Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,683
- 22,270
Viongozi wa CCM wamekuwa wakitu elezea kuwa ili katiba iwe na manufaa kwetu inabidi wananchi tuelimishwe hiyo katiba, hilo ni jambo jema.
Elimu hiyo yenye viwango vya chuo itatolewa na viongozi wa CCM ambao hatujui waliwezaje wao kusoma wakatusahau wananchi, hata hivyo darasa ni darasa wapo watakaopasi na watakaofeli, idadi ya watakao feli ikiwa kubwa ina maana lengo la wananchi kuijua katiba litakuwa halijafikiwa hivyo itabidi darasa lirudiwe tena mpaka tutakapo pasi!
Ninamalizia kwa kusema CCM hawana nia ya uwepo wa katiba mpya kutokana na mambo wanayoyafanya hivi sasa kwani wengi wao wamegeuka kuwa wafanyabiashara na huenda katiba itawabana huko tuendako.
Elimu hiyo yenye viwango vya chuo itatolewa na viongozi wa CCM ambao hatujui waliwezaje wao kusoma wakatusahau wananchi, hata hivyo darasa ni darasa wapo watakaopasi na watakaofeli, idadi ya watakao feli ikiwa kubwa ina maana lengo la wananchi kuijua katiba litakuwa halijafikiwa hivyo itabidi darasa lirudiwe tena mpaka tutakapo pasi!
Ninamalizia kwa kusema CCM hawana nia ya uwepo wa katiba mpya kutokana na mambo wanayoyafanya hivi sasa kwani wengi wao wamegeuka kuwa wafanyabiashara na huenda katiba itawabana huko tuendako.