Kati ya Songea na Singida ni mkoa upi mzuri kwa mtu anaetaka kuishi na kujishuhurisha na ufugaji na kilimo?

Uhakika wa soko la mazao kati ya dar na songea wapi ni uhakika?
Mkulima au mfugaji wa morogoro au singida wakienda kuuza zao aina moja nani atakuwa kwenye disadvantage zaidi?

Duh, wewe unalima/unafuga?
Dar kuna wafugaji wa kuku wa kienyeji, Morogoro, Dodoma kote wapo lakini bado kuku wa Singida anauza sana tu. Broiler wanafugwa sana Dar lakini tunaingiza mpaka kutoka South Africa. Acheni uoga, popote unapoweza kuppata ardhi bei nzuri na uzalishaji gharama chini wewe fanya kazi acha kuogopa.
 
Ukitaka kulima nenda Songea,huku wana mkataba na mvua,haijawah acha kunyesha haswa kilimo cha mahindi,ila ukitaka ufugaj nenda singida,utanunua kuku hata buku mbili,utawekeza ufugaj wako wa mwaka mmoja au miwili then utajuja kutupa mrejesho,,,mikoa hyo imegawanyika sio kwamba singida huwez kulima ila zaid utalima alizeti na songea mahindi ndo nyumban kwao.. Siku songea wataacha kulima miaka miwil mfululizo nahakika dar wataendelea kula chips mayai kila siku..
 
Habari wakuu?. Hope tunajiandaa vema na sikukuu ya pasaka pia hongereni kwa mapumziko mareeeefu!.

OK nirudi kwenye kitu kilichonileta hapa kwenu nyie wadau na wataalam wa fani mbalimbali mliopo humu ndo maana hakuna kinachoshindikana ndani ya Jamiiforums. Naombeeni kujuzwa kati ya songea na Singida ni mkoa upi mzuri kwa mtu anaetaka kuishi na kujishuhurisha na UFUGAJI na KILIMO!?.

Hapa tutaangalia na gharama za maisha na huduma za kijamii pia.
KUMBUKA nipo tayar kuishi hata kijijini sana ili mradi nifanikishe lengo langu la kutoka kiuchumi kupitia ufugaji hasa wa UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI .

Asanteni sana na poleni kwa kuwatoa kwenye mada zetu za siasa

HABARI,
"Kajole,
Natumaini pasaka ilipita vema kwako na kwa wapendwa wote nadahni sijachelewa kukutoa ushauri wangu juu ya swali lako,
Mimi nadhani singida ni mahala sahihi sana kwa vigezo kadhaa nitakavyo vitaa.
1.Kwakilimo na ufugaji ni eneo karibu na masoko makubwa kama mkoa wa dar na arusha hata nairobi.
2.Usafiri ni rahisi kwani kuna njia kuu magari mengi hupita yakiwa hayana mzigo kwenda kwenye masoko.
3.Ni eneo linalofaa kwa kilimo ha umwagiliaji

Nitaongeza mengine baadae tafadhali.

LUMUMBA
 
Sijui niseme bahati mbaya au nzuri Mkuu kwani Mikoa yote hiyo ' tajwa ' ni ya ' Watani ' zangu wakubwa sana Wangoni na Wanyiramba / Wanyaturu. Kujibu tu swali lako si Ruvuma wala Singida ambako labda unaweza ukatoka Kimaisha. Sana sana huko Ruvuma utatoka tu na zawadi za ' Hirizi ' nyingi na huko Singida unaweza ukatoka tu ni Zawadi za ' Gono ' na ' Kaswende '. Usipoteze muda wako kwenda ' Kuwekeza ' huko tafadhali ila kama kweli unataka ' Kuwekeza ' na kutoka haraka Kimaisha nenda Mikoa ya Mtwara na Mara tu ambako huko kuna ' Fursa ' nyingi na ' Utajiri ' Mkuu. Halafu usisahau hiyo Mikoa Mtwara na Mara ndiyo Mikoa pekee iliyobarikiwa mno hapa Tanzania.

