Kati ya Maulidi Kitenge na Masoud Kipanya nani zaidi kwenye yafuatayo...

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,927
1. Ukwasi
2. Ubontaun
3. Busara
4. Eposure
5. English Kali
6. Kampani pr na washkaji

1627628766239.png

Maulid Kitenge
1627628916704.png

Masoud Kipanya​
 
Mtu kafiwa na mwanae we umekuja kumshindanisha u born town? Seriously?
Ndio uhalisia wa binadamu, ukipata hata watu watatu wanaoweza hisi maumivu yako na wakayachukulia kama yao. Bhasi shukuru Mungu

Wengi watakuja kukuangalia ili kupalilia mahusiano ya kazi au kibiashara ili kulinda maslahi yao ya kukutumia huko mbeleni. Wengine tena wengi wanaogopa macho ya watu tu"wataonekanaje". Anakuja kukuuguza au kukupa kampani ili asisemwe vibaya au akaja kutengwa mtaani au ofisini kama akifikwa na matatizo. Fake beings
 
Back
Top Bottom