Kati ya Samaki hawa wapi watamu zaidi?

Kati ya Samaki hawa wapi watamu zaidi?

Seafood!
Kwani tupo japani sie?
Wanashangaza sana mkuu.
Kuna jamaa angu wa chuo kipindi hicho toka Mtwara 😂😂 anakwambia vyote vya baharini kwao kiimani ni visafi.
Mkuu🙌🙌😆
Wanaumwa hao,🤣🤣🤣
 
Nikiwa Kanda ya ziwa samaki ni Sato. Lakini hatii ladha kama Samaki wa maji chumvi wakiongozwa na Jodari akifatiwa na Tasi na Kolekole. Upishi pia unasehemu yake. 🤣🤣
 
Wasalamu.Tumsifu Yesu Kristo.Wapo samaki wa maji moto yani Bahari na hawa maji baridi yani ziwani.
Ila kwa leo naomba kujua Kati ya Sangara,Sato na vibua na kambale ni kundi gani ni watamu zaidi?
Kibua ☑️
 
Binafsi samaki no.1 kwangu Sato akifatiwa na Sangara.Wengine ni baadhi hawa wa baharini wengi sijui majina Yao.
 
Hii ngoma ni droo.binafsi nimewala wote hao na wote ni watamu sana.
 
1755007226935.jpg
 
Wasalamu.Tumsifu Yesu Kristo.Wapo samaki wa maji moto yani Bahari na hawa maji baridi yani ziwani.
Ila kwa leo naomba kujua Kati ya Sangara,Sato na vibua na kambale ni kundi gani ni watamu zaidi?
Mbona mi sioni tofauti yao, wote ni watamu tu na wana faida mwilini
 
Wasalamu.Tumsifu Yesu Kristo.Wapo samaki wa maji moto yani Bahari na hawa maji baridi yani ziwani.
Ila kwa leo naomba kujua Kati ya Sangara,Sato na vibua na kambale ni kundi gani ni watamu zaidi?
Mapishi
 
Back
Top Bottom