Nasisitiza tena Kwako Mkuu usipoteze muda wako kwenda ama Ruvuma au Singida. Karibu Mtwara na Mara utajirike.
Unamdanganya wazi wazi..Mara imebarikiwa na nini?sisi wa Mwanza hapa tunaijua Mara mwanzo mwisho na ndiyo tunaihudumia pakubwa kimahitaji.yaani Mara ikawe mkoa uliobarikiwa kwa kipi.sana sana ungemwambia aje hapa Mwanza,aende Bukoba,aende Manyara au hata huko kaskazini kote.maeneo anayoweza kufuga na kulima pia.najua Mara inawafugaji lakini si kwa kumshauli kwamba Mara ndiyo zaidi ya Singida.bado hapo hapo Singida anaweza kutusua maisha kwa kilimo biashara.sema wewe utakua mjita au mkurya ama akabila ya mkoa wa Mara ndiyo maana unaweza dhani kwenu ni zaidi tu kuliko Singida

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Sasa hivi barabara zimefunguka uelekeo wote, vijiji vyote ukiwa unatokea barabara ya njombe viko accessible, wilaya ya namtumbo pia barabara ya uelekeo wa mtwara ni lami tupu, koote huko ardhi ina rutba na mvua za kutosha, na wenyeji hawana maneno ukitua popote ulizia ofisi ya mtendaji nenda kajitambulishe eleza lengo lako utasaidiwa bila shida, ardhi ipo ya kutosha. Kwa vile unaenda vijijini basi ni vizuri kuchukua barua ya utambulisho kutoka huko utokako, na kama ulkuwa mwajiriwa ukaacha kazi beba vitambulisho vyako. Ruvuma zao kuu wanalolima ni mahindi, pia wanalima maharage, kahawa, korosho, karanga, mihogo nk, kifupi ardhi ni inakubali mazao kibao, niwewe tu. Na kwavile wewe unataka kwenda kuishi hukohuko nakushauri tafuta vijiji ambavyo haviko mbali sana na mji, Maeneo kama Mlilayoyo, Mtangimbole, Shuleyatanga, jirani na barabara kuu na pia huduma za umeme na zingine za kijamii, unaweza kujikuta unafuga samaki pia ambao wanahitajika sana Songea. Kiikubwa tafuta kijiji uhame kwanza mkuu, ukipata hata ekari 10 za jirani kijijini we lipa jenga kajumba kako zungushia uzio anza mambo.

Mkuu uko timamu sana kichwani,hongera
 
Kwa Singida utategemea kilimo cha mvua sana sana,ila utalima Alizeti hiyo ni simple sana,Nenda Singida Vijijini has kule pembeni kabisa karibu na Wilaya ya Hanang (mf.Kijiji kimoja kinaitwa Ngamu saa mbili hadi Singida town) ardhi iko na rutuba. Utaanza kukaa kijiweni kuna umeme utakodisha nyumba elf 15-30 kuna umeme,na huduma zingine za kijamii zipo.

Utakodisha sijui ni eka ngapi lakini ni vizuri ukaanza na eka 10-20. Bei yake ni rafiki kuanzia kukodisha hadi kulima
Mfano wa mchanganuo wa eka 10 katika alizeti.
Kukodisha ni elf 50-100 inategemeana na majira na anayekodisha ana changamoto kiasi gani ,Tufanye wastan elf 80/eka
so
Kukodisha
Tsh 8,0000 x eka 10=800,000. Kukodisha ,bei iko very flexible itategemeana na wewe.
Tsh 40,000x 10=400,000 hapa ni Kulima kwa ajjili ya kuweka mbegu/Kupanda.hiyo ni bei ya trekta ya ng'ombe ni elf 30.
Tsh 5,000 x 10=50,000 hiyo ni mbegu ya kienyeji nyeupe( sisi tunaita serena) inatoa ukiamua kukamua mafuta.
Tsh 30,000x10=300,000 hii ni palizi kumbuka alizeti ina palizi moja tu.
Tsh 5,000x10=50,000 hapa ni kukata kwa ajili ya kupiga piga
Tsh 20,000x1= 20,000 kukusanya toka shambani hadi sehem utakayo pigapiga.(sisi tunaita kupura) kwa eka zote.
Tsh 20,000x1 =20,000 kupiga(Kupura) na kupepeta-kwanza hapa we fanya hiyo kazi ni rahisi sana.
Tsh 5,000x1 =5,000 Uzi wa kushonea pamoja na Sindano
Tsh 600x 120(idadi ya gunia) =72,000 hii ni mifuko ya kuhifadhia.Japo ukipata safari ya Arusha utapata kwa tsh 300.
Tsh tufanye 50000 kodisha sehem ya kuhifadhia,japo unaweza kuhifadhi bure au ukaweka hapo nje ka nyumba ina geti.
Jumla kuu =(1,767,000) au

