....ukitaka maisha mazuri anza wewe, nyumba nzuri anza wewe, gari nzuri anza wewe, ndege nzuri, anza wewe, mji mzuri anza wewe n.k...n.k....n.k...
Watanzania tunaongea mnoooo mpaka kero.Dah post yako imenigusa sana, kusafiri safiri unajifunza mambo mengi sana!
Sana, tutekebishe airport zetu ziwe na hadhi nzuri za kuvutiaWatanzania tunaongea mnoooo mpaka kero.
Kama wahindi.Kiasili waethiopia ni wachafu.
Ethiopian wana fuso lao fulani wanalipelekaga Dubai full kutu mpaka kwenye sink









we acha tu!!Haya maisha haya...wengine ndege tunaziona kwenye movie tu na angani...mweeee...umasikini mbaya sana




we acha tu!!
ndege tunazisoma JF![]()
Hiyo ndege sipandi hata kwa bure.