Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Sio kweli,mkapa alipeleka majeshi mwembechai,na hata vifaru alipeleka ktk uchaguzi zenj,mkapa aliua watu kama kuku,jk hajaua watu ktk maandamano,jk ana imani sana.

Imani yake mnaichezea haya wee!
 
neno moja naamini waislam wanataka. haki sawa kwa raia wote bila ya ubaguzi wa kidini. kama serekali inatoa mabilion ya pesa kwa makanisa basi na kwa waislam watoe ili tz tuishi kwa amani. haya mengine yote pakiwa na haki mbona yanazungumzika tu jamani?
Ushahidi gani ulio nao wa makanisa kupewa mabilioni ya pesa? Maneno ya wanaocheza bao kina chuma ulete hayo ndo yanawafaa. Juzi nimewasikia waislam wakisema "hawa wakristo wana magari mengi hapo kanisani wanayatoa wapi? Tena magari ya nguvu sana, serikali inatukandamiza waislam tu" Ati hivyo? Fanyeni kazi na someni kwa bidii. Kurani someni na kuelewa sio makelele tu kwenye vipaza sauti kumbe hata yanayosemwa hamjui maana yake nini. Hata Bwana Yesu hakusoma lakini hekima aliyowaachia wafuasi wake ndiyo matunda mnayoona, ya Kaisaei mpeni yaliyo yake na Mungu mpeni ya kwake. Yatazungumzika yepi wakati hamruhusu kuwaambia wamekosa nini ili nao waseme ya kwao, bali mnakusanya wavuta bhangi kuchoma nyumba takatifu za Ibada kama sio kuingiliwa na mapepo wabaya??? Sasa wakristo mnawaua na kuwachokoza na kuchoma nyumba zao lakini wako kimya tu. Mtatimiza mangapi yaliyoko kwenye Kurani? Au mwataka tuelewe kwamba hakuna waislam wanaochezea Biblia? Mbona mnaichambua kwa matusi mazito misikitini mwenu na kwenye mihadhara lakini wakristo wanawaangalia na kwenda zao kimya? Laana mwaitaka nyie, sio bure. Sio waislam wote wanafanya upuuzi huu, wapo waislam wengi wako kinyume nanyi. Wabarikiwe hao na Mungu wao ambaye nadhani ni tofauti na wa kwenu. Nikuhakikishie kwamba hata leo ukiichoma moto Biblia mbele ya mkristo atakuona wewe ni kichaa tu na hatafanya kama mnavyofanya, kwani NENO na BIBLIA ya kweli iko rohoni kwa mtu na sio makaratasi ambayo ni kumbukumbu tu nakala ya kutumika na wenye mwili, lakini "Neno la Mungu na likae kwa wingi ndani yenu" Kwani makaratasi ya Kurani na Biblia yanadumu milele? Mafuriko yakija makaratasi hayo hayalowani? Use simple sense.
 
Wewe mwenye upeo mukubwa ndio unakuja kwenye Jukwaa la Great Thinkers na hoja za kijini jini kama hizi....
Mzee umetokea wapi...mapangoni au wapi ? isije nikawa najadiliana na mtu kutoka zama za kale za mawe....
Nimetokea msikitini baab...
 
Bahati yako sikufaham!
Ningekuwa nakujua leo ningekung'oa meno kwa kipigo!
Si vyema kuwahukumu waislam wote kwa maovu ya wahuni wachache, wapo waislam makini na wasiopenda shari!

haha haaaa!!
Usihamanike kaka. huyo anayesema Uislamu ni Ushetani kakosea tu ulimi:Alikusudia Kusema akina MIRAMBO, MKWAWA, KINJEKITILE NGWALE, HASSAN BIN AMEIR Nk walioupigania uhuru wa nchi hii walikuwa Mashetani.

Ndio huyu baadaye utamsikia anaimba Peepooooz power huku mkia kaufyata. Ni CHADEMA DAMU HUYO!!
 