Eka moja inatoa kati ya gunia 10-15. Lets make 12/eka=120 Kuuza hadi kufikia December bei yake ni hadi elf 75.Lakini we uza kwa mwezi wa 9 ili ujiandae kukodisha tena bei ni kati ya elf 50-55 .Uza kwa elf 50

Mauzo
Idadi bei@ Jumla kuu
120x 50,000 =6,000,000
Mauzo-Gharama = Faida
6,000,000 - 1,767,000 =4,233,000

Sasa rudi tena shambani kafanye eka 30.Mavuno yake ukakamue mafuta,utauza mafuta,mashudu,na mafuta ghafi-ingawa hayana bei sana haya crude oil.

Pia kuna watu wanauza mimea ikiwa shambani,amepanda amepalilia afu mnafanya tathimini unanunua,Wakulima wengine wanauza gunia kwa elf 25 ikiwa shambani akivuna anakulipa(Sisi tunaita tunatoa advance)


Mengine unaweza kulima vitunguu ila ukishakuwa mwenyeji hapa ndio patamu zaidi,japo risk ni kubwa sana,ila ukifanikiwa baasi,Utalima mahindi pia.

Risks zake zaweza kuwa,ni mda mrefu tangu umepanda hadi kuvuna, Kukodishiwa eka 1 watu wawili-Hapa dawa yake ni mfanye kwa maandishi,Wadada wazuri na watajitaidi kwa kila namna akumiliki ata kwa kutumia miundo mbinu-Ila itakuwa ni uzembe wako,Mvua kuchelewa n.k

Ufugaji wa kuku ,tutafuga chotara,kwa vile wanakuwa haraka,pia watu wa huku hawapendi wa kisasa wanaamini huwa wanakuzwa kwa dawa,wanaume wakila wanaota matiti.

Mchanganuo wake tutafanya siku tukionana kijijini.
 
Kwa Singida utategemea kilimo cha mvua sana sana,ila utalima Alizeti hiyo ni simple sana,Nenda Singida Vijijini has kule pembeni kabisa karibu na Wilaya ya Hanang (mf.Kijiji kimoja kinaitwa Ngamu saa mbili hadi Singida town) ardhi iko na rutuba. Utaanza kukaa kijiweni kuna umeme utakodisha nyumba elf 15-30 kuna umeme,na huduma zingine za kijamii zipo.

Utakodisha sijui ni eka ngapi lakini ni vizuri ukaanza na eka 10-20. Bei yake ni rafiki kuanzia kukodisha hadi kulima
Mfano wa mchanganuo wa eka 10 katika alizeti.
Kukodisha ni elf 50-100 inategemeana na majira na anayekodisha ana changamoto kiasi gani ,Tufanye wastan elf 80/eka
so
Kukodisha
Tsh 8,0000 x eka 10=800,000. Kukodisha ,bei iko very flexible itategemeana na wewe.
Tsh 40,000x 10=400,000 hapa ni Kulima kwa ajjili ya kuweka mbegu/Kupanda.hiyo ni bei ya trekta ya ng'ombe ni elf 30.
Tsh 5,000 x 10=50,000 hiyo ni mbegu ya kienyeji nyeupe( sisi tunaita serena) inatoa ukiamua kukamua mafuta.
Tsh 30,000x10=300,000 hii ni palizi kumbuka alizeti ina palizi moja tu.
Tsh 5,000x10=50,000 hapa ni kukata kwa ajili ya kupiga piga
Tsh 20,000x1= 20,000 kukusanya toka shambani hadi sehem utakayo pigapiga.(sisi tunaita kupura) kwa eka zote.
Tsh 20,000x1 =20,000 kupiga(Kupura) na kupepeta-kwanza hapa we fanya hiyo kazi ni rahisi sana.
Tsh 5,000x1 =5,000 Uzi wa kushonea pamoja na Sindano
Tsh 600x 120(idadi ya gunia) =72,000 hii ni mifuko ya kuhifadhia.Japo ukipata safari ya Arusha utapata kwa tsh 300.
Tsh tufanye 50000 kodisha sehem ya kuhifadhia,japo unaweza kuhifadhi bure au ukaweka hapo nje ka nyumba ina geti.
Jumla kuu =(1,767,000) au

