ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,237
- 1,919
Mmmmmmh!!..Kitenge ni TISS
Mkuu ya kweli haya..
Mimi naona ni msoma magazeti wa diamond tu
Mmmmmmh!!..Kitenge ni TISS
Kidogo umenishawishi,,..Maulidi Kitenge ni Mwanausalama wa TISS ambaye miaka ya hivi karibuni alibadilishwa kitengo na kuwa anahusika upelelezi wa mataifa ya nchi za nje kwa mwamvuli wa Journalist
Anafanya journalist for leisure and hobby and not his work, ukija PM nitakupa force number yake
Refer oscar oscar..Zile safar za nje ni za kitengo maalum...
80% ya waandishi wa habari ni maajent wa kitengo
Huyu ndo namfaham vizuri snaYaah hata ile issue ya Oscar Oscar kuoa mwanamke wa kizungu kutoka Marekani ile ni special mission, sema small minded hawawezi kuelewa hapa
Very true mkuu,,..Mfumo aliouasisi Hayati Nyerere wa kusimika maafisa Tiss kila kona bado upo na una nguvu kubwa. Media hses zote kuanzia channel ten, Clouds, Tbc,ITV etc kote wamejaa maafisa Kipenyo. 94% ya wapiga picha unapoona viongozi wapo labda airport au National stadium huwa ni maafisa vipenyo kwa ajili ya kuimarisha usalama. Tuchukulie mfano msigwa alikuwa ITV akireport kutoka Songea na rukwa baadae kitu gani lilitokea mpaka akaja kuwa msemajj wa raisi. Hata wasafi wapo hao wakina Kitenge hata yule bonge wa power breakfast amekaa kinjagunjagu anaweza akatambaa ukashangaa huyu hapa.
Nipe force namba ya Millard ayoZile safar za nje ni za kitengo maalum...
80% ya waandishi wa habari ni maajent wa kitengo
Nipe force namba ya Millard ayo
Namba 4 ni kitu gani hicho?1. Ukwasi
2. Ubontaun
3. Busara
4. Eposure
5. English Kali
6. Kampani pr na washkaji
Kile kichwaYaani ningekuwa public figure ningekuwa najiandaa endapo nina mahojiano na KP, Lakini wanahabari wote waliobaki hata uniamshe saa nane usiku siogopi kufanya nao mahojiano, Masudi alinibananishia prof lipumba hadi nikahisi masudi ndio prof
Kweli Hujui Kitu WeweTiss hawana hii makitu
MmmmhYaah hata ile issue ya Oscar Oscar kuoa mwanamke wa kizungu kutoka Marekani ile ni special mission, sema small minded hawawezi kuelewa hapa
WanayoTiss hawana hii makitu
Teeth kitenge kamaliza kazi alotumwa wasafi,,..Hivi unaijua story ya masoud kipanya enzi zile utawala wa hayati Benjamin William Mkapa?, acha kumfananisha Kipanya na TISS Kitenge.....Nitakuja na uzi hapa kumuhusu Kipanya acha kwanza mwananzengo mwenzetu atulie kipindi hiki cha majonzi ya msiba wa Malcom
Aisee sema jamaa safari za hasa marekani hazikauki ni Kama vile analipwa mshahara bure tu.Acha kumfananisha kipanya na hilo shoga.
Anasafiri kwenda nje kupigwa mpini bongo wanaa wengi