Yote maisha
Member
- Jul 18, 2021
- 10
- 16
Achunguzwe huyu!
Mtu kafiwa na mwanae we umekuja kumshindanisha u born town? Seriously?
Mtu kafiwa na mwanae we umekuja kumshindanisha u born town? Seriously?
Hatunaga izo mambo uku bro tuna vitambulisho kama vya SabayaForce number yake ni ngapi?
Masudi ni TOSSKitenge ni TISS
HatariiMtu kafiwa na mwanae we umekuja kumshindanisha u born town? Seriously?
Maulid kitenge ni mpiga kelele na sifa nyingi tu, lakini hamfikii Masoud kwa yote uliyoorodhesha hapo
Safari za nje zisikutishe,Ile ni hobby Tu mkuu aihusiani na kuwa na hela nyingi
Mtu kafiwa na mwanae we umekuja kumshindanisha u born town? Seriously?
Yaah hata ile issue ya Oscar Oscar kuoa mwanamke wa kizungu kutoka Marekani ile ni special mission, sema small minded hawawezi kuelewa hapaZile safar za nje ni za kitengo maalum...
80% ya waandishi wa habari ni maajent wa kitengo
Force number yake ni ngapi?
Maulidi Kitenge ni Mwanausalama wa TISS ambaye miaka ya hivi karibuni alibadilishwa kitengo na kuwa anahusika upelelezi wa mataifa ya nchi za nje kwa mwamvuli wa Journalist
Anafanya journalist for leisure and hobby and not his work, ukija PM nitakupa force number yake
Huyu jamaa,ni noma aisee...may be hana taarifa ya msiba.Mtu kafiwa na mwanae we umekuja kumshindanisha u born town? Seriously?
Yaah hata ile issue ya Oscar Oscar kuoa mwanamke wa kizungu kutoka Marekani ile ni special mission, sema small minded hawawezi kuelewa hapa
Yaah pamoja na balozi zetuPia anapeleleza diaspora huko, si mchezo!
Kitengo?.Kitenge ni TISS
Wa ma KoCHo au EagleKitenge ni TISS
Wote tu ila kwangu ni masoud kipanya1. Ukwasi
2. Ubontaun
3. Busara
4. Eposure
5. English Kali
6. Kampani pr na washkaji