Rene Jr.
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 3,704
- 2,350
Uhakika wa soko la mazao kati ya dar na songea wapi ni uhakika?
Mkulima au mfugaji wa morogoro au singida wakienda kuuza zao aina moja nani atakuwa kwenye disadvantage zaidi?
Duh, wewe unalima/unafuga?
Dar kuna wafugaji wa kuku wa kienyeji, Morogoro, Dodoma kote wapo lakini bado kuku wa Singida anauza sana tu. Broiler wanafugwa sana Dar lakini tunaingiza mpaka kutoka South Africa. Acheni uoga, popote unapoweza kuppata ardhi bei nzuri na uzalishaji gharama chini wewe fanya kazi acha kuogopa.