Haki gani akosayo muislamu akapata mkristo? Wote tunataabika na maisha, akili yako na busara tu ndo vinaweza kukusaidia kupata haki duniani.... Wala si vurugu.... Wahuni wachache wasivuruge amani yetu

Mungu saidia TZ
 
kwako wife najua utakua unafuatilia yanayotokea huku kariakoo hivyo leo nitalala huku huku maana mabomu yanalindima si mchezo kwa usalama wangu nitarudi kesho

Ha ha ha ha, umenichekesha sana! Great opportunist!!
 
Nimetokea msikitini baab...

Wanaotokea msikitini hawaonyeshi hiyo alama hapo juu kweny avatar yako...wewe utakuwa mgeni hapa nchini....
wewe utakuwa ni Sleeper wa kimalawi...ushaamshwa uanze kuleta uchochozi nchini
 
Damu mnayotamani kumwaga itawasaidia nini?

Somalia, dini moja na kabila moja, tulitarajia ingekuwa kitovu cha amani, lakini hali ikoje?
Naunga mkono alosema wapewe upendeleo maalumu kwenye elimu, tena mpaka chuo FREE, kwani ndio yaweza kuwa mkombozi.
 
Huu muziki aliuanzisha JK na CCM mwaka 2010 ktk kampeni za kutumia udini ili kupata madaraka.
Nnachoshukuru haya yametokea wao wenyewe wakiwa madarakani na wanavuna walichopanda.
Na hili suala litawagharimu sana CCM chaguzi zijazo. Wamekula ya mbuzi, sasa wanaota mapembe!
Je, Wasira ataendeleza ule wimbo wao wa CDM ndio wanachochea hizi fujo?
 
mimi nadhani njia pekee ya kamati kuu ya CCM kuunda tume maalum. kuangalia athari ya ubaguzi wa kidini unaosambaa. haiwezekani tabaka moja la kidini linakuwa na sauti kubwa na jengine kuonekana kiroja ndani ya jamii. hii waislam wengi linatuumiza. hata muunde jeshi, muajiri CIA, FBI. tatizo hili halitaondoka.
Haiwezekani Kuna mkataba kati ya kanisa na serekali kutoa fedha za umma kwa ajili yao halafu unataka watu wavumiliane. kama kuvumiliana muanze CCM na CHADEMA . tuanona kila siku chadema wanaandama kupinga uonevu wa polisi na CCM

Waislamu mnaonewa????? angalia list hii

1) President
2) VP
3) IGP
4) director was TISS
5) Judge mkuu
6) Judge kiongozi

Mungu awape nini???? wakristo wamekaa kimya kabisa, ila ingekuwa opposite ungeona moto wake.
 
375956_364087850343831_2073169510_n.jpg
 
Kule ndiyo kumejazana misukule na mazezeta...!
acha ufala wewe mimi nakaa behind msikiti wa idrissa nipo kazini na sababu ya kupanga hapa ni kuwa tunanyumba kimara ila tulivamiwa na majambazi na kuumizwa vibaya bahati nzuri kampuni ikanionea huruma sababu watoto mle ndani wangeumia sana na kumbukumbu za wale majambazi kwa hiyo wakanipa nyumba hapa kariakoo sasa hata sielewi nyumbani nimemuacha dada yangu kajifungua kwa operesheni,nimepiga simu home wananiambia mabomu mpaka mlangoni na sahivi wote hawapatikani
nachoshukuru tupo ghorofa la nane kidogo napata ahueni
hali ni mbaya naangalia chennel ten
hujui jinsi tunavyoumia halafu **** kama wewe unatuita wakazi wa huku misukule
give me a break!!!!
 
tupo tayari kwa lolote hata mkienda kuchukua jeshi la obama marekani haturudi nyuma tushachoka kufanywa wapangaji wakati nyumba yetu sote
usijishaue wewe... Upo tayari wakati upo unawacheka wenzako hapa... Toka hapo kwenye keyboard kaonje mabomu ya machozi ndio urudi kubwabwaja hapa.
UNAFIKI tu huna lolote
 
Mkuu bora umetoa hili angalizo,

Binafsi hapa nipo kazini na niko na rafiki yangu ambae ni Mwislam......Unamwangalia machoni unaona moyoni mwake the way anavyoumia na ametoa kauli moja nzito sana asubuhi ya kujisikia vibaya akiwa kama Mwislam juu ya yanayoendelea..

