Jeshi la Polisi limefanywa kuwa nyenzo ya kuhakikisha Chama twawala kinasalia madarakani kwa nguvuSi Waziri wa Mambo ya Ndani, RC, DC wala viongozi wa jeshi la Polisi watakaochukua hatua. Awamu hii ni ya hovyo kuwahi kutokea.
aiseee hatari sana halafu aibuuuuuu
Hakuna kitu chochote au hatua yoyote itachukuliwa!Si Waziri wa Mambo ya Ndani, RC, DC wala viongozi wa jeshi la Polisi watakaochukua hatua. Awamu hii ni ya hovyo kuwahi kutokea.
Kuna sumu inapatikana Dodoma inaitwa 'kafie mbele'. Hii haiui papo hapo, mtu akila leo anaendelea na shughuli zake kama kawa then baada ya wiki hivi anakata moto.Dah, hao dawa yao mbon ni ndogo sana.!
Unajifanya unaendekea na utaratibu wako tena unawataarifu kabisa kwamba mm mtaji ninao mkubwa kesho naenda kuandaa Nyama nyingi zaidi.
Kwa hasira zao za kipumbafu watakufuatilia tena, na hapo ndo itakua mwisho wao wa kuliona Jua.
Nyama yote unatia sumu hatari ambayo ukila huombi hata maji ya kunywa.
Inaumiza sana hawa dogs.
Basi hiyo ndo inawafaa Hawa BAADHI ya jamaa matapeli kwa mwamvuli wa sare.Kuna sumu inapatikana Dodoma inaitwa 'kafie mbele'. Hii haiui hapo hapo, ni baada ya wiki hivi.
Imefanya kesi za mauaji kuwa ngumu coz ni kazi kuthibitisha marehemu alilishwa sumu wapi na lini.
Class struggle is a political tension and economic antagonism that exists in society consequent to socio-economic competition among the social classes or between rich and poor.Hii sasa ndio vita ya kiuchumi.
Class struggle is a political tension and economic antagonism that exists in society consequent to socio-economic competition among the social classes or between rich and poor.Hivi mtu unaanzaje kupora nyama .tena nyama yenyewe ya ng'ombe ambayo kilo buku sita tu
Nitamaa zao hizo sio kusingizia mishahala kidogo.askari magereza wao wanajua bei gani?mbona hawana tofauti na wao.siku zote sijawahi kumsikia mfanyakazi wa serikali akisema mishahala inatosha hata siku 1 na wala sijawahi kumsikia wakisema tunaacha KAZI mishahala kidogo.mkulima yeye atasemaje na kilio chake mazao hayapandi bei na gharama alizotumia kwenye kilimo.ni tamaa zao.Hata sishangai kwa mishahara ya hao askari kutapeli nyama ni haki yao, nao wamechoka kuwalisha watoto wao maharage kila siku.
Sasa kama askari wamegeuka wezi, wao wakamatwe na nani?