Chura
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,342
- 2,293
😆😆😆😆😆🤣🤣🤣ndo umeongea nini sasa mdogo wangu?Force number yake ni ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆😆🤣🤣🤣ndo umeongea nini sasa mdogo wangu?Force number yake ni ngapi?
Mwamba ana makasiriko sanaWatu wa kitengo wanafanya sana kazi za kiboya hata kama Kitenge hausiki nazo, kama imekugusa kiaina just take a chill pill and get a good feel.
TISS hawalali kama powpowKitenge ni TISS
Nchi ina vijana wa hovyo sana hiiWana mmenimind sana haina noma acha nikaushe...... ila muache ufala wenu... kuruka deile na chopa eti kazi maalum kazi gani hizo ? Nchi haina hata kinu cha nyuklia eti usalama,, usalama gani huo... nendeni israel au iran huko ndo mtajua usalama ni kitu gani.... bongo maigizo tu na kutumia kodi za wananchi vibaya hatuna usalama wala nn.....
ndo nyie mkipewa kazi miezi miwili tu mshanenepa kwa bia na kitimoto
Punguza porojo bwana hatuna ugeni na haya mamboSmall brain can't understand this, but stay at your own place
Kwamba kitenge ni TISS 😂😂😂 moja ya kilevi kipya hapa mjini🚶 inaonekana mission yake ni special force 🚴🚴⛷️ kila mda chopa, TISS wenzake ni wala mihogoWana mmenimind sana haina noma acha nikaushe...... ila muache ufala wenu... kuruka deile na chopa eti kazi maalum kazi gani hizo ? Nchi haina hata kinu cha nyuklia eti usalama,, usalama gani huo... nendeni israel au iran huko ndo mtajua usalama ni kitu gani.... bongo maigizo tu na kutumia kodi za wananchi vibaya hatuna usalama wala nn.....
ndo nyie mkipewa kazi miezi miwili tu mshanenepa kwa bia na kitimoto
Hakika umesema.KP hadi yake ni hilal, zuhura yunus