Eka moja inatoa kati ya gunia 10-15. Lets make 12/eka=120 Kuuza hadi kufikia December bei yake ni hadi elf 75.Lakini we uza kwa mwezi wa 9 ili ujiandae kukodisha tena bei ni kati ya elf 50-55 .Uza kwa elf 50

Mauzo
Idadi bei@ Jumla kuu
120x 50,000 =6,000,000
Mauzo-Gharama = Faida
6,000,000 - 1,767,000 =4,233,000

Sasa rudi tena shambani kafanye eka 30.Mavuno yake ukakamue mafuta,utauza mafuta,mashudu,na mafuta ghafi-ingawa hayana bei sana haya crude oil.

Pia kuna watu wanauza mimea ikiwa shambani,amepanda amepalilia afu mnafanya tathimini unanunua,Wakulima wengine wanauza gunia kwa elf 25 ikiwa shambani akivuna anakulipa(Sisi tunaita tunatoa advance)


Mengine unaweza kulima vitunguu ila ukishakuwa mwenyeji hapa ndio patamu zaidi,japo risk ni kubwa sana,ila ukifanikiwa baasi,Utalima mahindi pia.

Risks zake zaweza kuwa,ni mda mrefu tangu umepanda hadi kuvuna, Kukodishiwa eka 1 watu wawili-Hapa dawa yake ni mfanye kwa maandishi,Wadada wazuri na watajitaidi kwa kila namna akumiliki ata kwa kutumia miundo mbinu-Ila itakuwa ni uzembe wako,Mvua kuchelewa n.k

Ufugaji wa kuku ,tutafuga chotara,kwa vile wanakuwa haraka,pia watu wa huku hawapendi wa kisasa wanaamini huwa wanakuzwa kwa dawa,wanaume wakila wanaota matiti.

Mchanganuo wake tutafanya siku tukionana kijijini.

Nimekuelewa sana mkuu...!

Changamoto zipi zilizopo maeneo haya ambazo tunaweza zigeuza kuwa fursa?

Technolojia ya kiafrika ikoje maeneo haya hasa kwa mgeni ambaye hafahamiki kwa wenyeji?

Vitu gani vya kujiepusha navyo hasa ukifika kijijini hapo?!
 
Nimekuelewa sana mkuu...!

Changamoto zipi zilizopo maeneo haya ambazo tunaweza zigeuza kuwa fursa?

Technolojia ya kiafrika ikoje maeneo haya hasa kwa mgeni ambaye hafahamiki kwa wenyeji?

Vitu gani vya kujiepusha navyo hasa ukifika kijijini hapo?!

Mf. hapo kumechangamka sana,watumishi wa serikali wamekuwa wengi,watu wengi pia wamekopa benki lakini huduma za kifedha ni hafifu mara nyingi hadi Uende town-We unaweza ukawa NMB wakala,Ukaweka na mpesa,tigo pesa pia utawasaidia sana. Pia wengi wanafyatua tofali za block kwa mkono we unaweza ukaweka ile ya kufyatua kwa umeme,ukaongeza na pavement zile za kuweka chini-watakufrahia,Kingine ni mbegu za mahindi -we fanya kitu kimoja leta mbegu nadhani ni kilo 8 kwa eka 1,unawakopesha akivuna anakupa gunia 1 kwa kila eka 1-hutajuta lakini muandikishane,frusa zipo nyingi.

