Hydrobenga
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 1,127
- 212
mkuu una walimu wangapi? na wa kutoka nchi gani? makata, maimuna ama mkongo? ahahahahahahaaa very interesting aise, Sote waislamu na wakristu ni ndugu, tatizo lenu uelewa mdogo.... makata?
Imekuuma sana...itakuwa imekuiingia...Ungeangalia kashafa ulizozianzisha kwanza kabla ya kuendeleza huu mjadala....
Hivi ndio itakuwa mnavyofundishwa kanisani dharau na kashfa kwa waislamu...mnasahau kwamba makanisani hawaingii wakristo pekeee...
Mkuu wangu wote wanatoka vatican...si unawaona lugha wanayoongea ni kitaliano....Halafu yenyewe sadaka za mkono kwa mkono hayaopokei....si tunaona kwenye TV tukishayapooza utasikia mchungaji anataka sadaka kupitia TIGO PESA
By the way ...sasa hivi unamuwakilisha nani ....DINI ILE AU CHAMA KILE ?