Kiufupi labda ladha ila naona samaki ya maji baridi wamepooza kweli ...Yaani si unajua chakula lilichopooza sio kizuri.Hahaah mimi nimekula wote mkuu na sahii niko pwani jirani yako hapa, changu, mkundaji, jodari n.k na wa bara nimekula wa mitoni nimekula, nyie watu wa pwani tatizo mnataka samaki wote duniani wawe wa kwenu, kwahyo sisi kule ziwani tunavua mijusi au?.
Samaki wa bara wamepooza ,huo ni ukweli mchungu ... Baharini samaki wake sio unique ila wa bara ni wachache ndio maana wanakuwa na soko kweli huko kwenu .Siyo unachokipenda wewe ndo kila mtu anapenda
Watamu ni sato, then kibua kisha Sangara lkn kibua hapanaWasalamu.Tumsifu Yesu Kristo.Wapo samaki wa maji moto yani Bahari na hawa maji baridi yani ziwani.
Ila kwa leo naomba kujua Kati ya Sangara,Sato na vibua na kambale ni kundi gani ni watamu zaidi?
Vibua ni samaki wa watu wa maisha ya chini kabisa...yaani ni dagaa waliochangamkaWengine wanasema vibua watamu wengine havina ladha.
Kibua nilikuja waonja kwa mara ya kwanza Dsm na siwapendi kabisaYan kibua hata Kwa risasi me siwezi kula Wana harufu flan hv ya ajabu Aisee!!
Ana weusi na kama sliver fulani hivi anateleza na hana magamba ndani mwekundu ana bei huyooYupoje huyo ?
Hao siwajui. NitawatafutaWapo pia samaki flan wadogo wanaitwa saladini....hao pia ni balaa
Kwani wale wa baharini ni wa moto mkuu? sema tu wa maji baridi hawana shombo.Kiufupi labda ladha ila naona samaki ya maji baridi wamepooza kweli ...Yaani si unajua chakula lilichopooza sio kizuri.
Hao dagaa , wa mwanza na kigoma nimewapenda sana ..Ni wazuri sana .
Aisee...huyu mimi sili ukimleta hivi labda uwe umempika tayari. Kama nyoka!Huyu kiumbe wa maji baridi hana mpinzani kwa UTAMU aisee........ Wakuitwa KAMONGOView attachment 3447169
Nachanganyikiwa mjukuu wangu 😭😋😋
😂😂 Ukiwambiwa chakula kimepooza uanelewa ? Hata maharage ya sukari yanawekwa chumvi ili yasipooze.Kwani wale wa baharini ni wa moto mkuu? sema tu wa maji baridi hawana shombo.
Huyu Ukila Unakuwa Mbishi Kama KamongoHuyu kiumbe wa maji baridi hana mpinzani kwa UTAMU aisee........ Wakuitwa KAMONGOView attachment 3447169
Anakua mzuri pia akikaushwa juani na kuwa namna hii👇👇👇Aisee...huyu mimi sili ukimleta hivi labda uwe umempika tayari. Kama nyoka!
Seafood!🤣🤣🤣🤣🤣🤣
We kwa mfano angalia umbile la huyo mdudu,eti wanamla ,huyo ana tofauti gani na mnyoo,kama sio uroho ni nini?
Eti wenye wanajifari wanawaita seafood
Mamamaaaaaaae
Ukute niliwahi kula na wala sikujua😀😀Anakua mzuri pia akikaushwa juani na kuwa namna hii👇👇👇
View attachment 3447297
Mkuu kwani uzuri wa chakula ni muonekano wake kabla hakijaàndaliwa?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
We kwa mfano angalia umbile la huyo mdudu,eti wanamla ,huyo ana tofauti gani na mnyoo,kama sio uroho ni nini?
Eti wenye wanajifari wanawaita seafood
Mamamaaaaaaae
da maua SweetyCandy mbona kuwekeana vitu vyekundu tena mama.Kambale ni mtamu hasa akitiwa limao la kutosha, umewahi kula kilamba wa ziwa basutu aliyetengenezwa vizuri?.
Eti eeeeh,huyu nilishajaribu kumuonja nikataka kukata rohoMkuu kwani uzuri wa chakula ni muonekano wake kabla hakijaàndaliwa?
Hayo ni mattizo yako binafsi kwa kukariri kwamba kiumbe fulani ili kiliwe basi kiwe na umbo fulani na kikiwa tofauti na ulivyo kariri basi hakifai na ni uroho kukila