Teknolojia ya kiafrika ipo ila hawanaga mda kaaabisa na mtu mgeni,wanapenda wageni wanaamini kwa mtu mgeni hasa wa kimaendeleo akija ndio mji unakua,vinginevyo we ukawatibue tu.Pia ujitaidi kuwa mtu wa watu be simple.Shiriki katika matukio ya kijamii hasa changamoto,kwenye sherehe sio lazima ukienda ukae hadi iishe we pitia onekana kidogo sepa zako.

Vitu vya kuangalia,huku kijijini watu wote ni ndugu kwa hiyo usigombane na mtu bila sababu za msingi hata kama we unajua sheria huko utawashinda ila watakushughulikia tu,pia issue zote za kimahusiano hapo kijijini usiingie kwa haraka zitakuletea shida.Usiwe mlevi sana kama unakunywa just piga ile ya kukata kiu unawasha bodaboda unaenda kuangalia mashamba yako,pia fasheni zisizo na afya mf.unavaa macheni makubwa,mara nywele umeweka sijui nini zimekuwa nyekundu,hapo wataona huyu atatuharibia vijana tu,jaribu kufanana nao japo kwa mbali.

Welcome kijijini aisee.
 
Kwa Singida utategemea kilimo cha mvua sana sana,ila utalima Alizeti hiyo ni simple sana,Nenda Singida Vijijini has kule pembeni kabisa karibu na Wilaya ya Hanang (mf.Kijiji kimoja kinaitwa Ngamu saa mbili hadi Singida town) ardhi iko na rutuba. Utaanza kukaa kijiweni kuna umeme utakodisha nyumba elf 15-30 kuna umeme,na huduma zingine za kijamii zipo.

Utakodisha sijui ni eka ngapi lakini ni vizuri ukaanza na eka 10-20. Bei yake ni rafiki kuanzia kukodisha hadi kulima
Mfano wa mchanganuo wa eka 10 katika alizeti.
Kukodisha ni elf 50-100 inategemeana na majira na anayekodisha ana changamoto kiasi gani ,Tufanye wastan elf 80/eka
so
Kukodisha
Tsh 8,0000 x eka 10=800,000. Kukodisha ,bei iko very flexible itategemeana na wewe.
Tsh 40,000x 10=400,000 hapa ni Kulima kwa ajjili ya kuweka mbegu/Kupanda.hiyo ni bei ya trekta ya ng'ombe ni elf 30.
Tsh 5,000 x 10=50,000 hiyo ni mbegu ya kienyeji nyeupe( sisi tunaita serena) inatoa ukiamua kukamua mafuta.
Tsh 30,000x10=300,000 hii ni palizi kumbuka alizeti ina palizi moja tu.
Tsh 5,000x10=50,000 hapa ni kukata kwa ajili ya kupiga piga
Tsh 20,000x1= 20,000 kukusanya toka shambani hadi sehem utakayo pigapiga.(sisi tunaita kupura) kwa eka zote.
Tsh 20,000x1 =20,000 kupiga(Kupura) na kupepeta-kwanza hapa we fanya hiyo kazi ni rahisi sana.
Tsh 5,000x1 =5,000 Uzi wa kushonea pamoja na Sindano
Tsh 600x 120(idadi ya gunia) =72,000 hii ni mifuko ya kuhifadhia.Japo ukipata safari ya Arusha utapata kwa tsh 300.
Tsh tufanye 50000 kodisha sehem ya kuhifadhia,japo unaweza kuhifadhi bure au ukaweka hapo nje ka nyumba ina geti.
Jumla kuu =(1,767,000) au

Eka moja inatoa kati ya gunia 10-15. Lets make 12/eka=120 Kuuza hadi kufikia December bei yake ni hadi elf 75.Lakini we uza kwa mwezi wa 9 ili ujiandae kukodisha tena bei ni kati ya elf 50-55 .Uza kwa elf 50

Mauzo
Idadi bei@ Jumla kuu
120x 50,000 =6,000,000
Mauzo-Gharama = Faida
6,000,000 - 1,767,000 =4,233,000

Sasa rudi tena shambani kafanye eka 30.Mavuno yake ukakamue mafuta,utauza mafuta,mashudu,na mafuta ghafi-ingawa hayana bei sana haya crude oil.

