Kati ya Samaki hawa wapi watamu zaidi?

Kati ya Samaki hawa wapi watamu zaidi?

Ushawahi kula jodari au kingfish kaka?
Hao ndo samaki pekee Unakula Huku minofu yake unafunua Kama page za kitabu....hao samaki ni Hatari aisee
Nimekula kaka pia hata KAMONGO WA MAJI CHUMVII NI WAZURII UMEWAI KULA KAMONGO WA MAJI CHUMVII
 
Nadhani sio maji ila hali ya hewa. Maeneo ya pwani yana oxygen nyingi na moist air ambayo ni nzuri kwa ngozi.
Ni maji kaka,me dar sipapendi ila maji ya kuoga Yan unaoga mpk unahisi kweli nimeoga ndomana wanatakata
 
Nashindwa kuwaelewa ujue mkuu.
Sema ndiyo hivo, ni asili yao
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

We kwa mfano angalia umbile la huyo mdudu,eti wanamla ,huyo ana tofauti gani na mnyoo,kama sio uroho ni nini?

Eti wenye wanajifari wanawaita seafood

Mamamaaaaaaae
 
Kuna samaki Mmoja nilikulaga kule Rukwa Wilaya ya Nkasi sehemu Moja inaitwa Kirando, huyo samaki anaitwa "Kuhe"... Ni mtamu kwelikweli.... Wenyewe kule wanamwita "Kuku wa ziwani"... Kwa Namna alivyo mtamu...😄😄
 
Labda Jodari tu kwa baharini ndo mtamuuu...
😂😂Duh ,bara hamna samaki wala hamjui kuhusu samaki ..Ni vile mimi sikariri majina ila hao sato na sanag hata yale makonokono ya baharini ni matamu.

Sato nimekula sana pale mwanzo ,hawana ladha bei kubwa 😂😂
 
1. Sato
2. Sangara
3. Vibua nalia shida vikipikwa nyumbani au ugenini. ila kwangu hapana.
4. Kambale hata ugenini mkipika nitakataa kula bila wasiwasi. Samaki gani sasa yule 😒
mimi ni muumini mkubwa sana wa vibua - ndo nambari wani kwangu
 
Hahahaha ngoja kwanza mkuu, kilamba umewahi kula? usipoambiwa utakula mpaka ung'ate kipande cha sahani mkuu.
Siwajui ila uko upareni nimekula sana samaki wa huko ,kama kambale ni kama mazumburu ya bahari...Sato na sangara nimekula sana ,sio watamu wala hawana ladha .

Kiufupi watu wa bara mkubali hamjui samaki 😂😂😂huu ni ukweli kabisa ...Kwa sababu ni moja kama hujui ! SAMAKI WENU WAMEPOOZA LABDA UWEKE CHACHANDU ...Baharini wana chumvi so ni watamu hao wa kwenu hamna kitu ,kuna kule mwenye miba ndiyo kabisa kama kibudu.

Huku Tanga ukiuza wa bara haupati hata mia labda dagaa mafua hao..Dar wanauzika kwa vile kuna wabara wanakula vya kwao.
 
Wasalamu.Tumsifu Yesu Kristo.Wapo samaki wa maji moto yani Bahari na hawa maji baridi yani ziwani.
Ila kwa leo naomba kujua Kati ya Sangara,Sato na vibua na kambale ni kundi gani ni watamu zaidi?
Inategemea kwa mfano kuna samaki ziwa nyasa anaitwa mbasa mtu aliyetokea pande hizo hao uliowataja ataona hamna kitu
 
Siwajui ila uko upareni nimekula sana samaki wa huko ,kama kambale ni kama mazumburu ya bahari...Sato na sangara nimekula sana ,sio watamu wala hawana ladha .

Kiufupi watu wa bara mkubali hamjui samaki 😂😂😂huu ni ukweli kabisa ...Kwa sababu ni moja kama hujui ! SAMAKI WENU WAMEPOOZA LABDA UWEKE CHACHANDU ...Baharini wana chumvi so ni watamu hao wa kwenu hamna kitu ,kuna kule mwenye miba ndiyo kabisa kama kibudu.

Huku Tanga ukiuza wa bara haupati hata mia labda dagaa mafua hao..Dar wanauzika kwa vile kuna wabara wanakula vya kwao.
Siyo unachokipenda wewe ndo kila mtu anapenda
 
Siwajui ila uko upareni nimekula sana samaki wa huko ,kama kambale ni kama mazumburu ya bahari...Sato na sangara nimekula sana ,sio watamu wala hawana ladha .

Kiufupi watu wa bara mkubali hamjui samaki 😂😂😂huu ni ukweli kabisa ...Kwa sababu ni moja kama hujui ! SAMAKI WENU WAMEPOOZA LABDA UWEKE CHACHANDU ...Baharini wana chumvi so ni watamu hao wa kwenu hamna kitu ,kuna kule mwenye miba ndiyo kabisa kama kibudu.

Huku Tanga ukiuza wa bara haupati hata mia labda dagaa mafua hao..Dar wanauzika kwa vile kuna wabara wanakula vya kwao.
Hahaah mimi nimekula wote mkuu na sahii niko pwani jirani yako hapa, changu, mkundaji, jodari n.k na wa bara nimekula wa mitoni nimekula, nyie watu wa pwani tatizo mnataka samaki wote duniani wawe wa kwenu, kwahyo sisi kule ziwani tunavua mijusi au?.
 
Hii mada kila mtu atavutia kwake kulingana na maeneo anapoishi..watu wa kanda ya ziwa watakuambia Sato na sangara ndio watamu na watu wa Pwani watakuambia kibua ndio mtamu.Kwa mimi ambaye nimebahatika kutembea na kuishi maeneo hayo yote naweza kusema samaki wote ni watamu ila inategemea na mapishi.Wakati natoka Dar kwenda kanda ya ziwa nilipata tabu sana kula samaki wa maji baridi (Sato na Sangara).Nilishangaa sana kuona watu wanawasifia kuwa ni watamu sana wakati mimi nilikuwa nawaona wamepooza.Ila kadri muda ulivyoenda nilianza kuwazoea na kuwaona ni watamu.Na kuna kasumba kule kanda ya ziwa wanasema sato ni mtamu zaidi kuliko Sangara.Hii kwangu sio kweli,..Binafsi naona Sangara ni mtamu kuliko Sato ukipata mpishi anayejua kupika vizuri.na kwa upande wa samaki wa maji chumvi watu wa pwani naona wengi wanamsifia kibua kuwa ni mtamu.Ila binafsi kwa miaka yote ninayoishi dar sikuwahi kula samaki mtamu kama changu..alooh yule samaki ni mtamu huwezi mfananisha na kibua.
 
Sato mtamu na ule ufupi wake harafu mnene hivi, unakula huku unaimba " SA nipe za digidigi washa"
 
Back
Top Bottom