Mchawi huyu jamaaMtu kafiwa na mwanae we umekuja kumshindanisha u born town? Seriously?
Ndio uhalisia wa binadamu, ukipata hata watu watatu wanaoweza hisi maumivu yako na wakayachukulia kama yao. Bhasi shukuru MunguMtu kafiwa na mwanae we umekuja kumshindanisha u born town? Seriously?
Masoud ni wa mjini sana na busara anayo1.ukwasi
2.ubontaun
3.busara
4.exposure
5.english Kali
6.kampani pr na washkaji
Force number yake ni ngapi?Kitenge ni TISS
Nani kakuambia? Ilihali hata mwalimu tu wa shule ya msingi ana number ya utambulishoTiss hawana hii makitu
Kwa hio mwl wa shule ya msingi ndo umemuona wa ovyo hadi asiwe na kitambulisho....ihiii dah...Nani kakuambia?ilihali hata mwalimu tu wa shule ya msingi ana number ya utambulisho
Sina maana hiyoKwa hio mwl wa shule ya msingi ndo umemuona wa ovyo hadi asiwe na kitambulisho....ihiii dah...