Pia kuna watu wanauza mimea ikiwa shambani,amepanda amepalilia afu mnafanya tathimini unanunua,Wakulima wengine wanauza gunia kwa elf 25 ikiwa shambani akivuna anakulipa(Sisi tunaita tunatoa advance)


Mengine unaweza kulima vitunguu ila ukishakuwa mwenyeji hapa ndio patamu zaidi,japo risk ni kubwa sana,ila ukifanikiwa baasi,Utalima mahindi pia.

Risks zake zaweza kuwa,ni mda mrefu tangu umepanda hadi kuvuna, Kukodishiwa eka 1 watu wawili-Hapa dawa yake ni mfanye kwa maandishi,Wadada wazuri na watajitaidi kwa kila namna akumiliki ata kwa kutumia miundo mbinu-Ila itakuwa ni uzembe wako,Mvua kuchelewa n.k

Ufugaji wa kuku ,tutafuga chotara,kwa vile wanakuwa haraka,pia watu wa huku hawapendi wa kisasa wanaamini huwa wanakuzwa kwa dawa,wanaume wakila wanaota matiti.

Mchanganuo wake tutafanya siku tukionana kijijini.
Asiulize swali kwa mchanganuo huu tena
 
ningekushauri uanzie singida kwa kuwa ni karibu na pia kuna soko jipya la kukulinaongezeka litakalotokana na mji mkuu wa kiutendaji wa serikali kuamia dodoma hivyo kutakuwa na ongezeko la wateja wa kuku na hasa ukizingatia watu wa dar wengi wanapenda eti kukimbia nyama nyekundu. lakini pia singida nayenyewe inakuwa, kama ilivyongezeka mkoa wa Pwani kwa kibaha na chalinze ndivyo mji wa singida utakavyoongezeka kwa ajili ya dodoma.
changaomoto iliyokuwepo ni kwamba eneo hili halina mvua nyingi kama songea lakini mazao yake yanadhamani sana kuliko songea kwa kuwa kilimo cha huku hakitumii sana mbolea za viwandani. pia faida nyingine mkoa huu kuna wakazi wengi wanajishughulisha ufugaji wa kuku maeneo kama sanjaranda ni mazuri kwako kuna virgin land mbayo haijaguswa sehemu kubwa kwa kilimo na pia kuna wafugaji wazuri wa kuku pia kilimo kinawezekana.
songea sikujui sana lakini uhakika wa mvua na kuendesha kilimo kunaweza kuwa rahisi zaidi japo changamoto la soko ni jambo lingine mahindi yao sio mazuri sana kwa kuwa wakulima wengi wanatumia mbolea ya viwandani na ndo maana debe la mahindi songea linaweza shuka mpaka 2500/- lakini singida na dodoma litaishia 8000/-. kama dini haikuzuii songea ni kuzuri kwa ufugaji wa nguruwe kwa kuwa uhakika wa maji na chakula ni mkubwa sana.
 
Karibu Singida mkuu, achana na habari za Gono sijui na nini na nini ni za wale walioshindwa. Naishi Iramba na nalima mazao yanatoka vema kabisa.
Hakuna shida ya kuwaza utafikishaje mazao sokoni kwani usafiri ni 24/7 iwe masika iwe kiangazi.
 
Kwa Singida utategemea kilimo cha mvua sana sana,ila utalima Alizeti hiyo ni simple sana,Nenda Singida Vijijini has kule pembeni kabisa karibu na Wilaya ya Hanang (mf.Kijiji kimoja kinaitwa Ngamu saa mbili hadi Singida town) ardhi iko na rutuba. Utaanza kukaa kijiweni kuna umeme utakodisha nyumba elf 15-30 kuna umeme,na huduma zingine za kijamii zipo.

