and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,223
- 39,702
- Thread starter
- #301
Lusaka sijawahi kuona bodaboda labda iwe courier/delivery (DHL au Uber eats)Wazambia wataendelea kutumia vitu vipya kuliko sisi nimepeleka Hilux GD 6 ya 2018 wametaka kodi ya kama Tsh 6,000,000 ambayo ni Zambia Kwatcha 60,000 gari utakayoweza kuuza kuanzia usd 45,000 wakati Ford ranger ya 2016 Tanganyika nimelipa kodi 23,578,000 kodi tu tofauti tunayo kubwa sana kwa wao kuendelea kutumia vitu vipya...badala ya kupunguza kodi kwa gari mpya zaidi ili watu waagize gari za miaka ya karibuni wao wanakua kikwazo..