Ni muhimu ndugu zetu waelewe kuwa hali hii madhara yake ni makubwa na mara nyingi (unaweza jifunza kwa wenzetu) haileti ule uhuru na kile kinachogombaniwa bali huacha makovu ambayo huetengeneza mwanya mbaya sana kwa cohesion ya jamii

Itawaumiza sio Wakristo tu kama wanavyodhani, itaumiza wengi sana wakiwamo na wao wenyewe....Siamini kama kuna Mungu anaetaka hivi na kwa mantiki hii, sitaki kuamini kama "Allah" au Mtume (SAW) analikubali hili...otherwise nisaidiwe kuamini hivyo LAKINI KWANGU HADI SASA...HAO NI WAHUNI WACHACHE WALIOJIVIKA MWAMVULI WA KIDINI KUFANYA MAMBO YA AJABU...Tumeona makundi haya maeneo mengi na mwisho wake ni hatari kwanza kwa ustawi wa dini husika lakini pia wa taifa kwa ujumla

Lets pick some lessons kwa wengine.....Otherwise, I can see Tanzania katika hali mbaya than Nigeria.....Al-shabaab nahisi wananukia (This is such a golden opportunity kwao) na makundi mengine

DINI ZITUPE HEKIMA YA KUWA WAVUMILIVU NA KUSTAWISHA JAMII ZETU BADALA YA KUZIDHOOFISHA JAMII HUSIKA


Mkuu cathode Rays

Amani, kitu amani kuistawisha na kuiendeleza inahitaji nia thabiti kabisa na ya dhati kutoka kwa:-

selikali, ikibidi mkono wa chuma hutumika ilikudumisha matakwa ya wengi, kwa mtazamo wangu wengi ni waislamu,

wakristu na wasioamini
, wachache ni hivi vikundi vinavyotumika kuudhoofisha utanzania wetu. Bahati mbaya serikali

hainania thabiti nayadhati na inachofanya ni kucheza na akili za watanzania ndani ya siasa, nasasa tupo mashakani

amani haipo tena.

Pili viongozi wa dini zote, hawa lazima waepuke uchochezi chini ya usimamizi wa serikali. Viongozi wa dini hasa lile kundi

dogo ambalo linakuwa na kuongezeka kila siku wamekuwa wakihubiri chuki waziwazi kwenye runinga na redio bila hofu

yoyote, na kwa bahati mbaya kabisa serikali hukaa kimya na historia ni mwalimu mzuri kabisa ukipanda chuki mavuno ni

maafa na tunastahili kuvuna tulichopanda wakati wa uchaguzi 2010.


Tatu,watanzania kwa umoja wetu lazima tukemee upuuzi huu kama alivofanya Bwana Mohamed Mtoi ukweli

unapopindishwa tuwaeleze wanaotuchafua bila kuwaonea aibu inaweza kutusaidia.


Lakini tulipofikia hivi sasa ni pabaya sana hasa inapotokea amani ya inchi ipomashakani, mkuu wa inchi haoneshi kukereka

kwa dhati, naambiwa ndo analejea kutoka ughaibuni na hakupaswa kusafili bila kuweka mambo sawasawa. Tumefika

pabaya na inahitaji kudra za mwenyezi mungu kuirejera amani ya kweli kama hapo awali.
 
Back
Top Bottom