Utakodisha sijui ni eka ngapi lakini ni vizuri ukaanza na eka 10-20. Bei yake ni rafiki kuanzia kukodisha hadi kulima
Mfano wa mchanganuo wa eka 10 katika alizeti.
Kukodisha ni elf 50-100 inategemeana na majira na anayekodisha ana changamoto kiasi gani ,Tufanye wastan elf 80/eka
so
Kukodisha
Tsh 8,0000 x eka 10=800,000. Kukodisha ,bei iko very flexible itategemeana na wewe.
Tsh 40,000x 10=400,000 hapa ni Kulima kwa ajjili ya kuweka mbegu/Kupanda.hiyo ni bei ya trekta ya ng'ombe ni elf 30.
Tsh 5,000 x 10=50,000 hiyo ni mbegu ya kienyeji nyeupe( sisi tunaita serena) inatoa ukiamua kukamua mafuta.
Tsh 30,000x10=300,000 hii ni palizi kumbuka alizeti ina palizi moja tu.
Tsh 5,000x10=50,000 hapa ni kukata kwa ajili ya kupiga piga
Tsh 20,000x1= 20,000 kukusanya toka shambani hadi sehem utakayo pigapiga.(sisi tunaita kupura) kwa eka zote.
Tsh 20,000x1 =20,000 kupiga(Kupura) na kupepeta-kwanza hapa we fanya hiyo kazi ni rahisi sana.
Tsh 5,000x1 =5,000 Uzi wa kushonea pamoja na Sindano
Tsh 600x 120(idadi ya gunia) =72,000 hii ni mifuko ya kuhifadhia.Japo ukipata safari ya Arusha utapata kwa tsh 300.
Tsh tufanye 50000 kodisha sehem ya kuhifadhia,japo unaweza kuhifadhi bure au ukaweka hapo nje ka nyumba ina geti.
Jumla kuu =(1,767,000) au

Eka moja inatoa kati ya gunia 10-15. Lets make 12/eka=120 Kuuza hadi kufikia December bei yake ni hadi elf 75.Lakini we uza kwa mwezi wa 9 ili ujiandae kukodisha tena bei ni kati ya elf 50-55 .Uza kwa elf 50

Mauzo
Idadi bei@ Jumla kuu
120x 50,000 =6,000,000
Mauzo-Gharama = Faida
6,000,000 - 1,767,000 =4,233,000

Sasa rudi tena shambani kafanye eka 30.Mavuno yake ukakamue mafuta,utauza mafuta,mashudu,na mafuta ghafi-ingawa hayana bei sana haya crude oil.

Pia kuna watu wanauza mimea ikiwa shambani,amepanda amepalilia afu mnafanya tathimini unanunua,Wakulima wengine wanauza gunia kwa elf 25 ikiwa shambani akivuna anakulipa(Sisi tunaita tunatoa advance)


Mengine unaweza kulima vitunguu ila ukishakuwa mwenyeji hapa ndio patamu zaidi,japo risk ni kubwa sana,ila ukifanikiwa baasi,Utalima mahindi pia.

Risks zake zaweza kuwa,ni mda mrefu tangu umepanda hadi kuvuna, Kukodishiwa eka 1 watu wawili-Hapa dawa yake ni mfanye kwa maandishi,Wadada wazuri na watajitaidi kwa kila namna akumiliki ata kwa kutumia miundo mbinu-Ila itakuwa ni uzembe wako,Mvua kuchelewa n.k

Ufugaji wa kuku ,tutafuga chotara,kwa vile wanakuwa haraka,pia watu wa huku hawapendi wa kisasa wanaamini huwa wanakuzwa kwa dawa,wanaume wakila wanaota matiti.

Mchanganuo wake tutafanya siku tukionana kijijini.
UKO VIZURI MKUU, MI NIKO KINAMPANDA- IRAMBA, NILIANZA MWAKA JANA. HIVI SASA NAELEKEA KUVUNA. JAPO NILIANZA NA ENEO DOGO NA NINATEGEMEA KUONGEZA WIGO MWAKA HUU NA KUENDELEA POLE POLE.
 
Back
Top Bottom