rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,534
- 6,618
asa si naww watakuua tuDah, hao dawa yao mbon ni ndogo sana.!
Unajifanya unaendelea na utaratibu wako tena unawataarifu kabisa kwamba mm mtaji ninao mkubwa kesho naenda kuandaa Nyama nyingi zaidi.
Kwa hasira zao za kipumbafu watakufuatilia tena, na hapo ndo itakua mwisho wao wa kuliona Jua.
Nyama yote unatia sumu hatari ambayo ukila huombi hata maji ya kunywa.
Inaumiza sana hawa dogs.